Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

Karma Doesn't exist.

Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.

Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.

Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.

Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?

Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.

Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.

Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.

Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.

The rich goes richer, the poor goes poorer.

Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.

Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.

Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.

Karma is an illusion.

Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.

Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.

Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.

Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.

Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.

I'm out.
Fanya ubaya
Then give it a time and definitely the time will tell.
 
I totally agree with you,ni dhana ya maskini kujifariji,kama karma ingekua kweli basi wazungu walivyotutesa wangekua na hali mbaya sana.

They are still F***ck us na amna kitu tunawafanya wala iyo karma
 
I totally agree with you,ni dhana ya maskini kujifariji,kama karma ingekua kweli basi wazungu walivyotutesa wangekua na hali mbaya sana.

They are still F***ck us na amna kitu tunawafanya wala iyo karma
WTF

Karma unaweza kuipindua Kwa kutenda mema .

Soma Uzi wa Pascal Mayalla kuhusu karma utaelewa vizuri .

How to reverse karma
 
Karma Doesn't exist.

Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.

Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.

Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.

Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?

Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.

Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.

Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.

Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.

The rich goes richer, the poor goes poorer.

Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.

Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.

Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.

Karma is an illusion.

Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.

Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.

Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.

Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.

Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.

I'm out.
Ww ni tajiri?
 
Time will tell wapi wewe?

Mababu zetu walioteswa utumwani na wazungu na waarabu hiyo karma imewafanya ni nini?
Kabisa babu zetu walipelekwa utumwani wakateswa wakauawa bila hatia,,,,,nakupa mfano kwa Marekani.....ile ardhi ilikunywa damu za babu zetu wasio na hatia......mpaka leo wale wazungu walio fanya mauaji kwa babu zetu uzao wao bado wateseka.......kwa mfano watoto wa kizungu wasio na hatia wanaweza ku uawa bila hatia, aidha wakiwa shule au wakiwa nyumbani au popote pale......ardhi ni shahidi na mbingu ni shahidi....
 
Kabisa babu zetu walipelekwa utumwani wakateswa wakauawa bila hatia,,,,,nakupa mfano kwa Marekani.....ile ardhi ilikunywa damu za babu zetu wasio na hatia......mpaka leo wale wazungu walio fanya mauaji kwa babu zetu uzao wao bado wateseka.......kwa mfano watoto wa kizungu wasio na hatia wanaweza ku uawa bila hatia, aidha wakiwa shule au wakiwa nyumbani au popote pale......ardhi ni shahidi na mbingu ni shahidi....
Mbona black people ndio wanao ongoza kuuana na kuteseka Marekani?

Na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Watu weusi ndio wanateseka.

Watu weusi ndio wana uwawa sana bila hata hatia, Rejea mauaji ya George Floyd.

Sasa hiyo karma ina attack watu weusi tu?
 
Mbona black people ndio wanao ongoza kuuana na kuteseka Marekani?

Na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Watu weusi ndio wanateseka.

Watu weusi ndio wana uwawa sana bila hata hatia, Rejea mauaji ya George Floyd.

Sasa hiyo karma ina attack watu weusi tu?
MUda huu yaani sasa hivi hapa nipo Marekani.....wazungu ndio wana hali mbaya kuliko weusi.....na sijui kwa nini haitangazwi......kila siku watu wanakufa kwa makumi.....si mamia wala maelfu ni makumi tu....lakini siku kumi???,,,,,,,,,.........
JUzi kushinda jana hatua kama mia toka ninapoishi kuna mama wa kizungu kaua wanae wawili kaua mbwa na yeye kajimaliza sababu haieleweki......je? unajuaje kama babu yake hakushiriki mauaji kitambo? neno laana maana yake nini??? KARMA je?
 
Back
Top Bottom