Karibuni kwenye Kazi ya ualimu, lakini usiwe na matarajio makubwa

Karibuni kwenye Kazi ya ualimu, lakini usiwe na matarajio makubwa

Tafutaa anayejituma na mwenye maono hata kma mwanzo atakuwa mama wa nyumbani muongoze afanye nn na msimamie ukiweka hata bomba atakusaidia kuuza maji kuangalia bustani hata mashamba pia
Muhimu uwe na vision Mpe kazi na muongozo nn unataka. Wwotee mkiwa walimu kasheshe ujuaji mwingi muda hakuna hat biashara ya mtaji wa milioni 1 mtahitaji mfanyakzi
nmekuelewa sana
 
Duh 18M?

Diploma holder wa TCB anakopa 35M baada ya kuthibitishwa kwa mkopo wa Mortgage kisha anaweza kukopa 60M miezi kadhaa baada ya kukopa hiyo 35M.

Kwahiyo huyu wa 18M anapoandikiwa maximum amount kukopa ni 200M na hawa NMB maana yake ni nini hapo?
Tukafanya kazi TCB
 
Nilishawahi kukuomba nauli? Kama umekata tamaa ni wewe... pia mimi si mwalimu... lakini nawafahami waalimu wengi tu maisha yao mazuri
Sikia hakuna walimu wengi wenye maisha mazuri, ila ni mahangaiko tu, kama kula ni maisha mazuri basi sawa, Nina rafiki yangu ni mwalimu yupo daraja G, ana miaka 47, amekopa weee, salary slip inasoma laki Tano na sabini na nne ndio anapokea kama mshahara, vipi huyo na yeye ana maisha mazuri? Watoto wanne, wote wanasoma shule za kawaida tu, nawaambia vijana waingie bila expectation wataumia inabidi wajifunze, Nina miaka miwili kazini baada ya kuliona ilo mzee sijafurahishwa na maisha ya humu tulipo, sina mawazo kwasababu Nina project ya miaka 4 zaidi ya hekari 27, najua nitateseka kwa miaka hiyo Mungu akinibariki siwezi kubaki humu.
 
Nilishawahi kukuomba nauli? Kama umekata tamaa ni wewe... pia mimi si mwalimu... lakini nawafahami waalimu wengi tu maisha yao mazuri
Makasiriko ya nini ndugu,ualimu ni kazi ngumu na ambayo Haina shukurani ,km hujawahi Fanya kazi zenye pesa na hazina kusaini daftari kama mwanafunzi,utaisifia hiyo kazi ya ualimu,kutoboa kwenye kazi ya ualimu ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
 
📌📌📌KOSEA VYOTE USIKOSEE UKAAJIRIWA HALMASHAURI!!!

UKIAJIRIWA HUKO👉YOUR CERTIFIED LOSER!!!MASKINI DEPRESSED CREATURE.UTAJUTA UTAJICHUKIA,UTATAMANI UZALIWE UPYA KWAMAANA YA KUWA UMEPOTEA NJIA.

📌VIJANA MLIOAJIRIWA HALMASHAURI MWANZO MTAONA KAMA NYIE MMEBAHATIKA.ILA TAMBUA BAADA YA MIAKA MITATU MPAKA MITANO HAPO UTAANZA KUONA UHALISIA WA NJIA ULIYOCHAGUA NI UPOTOFU!!!

UTALIA,UTALEWA,UTAGARAGARA,UTABUBUJIKWA NA MACHOZI ILA HAKUNA MSAADA UTAPATA MOJA ITAKUA HAIKAI WALA MBILI HAISIMAMI TATU IKICHUCHUMAA NNE INAGARAGARA YAANI UTAJUTRAAAAAAAAA,,,,

📌MKIFIKA HUKO TUNZENI VIKOJOLEO VYENU.USIKIMBILIE MAJUKUMU KWAMAANA YA KUOA NA KUPATA WATOTO KWAKUA HAPO NDO UTAPOJIVIKA KITANZI KINGINE.TULIZANA ONGEZA MAARIFA AU UZALISHAJI MALI HIVYO VILAKI UTAVIONA VINGI MIAKA MIWILI YA MWANZO BAADA YA HAPO NI HUZUNI😬😬😬

📌WIMBO WA WATUMISHI WA HALMASHAURI NI KUTOP UP. UTATOP UP MPAKA UKUMBUKE UGALI WA BURE WA BABAKO😂😂😂PUMBAVU.

📌📌📌MADOGO HAKUNA ANAYEWATISHA ILA KAA MKIJUA MTAJUTRAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA KUSOMEA FANI YEBOYEBO ZENYE AJIRA ZA PDF...........
 
Kufanikiwa maisha ni akili ya mtu kwani hakuna hao TRA ambao ni choka mbaya maendeleo uletwa na fikra na sio kipato
wewe kula kulala kwa shemeji kaa kwa kutulia wakubwa wakiwa wanaongea.

Hujui chochote kuhusu ajira unaleta mifano na mabishano ya kitoto hapa.Dogo bora utulie usome upepo.
 
Mkuu wewe Una miaka mingapi kwenye mfumo
📌muache huyo ni Sr wako kakuzidi kila kitu.

Jinsi alivyodadavua mambo nyie watoto wadongo hamna mahali wala haki ya kuhoji kayatolea wapi hayo.

📌📌Dogo kaa kwa kutulia,pata mwanga njaa isikufanye ubongo wako uwe na UKUNGU ukakosa kufikiri vyema!
 
Kufanikiwa na akili ya mtu lakin pia kw utafit wangu mdogo wengi waliofanikiwa japo sio wote waliamua kuoa au kuolewa na wenza ambao sio walimu so kukawa na balance ya kupata muda wa kusimamia miradi waliyoanzisha
upate mwenye akili sasa na mchakarikaji!!!

Ila kwa mihemko ya hawa vijana wa hovyo wasioweza kubana kojo na kukojoa nje huwa wanafall kwenye unexoected marriages😬😬😬

Wakute sasa wanavyojifariji baada ya kutotolesha hovyo bila plans🙌🙌🙌
 
Duh 18M?

Diploma holder wa TCB anakopa 35M baada ya kuthibitishwa kwa mkopo wa Mortgage kisha anaweza kukopa 60M miezi kadhaa baada ya kukopa hiyo 35M.

Kwahiyo huyu wa 18M anapoandikiwa maximum amount kukopa ni 200M na hawa NMB maana yake ni nini hapo?
Ni huzuni hizi ajira za SANDAKALAWE!!!

NI kitanzi ambacho kinamaumivu balaaaaaaaaa, na mtu huanza kuona amepotea akianza kuangalia wenzake wa level sawa ya elimu waliopo kwenye MATAASISI.

📌📌📌HAKIKA NI HUZUNI!!!
 
upate mwenye akili sasa na mchakarikaji!!!

Ila kwa mihemko ya hawa vijana wa hovyo wasioweza kubana kojo na kukojoa nje huwa wanafall kwenye unexoected marriages😬😬😬

Wakute sasa wanavyojifariji baada ya kutotolesha hovyo bila plans🙌🙌🙌
Usiwaseme sana mkuu 😃
Lkn ndio ukweli chagua mtu wa maana hata km elimu ndogo lkn anajua kupambana
 
Ni huzuni hizi ajira za SANDAKALAWE!!!

NI kitanzi ambacho kinamaumivu balaaaaaaaaa, na mtu huanza kuona amepotea akianza kuangalia wenzake wa level sawa ya elimu waliopo kwenye MATAASISI.

📌📌📌HAKIKA NI HUZUNI!!!
😃😃Inasikitisha It halmashauri laki 7 it wa taasis milion 2😂😂
 
Usiwaseme sana mkuu 😃
Lkn ndio ukweli chagua mtu wa maana hata km elimu ndogo lkn anajua kupambana
😄😄😄😄 vijana hawa wa hovyo bila kuwasema hivi watakuja kutulaumu baadae kuwa hatukuwaambia.

📌Ni heri kuwaambia sasa ili wakikutana na uhalisia wasipate ukichaaa🤝
 
Back
Top Bottom