Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida hata ukiitoa CCM unawaweka akina naniNchi hii Ina fedha nyingi sana...
Muhimu ni kuitoa ccm madarakani.
Mpaka sasa imeshindwa kuendesha serikali!
Mtakoma...Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?
Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Ramadan kareem!
Bora uweke hakuna ili ccm hao nao wajipange!Shida hata ukiitoa CCM unawaweka akina nani
Tanzania wezi wenye pesa huwa hawafungwi, hapo uchunguzi utaendelea hadi yesu anarudi atawakuta bado wako kwa uchunguzi!!Dawa ya mwizi, Jela!
Zingine hizi ni kelele tu
Lakini si kasema watupishe,au!!?Mama akianza kusema eti wale wanaoiba fedha za Umma Mungu atawaona, basi tumekwisha.
Ghorofa si issue kwani ukiwa na million 300 unajenga ghorofa vizuri tuHaa haa Leo nimepita nikaona ghorofa nikaambiwa la afande Muroto
Wewe unayo hiyo mil 300?Ghorofa si issue kwani ukiwa na million 300 unajenga ghorofa vizuri tu
Hili la Rais kulalamikia tu wabadhirifu wa mali za umma pasipo kutoa amri ya kutaka wachukuliwe hatua kali za kisheria haliingii akilini hata kidogo. Yeye ndiye Kiongozi Mkuu, na vyombo vyote vya dola vipo chini yake.Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?
Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Ramadan kareem!
Watu hawaelewi wanapiga tuuAkiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?
Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Ramadan kareem!
Naona Samia kageuka mchungaji/shee, hivyo ndivyo vyeo vyake Samia kwa upole na akili yake urais kwakwe ni cheo kikubwa mno sema nibahati ndio ilimbeba,Samia fanya kazi ya urais hayo mambo ya kwenda mbinguni wachie mashee na wachungaji,kama umeshindwa pisha wenye uwezo.Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?
Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Ramadan kareem!