Karma ni ukweli na karma hulipa kwa haki jifunze kuishi vizuri na watu

Karma ni ukweli na karma hulipa kwa haki jifunze kuishi vizuri na watu

strongest

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2024
Posts
343
Reaction score
1,562
swala la karma ni kwamba

Kila tendo tunalofanya lina matokeo yake. Ukimuumiza mtu leo, huenda ukasahau, lakini ulimwengu hautasahau.

Maumivu uliyosababisha yanaweza kurudi kwako kwa njia usiyoitarajia—labda kupitia mtu mwingine au wakati usioutarajia.

aise Maisha ni duara, na unachoweka ndani yake ndicho utakachovuna. Jenga mema, ili kesho karma ikuletee amani badala ya majuo

karma anasema ukimchezea mtu rafu ichukue kama deni utakuja kilipa na riba juu.

unaweza kuharibu maisha ya binti kwa kumpa mimba ukamkimbia akabaki anasakamwa na kuumizwa kihisia kama single mother finally ukaoa ukapata mabint tupu nao wote wakazalia happ wako

sometimes kama huwez kumtendea mtu mema basi usimtendee mabaga stay neutral kumkwepa karma
 
Mbaya zaidi ni kumuumiza mtu ambaye ana watu nyuma wanaomtegemea, watu hawafikiri ni watu wangapi wataumia kwa kumuumiza mtu mmoja.

Kuna boss wangu nilipishana nae kauli akanifukuza kazi, mbaya zaidi akaongea maneno mengine ya uongo juu yangu ili nisisaidiwe kwenye department nyingine, hajui tuu n watu wangapi wameumia kwa alichonifanyia.
 
swala la karma ni kwamba

Kila tendo tunalofanya lina matokeo yake. Ukimuumiza mtu leo, huenda ukasahau, lakini ulimwengu hautasahau.

Maumivu uliyosababisha yanaweza kurudi kwako kwa njia usiyoitarajia—labda kupitia mtu mwingine au wakati usioutarajia.

aise Maisha ni duara, na unachoweka ndani yake ndicho utakachovuna. Jenga mema, ili kesho karma ikuletee amani badala ya majuo

karma anasema ukimchezea mtu rafu ichukue kama deni utakuja kilipa na riba juu.

unaweza kuharibu maisha ya binti kwa kumpa mimba ukamkimbia akabaki anasakamwa na kuumizwa kihisia kama single mother finally ukaoa ukapata mabint tupu nao wote wakazalia happ wako

sometimes kama huwez kumtendea mtu mema basi usimtendee mabaga stay neutral kumkwepa karma
Karma inakuondoa unaacha vinono
 
Mbaya zaidi ni kumuumiza mtu ambaye ana watu nyuma wanaomtegemea, watu hawafikiri ni watu wangapi wataumia kwa kumuumiza mtu mmoja.

Kuna boss wangu nilipishana nae kauli akanifukuza kazi, mbaya zaidi akaongea maneno mengine ya uongo juu yangu ili nisisaidiwe kwenye department nyingine, hajui tuu n watu wangapi wameumia kwa alichonifanyia.
Hujawahi kuwa serious..ndiyo Leo.
Pole sana mkuu
 
Karma doesn't exist.

Karma haipo.

Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini na matatizo yao.

Mababu zetu waliteswa sana utumwani na wakati wa ukoloni na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Wazungu wamezidi kupata maendeleo. Waafrika tumezidi kudidimia na uduni wetu.

There's nothing like karma.

Do you think the rich will suffer because they oppress the poor? Never.

The rich get richer, the poor they suffer.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

No Karma.

Karma is the promise for the poor so that they don't revenge when they are bullied and oppressed.


Cc min -me
 
Hiyo karma mbona haiwapati wana siasa wauwaji, watekaji na wadhulumu mali za watu? Iko kwa upendeleo wa watu baadhi tu?
Karma haipo mkuu.

Karma ni dhana ya kuwafariji maskini na matatizo yao.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

There's nothing like karma.

Mababu zetu waliteswa sana utumwani na wakati wa ukoloni lakini hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Wazungu wamezidi kufanikiwa na waafrika tumebaki na manung'uniko tu.

Karma is the promise for the poor so that they don't revenge when they are oppressed.
 
yah karma never joke maisha ya watu wengi ni reflection ya karma sema watu wanachukulia poa tu..
Hakuna cha karma.

Maelfu ya mababu zetu waliuwawa utumwani na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Sanasana mmeletewa dini na Yesu wa kuwapumbaza akili kwamba, Forgive your enemies and pray for them.

Baada ya wazungu kuwatesa vya kutosha mababu wa kiafrika wakaleta Biblia inayo kwambia, Forgive your enemies...!!!

Na miafrika ilivyo mijinga ina shout Amen! Amen! Amen!
 
Karma doesn't exist.

Karma haipo.

Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini na matatizo yao.

Mababu zetu waliteswa sana utumwani na wakati wa ukoloni na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Wazungu wamezidi kupata maendeleo. Waafrika tumezidi kudidimia na uduni wetu.

There's nothing like karma.

Do you think the rich will suffer because they oppress the poor? Never.

The rich get richer, the poor they suffer.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

No Karma.

Karma is the promise for the poor so that they don't revenge when they are bullied and oppressed.


Cc min -me
naunga mkono hoja, wacha waendelee kujifariji
 
Back
Top Bottom