Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.
Huu mstari umeandikwa wapi, au umejisemea tu 😁😁.
Hangaya kila siku ni kulalamika tu, kwani hajui humo kwenye CCM kuna majizi na yasiyo hofu hata hiko kiama.Wao ni kuchumia tumbo tu, kama yeye msafi ajiwajibishe kama anaweza. Kwani aliyewaambia wajipimie nani?.
 
hana lolote huyo anawaogopa, utapata wapi ujasiri wa kukalipia wakati wewe mwenyewe si msafi??.
yaani leo uwaambie wale kwa urefu wa kamba zao wasivuke kwa wengine alafu kesho uwafokee eti wanakula sana ??haiwezekani...aache kutuhadaa watanzania namna hiyo..yeye mwenyewe amuogope Mungu tena bora angenyamaza kimya atulie iwe kama nchi haina rais
 
Mkuu tusubilie hukumu,huku Tozo ziendelea,Shule hazina madawati, Wafanyakazi wa Umma wanazidi kuwa fukara, tunaendelea kukopa na riba juu,Shule hazina vifaa vya maabara,Barabara bado ni tatizo, huduma za afya bado ni changamoto.......hata Mungu mwenyewe atatushangaa na kutuona yale maarifa aliyotupa kuyatumia hatuyatumii........
Viongozi wanaokwepa kuwajibika mara zote hutafuta visingizio. Sasa tumwachie Mungu vipi na wakati yeye ametuachia sisi tutawale hii dunia na kuitiisha?. Hiyo nafasi ni oversize kwake akae pembeni.
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!


Then unakuta mwiz mwenyewe haamini kama kuna mungu ha ha ha
 
Dadadadeki michawa yake sasa inabughaa ndio imeisha hio 2025 akalee wajukuu nazi kwenye shamba la miwa sio pahala pake
 
Samia aache uhuni kalipio na kuchukizwa na wizi akusaidii kitu anapaswa kuchukua hatua yeye ndiye mwenye nguvu yakuamua chochote juu ya hii nchi aache kutilia huruma kama yatima awe mkali akiendelea hvi kuchukizwa na pesa zetu zinavyoibwa bila kuchukua hatua na kuanza bembeleza watu ety kama mmeshindwa mtupishe kwa hiari 2025 tunakupiga chini
 
hana lolote huyo anawaogopa, utapata wapi ujasiri wa kukalipia wakati wewe mwenyewe si msafi??.
yaani leo uwaambie wale kwa urefu wa kamba zao wasivuke kwa wengine alafu kesho uwafokee eti wanakula sana ??haiwezekani...aache kutuhadaa watanzania namna hiyo..yeye mwenyewe amuogope Mungu tena bora angenyamaza kimya atulie iwe kama nchi haina rais
Exactly, ajitafakari kama kweli yeye ni kiongozi au mlalamishi.
 
Viongozi wanaokwepa kuwajibika mara zote hutafuta visingizio. Sasa tumwachie Mungu vipi na wakati yeye ametuachia sisi tutawale hii dunia na kuitiisha?. Hiyo nafasi ni oversize kwake akae pembeni.
Badala ya kutengeneza mpango kazi kupambana na matumizi mabaya,ila tunamwachia Mungu,kweli? Inasikitisha sana
 
Kama kiongozi ingebidi asitoe hizo kauli, angewajibisha wa wote walioiba ili na yeye Kwa Mungu awe na la kusema.
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
Mwagito kwani Andrew Change yuko wapi?
 
Hiyo kauki inaonesha haendi kuchujua hatua ila ataenda kuwaacha.
Kiongozi huwez toa kauli kama hizo. Kauli zako zinakuwa ni warudishe kabla hajaanza kuwachukulia hatua au takukuru wafanye kazi yake
 
Exactly, ajitafakari kama kweli yeye ni kiongozi au mlalamishi.
anawafanya watanzania wajinga sana huyu mama, ila Mungu atamlipa. Yeye ndiye namba moja ambaye anapigia debe uizi wa mali za nchi kwa kusema wale kwa urefu wa kamba zao..yaani unamteua mtu akusaidie kazi alafu unamwambia ale kwa urefu wa kamba yake..wakati ukijua wazi kabisa kwamba mtu huyo atalipwa mshahara nyumba na usafiri....rais ajitafakari sana kama anafaa kuendelea kuiongoza nchi yetu
 
Back
Top Bottom