Karma ni ukweli na karma hulipa kwa haki jifunze kuishi vizuri na watu

Karma ni ukweli na karma hulipa kwa haki jifunze kuishi vizuri na watu

Don't come to react with your emotions.

Huo ulikuwa ni mfano kwamba hiyo karma haifanyi chochote.

If you are not mentally enough to reason and think properly and critically don't come to vomit your nonsense here.

Ujinga ni mzigo mkubwa sana
 
Karma doesn't exist.

Karma haipo.

Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini na matatizo yao.

Mababu zetu waliteswa sana utumwani na wakati wa ukoloni na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Wazungu wamezidi kupata maendeleo. Waafrika tumezidi kudidimia na uduni wetu.

There's nothing like karma.

Do you think the rich will suffer because they oppress the poor? Never.

The rich get richer, the poor they suffer.

In the jungle of life salvation is largely on your hands.

No Karma.

Karma is the promise for the poor so that they don't revenge when they are bullied and oppressed.


Cc min -me
Hakuna cha karma.

Maelfu ya mababu zetu waliuwawa utumwani na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.

Sanasana mmeletewa dini na Yesu wa kuwapumbaza akili kwamba, Forgive your enemies and pray for them.

Baada ya wazungu kuwatesa vya kutosha mababu wa kiafrika wakaleta Biblia inayo kwambia, Forgive your enemies...!!!

Na miafrika ilivyo mijinga ina shout Amen! Amen! Amen!
Nilitaka nishangae nisikutane na majibu kama haya mbona simu ningeuza mana huenda senso za iPhone yàngu pangine iliwekwa ya inifinix
 
Hivi umewahi kusikia wazungu wanaamini mambo ya LAANA kama huku Africa?
 
mbona wazungu walitutesa ila mpaka sasa ndo wanazidi kunemeka sisi wahanga tunazidi kutanga tanga
 
Back
Top Bottom