muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
KayakanyagaAnakuambia Kaoneka amedandia mtumbwi wa kibwengo [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KayakanyagaAnakuambia Kaoneka amedandia mtumbwi wa kibwengo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtani leo tutashuhudia vituko na watatuvunja mbavu zaidi mandonga akipigwa. 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mandonga akasema hamjui kaoneka, baadae akamuambia wee ulisema hutaki tena mapambano, unatulia kulea watoto, sasa umedandia mtumbwi wa kibwengo, hauvushi watu.
Mweeeeeeh!!!!!
[emoji23][emoji23]Kiukweli hawa ndo watasababisha leo nisilale ili nione nani ataibuka mbabe.
Na mwenzake kaoneka kasema Wakazi wa Mbagala wamempa sindano ya kuja kuushona mdomo wa Mandonga hivyo leo kazi ipo. [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan sitaki kupitwa na pambano la Mandonga, uwiiiiih, akipigwa Brand yake itakua zaidiMtani leo tutashuhudia vituko na watatuvunja mbavu zaidi mandonga akipigwa. [emoji23][emoji23]
Huyu anafaa kuchukua nafasi ya haji pale kwa wazee wa sensa na makazi.Ukraine wangempata huyu akawa msemaji wao, nadhani hata putin angeogopa
Juma kilaza alikuwa ni mwanamuziki mpiga gitaa wa bendi ya cuban marimba ya morogoro(enzi hizo upinzani upo kati ya cuban marimba ya Salumu Abdalllah na moro jazz ya Mbaraka Mwinshehe). Sasa huyu kilaza skawa anatamba sana kama mandoka kuwa yy ni mpiha gitaa mkali huyo Mbaraka hawezi mfikia likaandaliwa pambano (la upigaji gitaa)ambapo ktk hilo pambano aligalagazwa vibaya na huyo Mbaraka na kuonekana ana uwezo mdogo sana(kilaza) tokea hapo ndipo neno kilaza likaanza kutumika kurefer mtu mwenye uwezo mdogoJuma Kilaza alifanyaje mkuu
Juma kilaza alikuwa ni mwanamuziki mpiga gitaa wa bendi ya cuban marimba ya morogoro(enzi hizo upinzani upo kati ya cuban marimba ya Salumu Abdalllah na moro jazz ya Mbaraka Mwinshehe). Sasa huyu kilaza skawa anatamba sana kama mandoka kuwa yy ni mpiha gitaa mkali huyo Mbaraka hawezi mfikia likaandaliwa pambano (la upigaji gitaa)ambapo ktk hilo pambano aligalagazwa vibaya na huyo Mbaraka na kuonekana ana uwezo mdogo sana(kilaza) tokea hapo ndipo neno kilaza likaanza kutumika kurefer mtu mwenye uwezo mdogoJuma Kilaza alifanyaje mkuu
safi sana mkongwe kwa storiJuma kilaza alikuwa ni mwanamuziki mpiga gitaa wa bendi ya cuban marimba ya morogoro(enzi hizo upinzani upo kati ya cuban marimba ya Salumu Abdalllah na moro jazz ya Mbaraka Mwinshehe). Sasa huyu kilaza skawa anatamba sana kama mandoka kuwa yy ni mpiha gitaa mkali huyo Mbaraka hawezi mfikia likaandaliwa pambano (la upigaji gitaa)ambapo ktk hilo pambano aligalagazwa vibaya na huyo Mbaraka na kuonekana ana uwezo mdogo sana(kilaza) tokea hapo ndipo neno kilaza likaanza kutumika kurefer mtu mwenye uwezo mdogo
tubet,Mandonga anachinja mtu leoMtani leo tutashuhudia vituko na watatuvunja mbavu zaidi mandonga akipigwa. 😂😂
Juma kilaza alikuwa ni mwanamuziki mpiga gitaa wa bendi ya cuban marimba ya morogoro(enzi hizo upinzani upo kati ya cuban marimba ya Salumu Abdalllah na moro jazz ya Mbaraka Mwinshehe). Sasa huyu kilaza skawa anatamba sana kama mandoka kuwa yy ni mpiha gitaa mkali huyo Mbaraka hawezi mfikia likaandaliwa pambano (la upigaji gitaa)ambapo ktk hilo pambano aligalagazwa vibaya na huyo Mbaraka na kuonekana ana uwezo mdogo sana(kilaza) tokea hapo ndipo neno kilaza likaanza kutumika kurefer mtu mwenye uwezo mdogo