Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Karipio la Rais Samia: Unaiba hela ya Umma ikusaidie nini? Utazikwa nayo? Utajibu nini Mbele ya Mungu?

Watanzania hawaeleweki
Yaani kuwaelewa watanzania ni kazi sana [emoji1787][emoji1787]

Alipokuwa akisema watazitapika,Walisema Magufuli anatumia lugha chafu..
Mama wa watu amesema wezi wamwogope Mungu watz bado wanalalama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Mimi nipo na [emoji897] zangu naenjoy
Nchi ngumu sana hii [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
Kukasirika bila kuchukua hatua ni kazi bure, wezi watishwe kwa hatua kali zinazochukuliwa dhidi yao, hayo mambo ya kujibu mbele ya Mungu wala hakuna wa kuyaogopa kama wangeyaogopa kila siku wanahubiriwa makanisani na misikitini wangesha acha.
Rais atumie sheria kukemea vitendo vya ubadhirifu sio maandiko matakatifu yeye ni rais wa nchi sio Amirat wa msikiti wa Chamwino
 
Tanzania tunachoweza ni wizi wa mali za umma, sio wazee wala vijana, wabongo kuwaongoza inahitaji Rais uwe tough kama jiwe, na ukiwa hivyo watalia roho yako mbaya, wanataka kudekezwa.
 
Tena wewe
Si mlisema Magufuli anaongea kikatili,

Mama wa watu anamwachia Mungu ila bado mnataka mumuandame
Asifoke-foke kama yule kambale bali asimame kama kiongozi atoe maelekezo kama sheria inavyohitaji na sio kumsukumia Mungu mzigo huo.
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
Ndiyo aelewe wanapomwambia anaupiga mwingi
 
Akiongea kwa uchungu kufuatia Ripoti ya CAG kuonyesha viongozi wanaiba bila uwoga, Rais Samia amewauliza Wanaiba Fedha za Umma ili ziwasaidie nini? Je, watazikwa nazo? Na siku ya hukumu Mbele ya Mungu wataosema nini?

Hili karipio limenifikirisha sana na kunirejesha kwenye Kitabu kitakatifu Biblia, wala Rushwa ni vipofu na dhambi hiyo itawaenea Wana wao Kizazi hata Kizazi.

Ramadan kareem!
Kwa kweli mama kaliweka katika upande wa dhamira invyoweza kumsuta mtu.

Hili limeonyesha kuna watu hawana dhamira njema na nchi hii.
Wasakwe.
 
Hakimu wa haki ni Mungu
Sisi kama walokole tunasimama na kauli ya Mama.
Mungu atahukumu na watakufa wataziacha mali.
Mkuu tusubilie hukumu,huku Tozo ziendelea,Shule hazina madawati, Wafanyakazi wa Umma wanazidi kuwa fukara, tunaendelea kukopa na riba juu,Shule hazina vifaa vya maabara,Barabara bado ni tatizo, huduma za afya bado ni changamoto.......hata Mungu mwenyewe atatushangaa na kutuona yale maarifa aliyotupa kuyatumia hatuyatumii........
 
Mkuu tusubilie hukumu,huku Tozo ziendelea,Shule hazina madawati, Wafanyakazi wa Umma wanazidi kuwa fukara, tunaendelea kukopa na riba juu,Shule hazina vifaa vya maabara,Barabara bado ni tatizo, huduma za afya bado ni changamoto.......hata Mungu mwenyewe atatushangaa na kutuona yale maarifa aliyotupa kuyatumia hatuyatumii........
Wapi huko hawana madawati?
Jiwe aliposema anapigania wanyonge alidhihakiwa na watu wakadai kuwa watz siyo wanyonge,,labda kama yeye mwenyewe ndo mnyonge🤣🤣🤣

"Hukumu ni juu yangu,"Asema Bwana wa Majeshi.
Tupo nyuma ya kauli ya Mama.
 
Back
Top Bottom