Mandonga kelele zake unaweza usitokee ulingoni🤣🤣
Kwa tunaojua boxing hii ni kawaida stunts kama hizi. Ila kibongo-bongo Mandonga kazidi mikwara. Kama una roho ndogo unaweza usitokee ulingoni.
Kesho sio mbali Mandonga Vs Kaoneka
😁😁😀Team mandonga kazi kazi
Aendelee tu na boxing[emoji16][emoji16][emoji3]
Tumshauri kaka yetu achague kazi nyengine ya kufanya.
Daah mwanangu uliona mbali sana hata leo kilichomuangusha Mandonga toka anaingia ni Kijiti nadhani na double kick pia alipiga yaani alikuwa haeleweki balance hanaTeam ya Mandonga inabidi ihakikishe jamaa hapati kijiti leo..kijiti ndio kilimlostisha pambano lililopita jamaa aliingia ulingoni akiwa jicho nyanya
Huoni bichwa lileDaah mwanangu uliona mbali sana hata leo kilichomuangusha Mandonga toka anaingia ni Kijiti nadhani na double kick pia alipiga yaani alikuwa haeleweki balance hana
Katepeteshwa round ya nne
Kwa tunaojua boxing hii ni kawaida stunts kama hizi. Ila kibongo-bongo Mandonga kazidi mikwara. Kama una roho ndogo unaweza usitokee ulingoni.
Kesho sio mbali Mandonga Vs Kaoneka
Na ndivyo ilivyokua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila akifika ulingoni anapewa [emoji109] 1 anakata motoo.
Ila mandonga khaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilishuhudia jana. UwiiiiihNa ndivyo ilivyokua
DAAH MANDONGA CHALIIII
Kwa tunaojua boxing hii ni kawaida stunts kama hizi. Ila kibongo-bongo Mandonga kazidi mikwara. Kama una roho ndogo unaweza usitokee ulingoni.
Kesho sio mbali Mandonga Vs Kaoneka