Karibuni kwenye Kazi ya ualimu, lakini usiwe na matarajio makubwa

Karibuni kwenye Kazi ya ualimu, lakini usiwe na matarajio makubwa

Nina rafiki yangu ni mwalimu akitoka saa kumi na moja asubuhi anarudi saa tano usiku, kuna ma' early morning classes and ma'evening classes.

Sasa mtu kama huyu atapata muda wa kufanya maendeleo kweli?

2024 ilikuwa ni mwaka wangu wa mwisho wa kutumikishwa na mtu. Let me be clear: I'm not a paid slave.
 
Akili finyu sana. Sina uhakika kama mtu amekaa mtaani miaka mitano then akose mil. 10 halafu huyu mtu akiajiliwa ashindwe kuanzisha biashara.

Watu hawafanani, yaani mtu akikwambia akiajiliwa atafanya biashara haimaanishi kwamba atategemea pesa ya mkopo tu kufanya hyo biashara.
 
Ni kosa kisheria km wanafanya ni Kwa Siri au ujenge duka karibu na maeneo ya shule
Unajua nilipo Niko jirani na shule tatu mbili za msingi na moja nyumba ni ya secondary.
So ninachoongea nakielewa vizuri sana hapa naona walimu Wana biashara zao na kama hafanyi direct basi ana kijana anaemuingizia vitu. Binafsi sio mwalimu lakini hawa wanafunzi ukiwatumia ni hela tosha nasema kitu ninachokielewa
 
Akili finyu sana. Sina uhakika kama mtu amekaa mtaani miaka mitano then akose mil. 10 halafu huyu mtu akiajiliwa ashindwe kuanzisha biashara.

Watu hawafanani, yaani mtu akikwambia akiajiliwa atafanya biashara haimaanishi kwamba atategemea pesa ya mkopo tu kufanya hyo biashara.
Nawewe akili Yako ni finyu kwa sababu uko nje ya mfumo, unaingia kazini saa 1:30asb unatoka saa 11 hiyo biashara unaifanya kwa simu? Au whatsap? Walimu wengi wanefeli kwa kuanzisha biashara zisizokua na usimamizi.
 
Unajua nilipo Niko jirani na shule tatu mbili za msingi na moja nyumba ni ya secondary.
So ninachoongea nakielewa vizuri sana hapa naona walimu Wana biashara zao na kama hafanyi direct basi ana kijana anaemuingizia vitu. Binafsi sio mwalimu lakini hawa wanafunzi ukiwatumia ni hela tosha nasema kitu ninachokielewa


Muelewe aliposema kwamba ni kinyume na sheria, labda na yeye ni mwalimu, wao kufanya na wewe ukajua haihalalishi wanachofanya ni legal
 
Muelewe aliposema kwamba ni kinyume na sheria, labda na yeye ni mwalimu, wao kufanya na wewe ukajua haihalalishi wanachofanya ni legal
Nimemuelewa lakini wapo wanaofanya na ninawafahamu..... Uwe na jioni njema!.
 
Unajua nilipo Niko jirani na shule tatu mbili za msingi na moja nyumba ni ya secondary.
So ninachoongea nakielewa vizuri sana hapa naona walimu Wana biashara zao na kama hafanyi direct basi ana kijana anaemuingizia vitu. Binafsi sio mwalimu lakini hawa wanafunzi ukiwatumia ni hela tosha nasema kitu ninachokielewa
Kama hivo ni sawa anampa kijana ndo maana nikatolea mfano akiwa hta na duka jirani na shule pia sawa anakuwa km wafanyabiashara wengine tu
Maybe hatukuelewana hata hiyo inataaratibu zake Kuna vitu hurusiw Japo sio halmashauri zote wengine wanafanya tu ila kwingine ni haitakiwi
 
Kama hivo ni sawa anampa kijana ndo maana nikatolea mfano akiwa hta na duka jirani na shule pia sawa anakuwa km wafanyabiashara wengine tu
Maybe hatukuelewana hata hiyo inataaratibu zake Kuna vitu hurusiw Japo sio halmashauri zote wengine wanafanya tu ila kwingine ni haitakiwi
Sawa kipenzi jioni njema.
 
Nawewe akili Yako ni finyu kwa sababu uko nje ya mfumo, unaingia kazini saa 1:30asb unatoka saa 11 hiyo biashara unaifanya kwa simu? Au whatsap? Walimu wengi wanefeli kwa kuanzisha biashara zisizokua na usimamizi.
Saa 11 unamfundisha nani? Mimi najua muda wa kazi mwisho saa 8 na nusu au wameongeza?
 
Nawewe akili Yako ni finyu kwa sababu uko nje ya mfumo, unaingia kazini saa 1:30asb unatoka saa 11 hiyo biashara unaifanya kwa simu? Au whatsap? Walimu wengi wanefeli kwa kuanzisha biashara zisizokua na usimamizi.
Shida ni kwamba mwalimu unataka ukague wanafunzi ambayo hawajabeba mifagio, ambaye hajachana nywele na makosa mengine mengi. Sasa ukiwa hivyo ni kweli utashindwa ku-manage muda wako
 
Naongea kutokana na uzoefu kidogo, nineona kwenye interview vijana wakipanga mistari mirefu kupambania ugali wao, wengine wamekaa mtaani zaidi ya miaka 10, na bado wapo wanapambana kwenye usahili,

Utakapo pata nafasi ya kuingia kwenye ajira, Moja Kwa Moja na utakutana na watu uko kazini wakiwa wanawaza kuacha kazi, yaani wewe unapambana uingie utakutana na watu ambao wanataka waondoke, wakiwa na depression na mawazo tele, utakuta watu senior, wenye miaka 10 kazini wakiwa hawana nyumba, stress zikiwa nyingi mnooo, utashangaa kuona watu wakishinda na cadet mpauko, bado utakua uelewi elewi, utakaa miaka mitano bila ya kufanya jambo lolote la maana, hapo ndio utaanza kupata depression.

Nimeona vijana wengi wakisema tukishaingia tutafanya biashara au tutafanya kilimo, niamini Mimi kati ya walimu 10 waliofanya hivyo mmoja tu ndio alifanikiwa, kwasababu biashara au kilimo lazima uwepo wewe utajichanganya ufungue biashara alafu umuache mtu hapo ndio utakua Mwisho wako.

Huwezi Fanya jambo lolote la maendeo bila kukopa, mfano ukiingia na degree utakopesheka million 18, na mshahara utabaki na laki mbili au tatu, sasa inategemea hiyo million 18 umeipeleka wapi, kama umeenda kujenga chumba na sebule basi ndio mwanzo wa kuishi maisha ya kifukara maisha yako yoote. Ukiiweka kwenye biashara na umemuweka mtu basi ndio mwisho wako huo.

Kukosa matumaini ya uliowakuta kazini, na miaka yako mitano uliyofanya kazi bila kumiliki chochote, ndio kitakufanya uanze kuwaza kuacha kazi, kuvumilia mateso tena unajikuta umepangwa vijijini uko, au kigoma, sumbawanga, Rukwa n.k hapo ndio utatamani urudi tu uache kazi urudi mjini.

Ubaya wa hii kazi hakuna marupurupu au pesa za kuiba, alafu unyonge wa walimu wa miaka iliyopita ndio itasababisha Kila mtu akuchukulie poa tu, ukijitambulisha wewe ni mwalimu hakuna heshima Wala recognition ambayo utaipata kwa mtu yoyote yule.

Karibuni kwenye ualimu, lakini kama una ndoto miaka Yako 15 ya ualimu utazidiwa na mtu aliyeko TRA, TPA mwenye miaka miwili kazini.

Believe me, nioneshe mtu mwenye status yoyote Tanzania hii ambaye kasomesha mtoto wake ualimu.

Asante.
🙆🏻‍♀️
 
Back
Top Bottom