nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,940
Nchi ngumu sana hii [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watanzania hawaeleweki
Yaani kuwaelewa watanzania ni kazi sana [emoji1787][emoji1787]
Alipokuwa akisema watazitapika,Walisema Magufuli anatumia lugha chafu..
Mama wa watu amesema wezi wamwogope Mungu watz bado wanalalama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nipo na [emoji897] zangu naenjoy