Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

Kwan unadhani UKIUA KWA UPANGA nawe utauwa kwa UPANGA ndo itimie karma
Ama unadhani ukiqa unapenda kutembea na wake za watu basi unadhani Karma ni lazima iwe kma hvyo watu waje watembee na mke wako pia
Big NO MWENYEZIMUNGU atakulipa karma yako kwa mtindo wowote mpk MOYO mwenyewe utang'amu na kujisemea moyoni HAKIKA HAYA NDIO MALIPO YA UBAYA WANGU
karma inalipwa katika MOYO wako kwa misukosuko itakayokutesa mpk uklia na kujutia mwenyewe kuwa haya ni malipo yangu
Kila mja atalipwa kwa namna yoyote hapa DUNIANI kwa yale mabaya aliyoyatenda 7bu malipo no DUNIANI AKHERA HUESABIWA
Aisee weeee jamaa MUNGU akubariki Sana Kwa jibu lako.....
 
Karma is real believe or not ila mtenda hutendewa kuna instant karma na inayochelewa ,tenda wema utajalipwa wema tenda baya utapata malipo yake
 
Kama karma ipo, basi

MUNGU YUPO

SHETANI YUPO

KINYUME CHAKE NI KWELI PIA.
 
Karma Doesn't exist.

Karma ni dhana ya kimaskini inayowapa matumaini uchwara watu maskini kujifariji na matatizo yao dhidi ya watesi wao.

Mababu zetu waliteswa sana na kusulubishwa ipasavyo wakati wa utumwa na ukoloni, Lakini hiyo karma haijawahi kufanya, haijafanya na haitakaa ifanye chochote dhidi ya wazungu.

Waafrika wamebaki maskini na wazungu wanazidi kuwa matajiri.

Unafikiri matajiri watateseka kwa sababu ya kudhulumu maskini kisa eti kuna karma?

Haitakaa itokee, Sahau na futa hii dhana kabisa akilini mwako.

Tuanze tu hapa Afrika. Watawala wengi na viongozi wa serikali wamekuwa wakiwahujumu wananchi wao kwa ufisadi, wizi wa fedha za umma, ubadhirifu wa mali za umma na kuwasulubu raia wao kwa kuwatwanga kodi kubwa.

Wananchi wanabaki kulia lia tu, Mara oooh! Tunamwachia Mungu, Mungu atatenda, Mungu atafanya, Mungu atatulipia, Wengine wanajifariji Karma itawafunza viongozi wao!! Na maneno mengi ya kujifariji. Lakini mwisho wa siku hakuna kinacho tokea.

Watawala na vizazi vyao wanazidi kuneemeka na kutajirika huku wananchi walala hoi na vizazi vyao wanazidi kuwa makapuku, makabwela, mafukara na maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi.

The rich goes richer, the poor goes poorer.

Kama karma ingekuwa inafanya kazi kweli, Manung'uniko yote ya wananchi maskini kudhulumiwa na wanasiasa matajiri yangefanya karma iwafikie wanasiasa wote na kuwafanya wabadilike.

Lakini hakuna kinachotokea na karma haionekani kusaidia chochote zaidi ya kuwapa matumaini uchwara tu, wadhulumiwa watu maskini.

Maskini wanazidi kuwa maskini na manung'uniko yao na matajiri wanazidi kuwa matajiri licha ya kuwadhulumu maskini.

Karma is an illusion.

Forget about karma, Make your own money live the best life you can live. Stop hoping that karma will catch up with your oppressors. It won't.

Never think that the rich will suffer because they oppress the poor. Never they won't.

Mababu zetu waliteswa sana na wakoloni na hiyo karma haikufanya chochote.

Watawala na viongozi wa Afrika wanazidi kuwatesa waafrika na hiyo karma haifanyi chochote.

Karma doesn't exist. In the jungle of life salvation is largely on your hands.

I'm out.
Inaonekana wewe ni fisadi papa na hapo unajifariji kisaikolojia
 
Karma zipo ni vile wewe hujachunguza au hujui mhusika anachopitia.Karma ipo ila mhusika akiomba huondoka.Hata Daudi alivyomchukua mke wa Uria Karma ilikuwa iingie nyumbani kwake ila kwakuwa aliomba msamaha Mungu alimsamehe Karma ipo ivi
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga
Unachezea mabinti za watu binti yako nae atakuja kuharibiwq
Uliharibu ndoa ya mwenzako ya kwako pia na za watoto wako ndoa zao zitapata shida
Uliua kwa hila utauwawa kwa hila
Unachezea binti za watu makusudi ukisubiri muda wa kuoa utulie utaoa gumegume au kuolewa na gumegume kama malipo uliyofanya
 
😄
 

Attachments

  • F20A1C63-24D0-466B-B208-E8F0217821F1.jpeg
    F20A1C63-24D0-466B-B208-E8F0217821F1.jpeg
    322.9 KB · Views: 3
Karma is real alafu karma inavyofanya kazi inakuwa personal malipo unayalipa personal kama ulivyokuwa unatenda personal basi na malipo yanakuwa personal, alafu malipo ya karma hayana kelele kabisa hata wewe unalipa hayo malipo unakuwa haujui kama unalipa.
Karma ni nadharia mfu
 
Kwan unadhani UKIUA KWA UPANGA nawe utauwa kwa UPANGA ndo itimie karma
Ama unadhani ukiqa unapenda kutembea na wake za watu basi unadhani Karma ni lazima iwe kma hvyo watu waje watembee na mke wako pia
Big NO MWENYEZIMUNGU atakulipa karma yako kwa mtindo wowote mpk MOYO mwenyewe utang'amu na kujisemea moyoni HAKIKA HAYA NDIO MALIPO YA UBAYA WANGU
karma inalipwa katika MOYO wako kwa misukosuko itakayokutesa mpk uklia na kujutia mwenyewe kuwa haya ni malipo yangu
Kila mja atalipwa kwa namna yoyote hapa DUNIANI kwa yale mabaya aliyoyatenda 7bu malipo no DUNIANI AKHERA HUESABIWA
Kuna mwanadamu asiyepitia misukosuko?
Yesu mwenyewe alipitia misukosuko , tuambie alikuwa katenda kosa gani ili tuamini ishu za karma
 
Kwan unadhani UKIUA KWA UPANGA nawe utauwa kwa UPANGA ndo itimie karma
Ama unadhani ukiqa unapenda kutembea na wake za watu basi unadhani Karma ni lazima iwe kma hvyo watu waje watembee na mke wako pia
Big NO MWENYEZIMUNGU atakulipa karma yako kwa mtindo wowote mpk MOYO mwenyewe utang'amu na kujisemea moyoni HAKIKA HAYA NDIO MALIPO YA UBAYA WANGU
karma inalipwa katika MOYO wako kwa misukosuko itakayokutesa mpk uklia na kujutia mwenyewe kuwa haya ni malipo yangu
Kila mja atalipwa kwa namna yoyote hapa DUNIANI kwa yale mabaya aliyoyatenda 7bu malipo no DUNIANI AKHERA HUESABIWA
Hakuna Mungu anayelipa watu kwa matendo yao.

Huyo Mungu hayupo.
 
Haya mambo ya kusema eti tunamwachia Mungu ni upumbavu wa hali ya juu.

Mungu hajishughulishi wala hajihusishi na kulipa visasi. Mungu hawezi kamwe kumuuwa mtu eti kwa sababu mtu huyo aliuwa au kudhulumu watu wengine, hakuna jambo kama hilo.

Mtu anaweza kujiuwa mwenyewe. Anaweza kuuawa na watu wengine. Anaweza kufa kifo cha asili.

Uovu unafanywa na binadamu. Kwa sababu hiyo wao ndiyo wana jukumu la kuuondoa.

Mungu hafanyi uovu na hachangamani nao.

Watu hawateseki eti kwa sababu Mungu analipiza kisasi kutokana na matendo yao, hapana.

Watu wanateseka na shida mbalimbali kwa sababu wanakataa Mungu: Kwa sababu wanakataa ukweli; kwa sababu wanakataa kufanya jitihada zinazofaa kuondoa uharibifu uliotokea kutokana na makosa.
Sawa lakini, kumbuka hii dunia, kunasiri nyingi sana katika maisha yetu sisi binadamu, hatuwezi kufahamu zote, nakupa mfano mdogo tu, uchawi, unafaida na hasara, uko kwajiri, ya kusapoti watu, ambayo wanadhul
 
Karma is bitch, u can't run away from your sin , no matter faster your are one day will catch on you.
 
Mbona mababu zetu waliteswa sana kipindi cha ukoloni na walimwachia huyo Mungu lakini hajafanya chochote?

Huyo Mungu ni Mungu gani?
Ukoloni ulikua na faida na hasara, ilikua lazima, wafanye hivyo ili watutawale, ili kueneza, utamaduni wao, AFRICA, Ndio faida, tunaiona leo, walileta elimu, siasa na utawala wa kufata katiba. Pia na n.k
 
Back
Top Bottom