Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Hajui matumizi ya pesa siyo! Zitawasaidia nini?

Wao wanaolipana mishahara na posho nene + pension nzito huwa wanazikwa nazo.

Watu hawaamini hata uwepo wa Mungu mwenyewe wewe unawaambia habari za hukumu?

NB:Kama mtumishi upo kwenye nafasi ya kupíga pesa,piga hasa maana hata ukistaafu serikali yako haikuthamini kiasi hata pension yako utaisotea kama hisani vile.
 
Hajui matumizi ya pesa siyo! Zitawasaidia nini?

Wao wanaolipana mishahara na posho nene + pension nzito huwa wanazikwa nazo.

Watu hawaamini hata uwepo wa Mungu mwenyewe wewe unawaambia habari za hukumu?

NB:Kama mtumishi upo kwenye nafasi ya kupíga pesa,piga hasa maana hata ukistaafu serikali yako haikuthamini kiasi hata pension yako utaisotea kama hisani vile.
Sanaa tu
 
Bora uweke hakuna ili ccm hao nao wajipange!
Gari likianza kuzingua safarini Bora umetafute fundi... Ikibidi utafute plan B, C, D.
Tukijiendea hivi matatizo ya kimfumo yatakuwa magumu na yatatengeneza majizi kila kaya
Hao upinzani wenyewe wapo ndani ya mfumo wa chama tawala.
 
Kama majitu malevi, mazinzi, matapeli unafikiria hata huyo Mungu wanamjua[emoji23][emoji23] wacha wapige mambo mengine bila ya imani ya kando huwezi kuzuia. Wewe unasema Mungu atahukumu je yeye anaamini hilo.

Ebu tufanyeni tathmini kwa nn China wanakuwa na hofu sana katika uwizi haswa viongozi wa umma ..wanachukuliwa utumishi ni kama devoted service na sio kimaslahi zaidi na pia uzalendo wanafundishwa tangu watoto.
Tulikubaliana hatutaki nidhamu ya uoga jamani
 
Kama majitu malevi, mazinzi, matapeli unafikiria hata huyo Mungu wanamjua😂😂 wacha wapige mambo mengine bila ya imani ya kando huwezi kuzuia. Wewe unasema Mungu atahukumu je yeye anaamini hilo.

Ebu tufanyeni tathmini kwa nn China wanakuwa na hofu sana katika uwizi haswa viongozi wa umma ..wanachukuliwa utumishi ni kama devoted service na sio kimaslahi zaidi na pia uzalendo wanafundishwa tangu watoto.
China ukiwa mtumishi wa umma na wananchi wakibaini unawaibia fedha zao kuna mawili moja lazima litakupata: utanyongwa/kufungwa kwenye magereza ya mateso na serikali yenyewe au kuuwaawa kwa siri na wananchi wa kimkakati.. na hili ndilo litakalokuja kutokea Tanzania
 
Wamethibitika wachukuliwe hatua mara moja.

 
Unaleta habari za mungu kwani utumishi wa umma ni nyumba ya ibada,?
Ile kauli imenifikirisha sana...
Yaani watu wenyewe wanaombewa Kila kukicha na viongozi wao wa dini hadi wamewashindwa alafu unawahasa kuhusu imani??

NB: Tulazimishe overhaul ya mfumo!
 
Hako kabibi kanatakiwa kutolewa madarakani, hakuna kiongozi pale.

Watu wanakula hela za wananchi unauliza kwa mungu watajibu nini?!!!!
Bure kabisa.
Ndo maana hata tukiwa na katiba nzuri vip kama nchi inaendeshwa kwa hisani tu amna litakalobadilika
 
Viongozi wa kiafrika,,,wanapenda sana kumtaja Mungu unaweza dhani wanamaanisha kweli lakini ndio wabinafsi,,,wezi,,matapeli,,dhulma,,wafaidhina,,nk Sasa sijui hata huyo Mungu wanamtaja wa nini??Ameshakupa mamlaka na utashi wa namna ya kuyakabili mazingira bado tena unamwachia yeye ndio afanye,,na kauli inatolewa na the Top,,yaani inamaanisha hana utashi wa kimamlaka alijaaliwa wa kuamua hadi amwachie Mungu na uwezo huo anao,,,###adui wa mwafrika ni mwafrika mwenzake###
 
Kama majitu malevi, mazinzi, matapeli unafikiria hata huyo Mungu wanamjua[emoji23][emoji23] wacha wapige mambo mengine bila ya imani ya kando huwezi kuzuia. Wewe unasema Mungu atahukumu je yeye anaamini hilo.

Ebu tufanyeni tathmini kwa nn China wanakuwa na hofu sana katika uwizi haswa viongozi wa umma ..wanachukuliwa utumishi ni kama devoted service na sio kimaslahi zaidi na pia uzalendo wanafundishwa tangu watoto.
Hehehehe! Ma-mafia hayajui habari za Mungu! Ukitumia hoja za Mungu yanabaki yanacheka, yanaiba na hela yanapeleka hukohuko kanisani au misikitini na viongozi wa dini wanazipokea kama sadaka!
 
Muarobaini wa Tatizo la Wizi serikalini ni Uchunguzi wa Kina wa Mali pamoja na Fedha zinazomilikiwa na WATUMISHI WA UMMA kulinganisha na Mishahara yao.
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!

Hakika
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
Amuulize JK kwanza.
 
Hehehehe! Ma-mafia hayajui habari za Mungu! Ukitumia hoja za Mungu yanabaki yanacheka, yanaiba na hela yanapeleka hukohuko kanisani au misikitini na viongozi wa dini wanazipokea kama sadaka!
😂
 
Back
Top Bottom