makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Wana kazi maalumu ya kukusanya mpunga. Si unaona Mwigulu alivyowahi mapema tu kutuhumu gazeti la Nipashe? Si unaona Luhaga anavyoteseka kwa msimamo wake wa sukari? Gusa unase!Bashe na mwiguru naona wamebaki
Sasa wewe unataka wafanye nini mkuu? Wasikitike kwa kuwa Nape katumbuliwa? Au waingie mtaani ili arudishwe.Yana badilisha maiamsha yao? hizi ni sanaaa, still matatizo common ya raia yako pale pale.
Si huwa kuna msemo uraisi ni taasisi ina viona mbali tutulie tu kama alivyoteuliwa pia hatukupewa sababu ya uteuzi mfano january alikuwa waziri awamu ya tano akatumbuliwa awamu ya sita akateuliwa bila kujulishwa wananchi imefika muda wacha karma ya kumsema vibaya wazi wazi marehemu yeye na familia iwatafune!Wanabodi
Mimi ni mwalimu wa somo linaloitwa karma humu jukwaani.
Karma ni kuhukumiwa kwa mawazo yako, maneno yako na matendo yako, wazungu wanasema, what goes around, comes around.
Nashauri kama huijui karma, anza bandiko hili kwa kujifunza kuhusu karma "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Jana kumefanyika utenguzi na utumbuzi wa mawaziri 3. Hivyo kutumbuliwa kwao ni matokeo ya mawazo yao, maneno yao na matendo yao, kutumbuliwa huko ni haki yao na stahiki yao.
Niliwahi kushauri
Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
Wanabodi, Kwa maslahi ya Taifa, should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Tangu kutumbuliwa kwa...www.jamiiforums.com
Ila hata kama kuteuliwa ni just kwa pleasure ya the appointing authority, na unateuliwa by favours tuu na sio kwa kustahili na stahiki, pia kwenye kutenguliwa, unaweza kutenguliwa uki fall out of favours za the appointing authority, na ukatenguliwa bila kosa lolote, na mteuzi akawa hajafanya kosa lolote kwasababu uteuzi na utenguzi is at the pleasure tuu za mamlaka ya uteuzi.
Lakini kwenye kutumbuliwa lazima mtu ufanye kosa la kustahili kutumbuliwa, ukitumbuliwa kwa uonevu, then karma itaingilia kati kukufidia na kukulipia!.
Mfano kutumbuliwa kwa Nape, inawezekana kabisa ni accumulation ya karma za mabao ya mkono yote aliyoyasimamia, hivyo ametumbuliwa kwa haki. Lakini kama ametumbuliwa kwa kosa la kuusema ule ukweli wa kinachofanyika kwenye uchaguzi, then Nape ameponzwa na mdomo wake, ila hicho alichokisema kama ni kitu cha kweli na huwa kinafanyika, then Nape ametumbuliwa kwa kuonewa hivyo anatakiwa ku rejoices na karma itamfidia na kumlipia! .
Kwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Kwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Niliwahi kuandika humu Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?
Watanzania tufike mahali tu demand the right to information wakati wa utumbuzi, mfano mpaka leo, sijawahigi kujua, kwanini Balozi Liberata Mulamula alitumbuliwa, sasa January Makamba nae ametumbuliwa, natamani kujua sababu. Sihitaji kujua sababu ya Nape kutumbuliwa itakuwa ni mdomo umemponza kwa ile kauli ya Waswahili ya "mzaha mzaha, hutumbua usaha", lakini kwa Byabato ana kosa gani?.
Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
Paskali.
Labda Byabato ametumbuliwa kwa kutomsahihisha mropokajiKwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Huyu mama ubunge wake aliuachia lini mpaka akaenda huko USKwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Karma is for real π³Wanabodi
Mimi ni mwalimu wa somo linaloitwa karma humu jukwaani.
Karma ni kuhukumiwa kwa mawazo yako, maneno yako na matendo yako, wazungu wanasema, what goes around, comes around.
Nashauri kama huijui karma, anza bandiko hili kwa kujifunza kuhusu karma "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Jana kumefanyika utenguzi na utumbuzi wa mawaziri 3. Hivyo kutumbuliwa kwao ni matokeo ya mawazo yao, maneno yao na matendo yao, kutumbuliwa huko ni haki yao na stahiki yao.
Niliwahi kushauri
Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
Wanabodi, Kwa maslahi ya Taifa, should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?. Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?. Tangu kutumbuliwa kwa...www.jamiiforums.com
Ila hata kama kuteuliwa ni just kwa pleasure ya the appointing authority, na unateuliwa by favours tuu na sio kwa kustahili na stahiki, pia kwenye kutenguliwa, unaweza kutenguliwa uki fall out of favours za the appointing authority, na ukatenguliwa bila kosa lolote, na mteuzi akawa hajafanya kosa lolote kwasababu uteuzi na utenguzi is at the pleasure tuu za mamlaka ya uteuzi.
Lakini kwenye kutumbuliwa lazima mtu ufanye kosa la kustahili kutumbuliwa, ukitumbuliwa kwa uonevu, then karma itaingilia kati kukufidia na kukulipia!.
Mfano kutumbuliwa kwa Nape, inawezekana kabisa ni accumulation ya karma za mabao ya mkono yote aliyoyasimamia, hivyo ametumbuliwa kwa haki. Lakini kama ametumbuliwa kwa kosa la kuusema ule ukweli wa kinachofanyika kwenye uchaguzi, then Nape ameponzwa na mdomo wake, ila hicho alichokisema kama ni kitu cha kweli na huwa kinafanyika, then Nape ametumbuliwa kwa kuonewa hivyo anatakiwa ku rejoices na karma itamfidia na kumlipia! .
Kwa vile Nape aliyatamka hayo kwa Byabato, jee Byabato kosa lake ni nini hadi kutumbuliwa?, inawezekana ni kauli ya Nape!, hivyo Byabato ametumbuliwa kwa kuponzwa na Nape bila yeye kufanya kosa lolote, hivyo ametumbuliwa kwa uonevu. This being the case, Byabato anatakiwa ku rejoice, atafidiwa, na kulipiwa!.
Kwa January, kiukweli sijui kama ilivyo kwa Balozi Liberata Mulamula, mpaka leo sijawahigi kujua sababu, ila tayari Balozi Liberata Mulamula karma imeisha mfidia sasa ni resident lecturer wa diplomasia chuo kikuu cha John Hopkins University nchini Marekani akila dola za kutosha tuu!.
Niliwahi kuandika humu Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?
Watanzania tufike mahali tu demand the right to information wakati wa utumbuzi, mfano mpaka leo, sijawahigi kujua, kwanini Balozi Liberata Mulamula alitumbuliwa, sasa January Makamba nae ametumbuliwa, natamani kujua sababu. Sihitaji kujua sababu ya Nape kutumbuliwa itakuwa ni mdomo umemponza kwa ile kauli ya Waswahili ya "mzaha mzaha, hutumbua usaha", lakini kwa Byabato ana kosa gani?.
Nashauri tumsaidie Rais Samia, asifanye kitu kinachoitwa " bad karma accumulation" bila kujijua, japo uteuzi na utenguzi is at the pleasure of the appointing authority, ukimtumbua mtu bila haki, kwa namna inayomdhalilisha, huyo mtumbuliwa akiumia, ana develop bad karma ya maumivu yake, hiyo bad karma inahifadhiwa katika akiba ya karma accumulation ya aliyesababisha maumivu hayo!, hivyo hii accumulation ina pile up, ikifikia kuwa the pile is big enough hadi furushi hilo la karma likawa halibebeki, then hilo zigo la karma, litamuelemea mbebaji sometimes linaweza kumponza na ... ndio maana nimewashauri viongozi wetu wateuliwa Wito Kwa Viongozi Wetu: Unapokosea, hata kwa kujikwaa tu ulimi, tujenge utamaduni wa kuwajibika ili kumuepushia Rais wetu kubeba mzigo wa karma
Paskali.
Kila mmoja ataubeba mzigo wake muda ukiwadia π³Hii karma nayo haina macho? Haimuoni mwigulu?
Japo kutumbuliwa kwao sio afueni ya mtanzania, sababu wanasiasa 99% nchi hii ni wale wale tu, wote wachumia tumbo, hawajali kuhusu tanzania ya kesho wala mtanzania wa leo
Sio kweli !Wengine husema Karma alishachoka kupambania wapumbavu. Sasa hivi kaacha kazi. Ni wewe tu na nguvu na connection zako.
Thatβs it ππduh, hivi dunia hii mtu kama makamba unaweza kuweka neno uonevu kweli kwenye chochote kitakachomtokea? I mean, lets be real tuache kumdhihaki Mungu, chochote negative kitakachompata kinaweza kuwa chochote lkn uonevu siyo, hapo umetumia maneno vibaya, anaonewa mwalimu aliyetumikia miaka 40 anahangaikia pension yake, anaonewa polisi au mama lishe anayetupiwa na kuporwa mtaji wake na mgambo, anaonewa mtoto yatima na wangine wengi wasio na mtetezi lkn siyo makamba au nape β¦
ππππkumbe wewe pamoja na uchawa wako hujui kinachoendelea?Siyo kwamba namba moja anataka kuwaweka kwenye timu ya ushindi?