Japo kutumbuliwa kwao sio afueni ya mtanzania, sababu wanasiasa 99% nchi hii ni wale wale tu, wote wachumia tumbo, hawajali kuhusu tanzania ya kesho wala mtanzania wa leo
Wana kazi maalumu ya kukusanya mpunga. Si unaona Mwigulu alivyowahi mapema tu kutuhumu gazeti la Nipashe? Si unaona Luhaga anavyoteseka kwa msimamo wake wa sukari? Gusa unase!
Sasa wewe unataka wafanye nini mkuu? Wasikitike kwa kuwa Nape katumbuliwa? Au waingie mtaani ili arudishwe.
Majuzi hapa nilijiunga bando la 10K Voda. Lile bando haki ya nani sikulifanyia kitu na lilikatika hivi naliona hata dakika 10 hazikuisha wakati nipo JF hapa hapa. Wizi wa waziwazi. Na Nape ilikuwa akipelekewa malalamiko kama haya anajibu kwa dharau sana na kusema makampuni ya simu yanaingia gharama sana. Hatukuwa na mtetezi.
Jerry Slaa akija na moto aliotoka nao huko Ardhi akafanya kazi vizuri na makampuni ya simu haya yakaacha wizi na hata kupunguza gharama za mabando kidogo, hii itakuwa ni ahueni kubwa sana kwa mwananchi wa kawaida anayeibiwa kila leo na hana mahali pa kulalamikia.
Ndiyo. Hata mimi nimefurahi Nappe kuondolewa maana hakuwa na msaada wo wote!
Jana kumefanyika utenguzi na utumbuzi wa mawaziri 3. Hivyo kutumbuliwa kwao ni matokeo ya mawazo yao, maneno yao na matendo yao, kutumbuliwa huko ni haki yao na stahiki yao.
Wanabodi, Kwa maslahi ya Taifa, should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Tangu kutumbuliwa kwa...
www.jamiiforums.com
Ila hata kama kuteuliwa ni just kwa pleasure ya the appointing authority, na unateuliwa by favours tuu na sio kwa kustahili na stahiki, pia kwenye kutenguliwa, unaweza kutenguliwa uki fall out of favours za the appointing authority, na ukatenguliwa bila kosa lolote, na mteuzi akawa hajafanya kosa lolote kwasababu uteuzi na utenguzi is at the pleasure tuu za mamlaka ya uteuzi.
Lakini kwenye kutumbuliwa lazima mtu ufanye kosa la kustahili kutumbuliwa, ukitumbuliwa kwa uonevu, then karma itaingilia kati kukufidia na kukulipia!.
Mfano kutumbuliwa kwa Nape, inawezekana kabisa ni accumulation ya karma za mabao ya mkono yote aliyoyasimamia, hivyo ametumbuliwa kwa haki. Lakini kama ametumbuliwa kwa kosa la kuusema ule ukweli wa kinachofanyika kwenye uchaguzi, then Nape ameponzwa na mdomo wake, ila hicho alichokisema kama ni kitu cha kweli na huwa kinafanyika, then Nape ametumbuliwa kwa kuonewa hivyo anatakiwa ku rejoices na karma itamfidia na kumlipia! .
Kwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Kwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Watanzania tufike mahali tu demand the right to information wakati wa utumbuzi, mfano mpaka leo, sijawahigi kujua, kwanini Balozi Liberata Mulamula alitumbuliwa, sasa January Makamba nae ametumbuliwa, natamani kujua sababu. Sihitaji kujua sababu ya Nape kutumbuliwa itakuwa ni mdomo umemponza kwa ile kauli ya Waswahili ya "mzaha mzaha, hutumbua usaha", lakini kwa Byabato ana kosa gani?.
Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
Paskali.
Si huwa kuna msemo uraisi ni taasisi ina viona mbali tutulie tu kama alivyoteuliwa pia hatukupewa sababu ya uteuzi mfano january alikuwa waziri awamu ya tano akatumbuliwa awamu ya sita akateuliwa bila kujulishwa wananchi imefika muda wacha karma ya kumsema vibaya wazi wazi marehemu yeye na familia iwatafune!
Kwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Kwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Qur'an 2:216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui. 216
Jana kumefanyika utenguzi na utumbuzi wa mawaziri 3. Hivyo kutumbuliwa kwao ni matokeo ya mawazo yao, maneno yao na matendo yao, kutumbuliwa huko ni haki yao na stahiki yao.
Wanabodi, Kwa maslahi ya Taifa, should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Tangu kutumbuliwa kwa...
www.jamiiforums.com
Ila hata kama kuteuliwa ni just kwa pleasure ya the appointing authority, na unateuliwa by favours tuu na sio kwa kustahili na stahiki, pia kwenye kutenguliwa, unaweza kutenguliwa uki fall out of favours za the appointing authority, na ukatenguliwa bila kosa lolote, na mteuzi akawa hajafanya kosa lolote kwasababu uteuzi na utenguzi is at the pleasure tuu za mamlaka ya uteuzi.
Lakini kwenye kutumbuliwa lazima mtu ufanye kosa la kustahili kutumbuliwa, ukitumbuliwa kwa uonevu, then karma itaingilia kati kukufidia na kukulipia!.
Mfano kutumbuliwa kwa Nape, inawezekana kabisa ni accumulation ya karma za mabao ya mkono yote aliyoyasimamia, hivyo ametumbuliwa kwa haki. Lakini kama ametumbuliwa kwa kosa la kuusema ule ukweli wa kinachofanyika kwenye uchaguzi, then Nape ameponzwa na mdomo wake, ila hicho alichokisema kama ni kitu cha kweli na huwa kinafanyika, then Nape ametumbuliwa kwa kuonewa hivyo anatakiwa ku rejoices na karma itamfidia na kumlipia! .
Kwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Kwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Watanzania tufike mahali tu demand the right to information wakati wa utumbuzi, mfano mpaka leo, sijawahigi kujua, kwanini Balozi Liberata Mulamula alitumbuliwa, sasa January Makamba nae ametumbuliwa, natamani kujua sababu. Sihitaji kujua sababu ya Nape kutumbuliwa itakuwa ni mdomo umemponza kwa ile kauli ya Waswahili ya "mzaha mzaha, hutumbua usaha", lakini kwa Byabato ana kosa gani?.
Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
Paskali.
Japo kutumbuliwa kwao sio afueni ya mtanzania, sababu wanasiasa 99% nchi hii ni wale wale tu, wote wachumia tumbo, hawajali kuhusu tanzania ya kesho wala mtanzania wa leo
duh, hivi dunia hii mtu kama makamba unaweza kuweka neno uonevu kweli kwenye chochote kitakachomtokea? I mean, lets be real tuache kumdhihaki Mungu, chochote negative kitakachompata kinaweza kuwa chochote lkn uonevu siyo, hapo umetumia maneno vibaya, anaonewa mwalimu aliyetumikia miaka 40 anahangaikia pension yake, anaonewa polisi au mama lishe anayetupiwa na kuporwa mtaji wake na mgambo, anaonewa mtoto yatima na wangine wengi wasio na mtetezi lkn siyo makamba au nape …
duh, hivi dunia hii mtu kama makamba unaweza kuweka neno uonevu kweli kwenye chochote kitakachomtokea? I mean, lets be real tuache kumdhihaki Mungu, chochote negative kitakachompata kinaweza kuwa chochote lkn uonevu siyo, hapo umetumia maneno vibaya, anaonewa mwalimu aliyetumikia miaka 40 anahangaikia pension yake, anaonewa polisi au mama lishe anayetupiwa na kuporwa mtaji wake na mgambo, anaonewa mtoto yatima na wangine wengi wasio na mtetezi lkn siyo makamba au nape …
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.