1Afica54
Senior Member
- Feb 15, 2025
- 115
- 68
Think before you write so that you don't come here to advertise your ignorance.
Nakuandikia kiswahili unajibu kingereza wewe mtumwa wa fikra na maarifa ya kipagani😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Think before you write so that you don't come here to advertise your ignorance.
Nakuandikia kiswahili unajibu kingereza wewe mtumwa wa fikra na maarifa ya kipagani😂😂😂
Nakuandikia kiswahili unajibu kingereza wewe mtumwa wa fikra na maarifa ya kipagani😂😂😂Think before you write so that you don't come here to advertise your ignorance.
Zumbukuku wewe.Nakuandikia kiswahili unajibu kingereza wewe mtumwa wa fikra na maarifa ya kipagani😂😂😂
Don't come to react with your emotions.
Huo ulikuwa ni mfano kwamba hiyo karma haifanyi chochote.
If you are not mentally enough to reason and think properly and critically don't come to vomit your nonsense here.
Kama ulionao wewe.Ujinga ni mzigo mkubwa sana
Huna maarifa mwafrika wa onlineZumbukuku wewe.
Umeishiwa hoja unaleta Viroja.
Mpagani mkubwa sanaKama ulionao wewe.
Karma doesn't exist.
Karma haipo.
Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini na matatizo yao.
Mababu zetu waliteswa sana utumwani na wakati wa ukoloni na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.
Wazungu wamezidi kupata maendeleo. Waafrika tumezidi kudidimia na uduni wetu.
There's nothing like karma.
Do you think the rich will suffer because they oppress the poor? Never.
The rich get richer, the poor they suffer.
In the jungle of life salvation is largely on your hands.
No Karma.
Karma is the promise for the poor so that they don't revenge when they are bullied and oppressed.
Cc min -me
Nilitaka nishangae nisikutane na majibu kama haya mbona simu ningeuza mana huenda senso za iPhone yà ngu pangine iliwekwa ya inifinixHakuna cha karma.
Maelfu ya mababu zetu waliuwawa utumwani na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.
Sanasana mmeletewa dini na Yesu wa kuwapumbaza akili kwamba, Forgive your enemies and pray for them.
Baada ya wazungu kuwatesa vya kutosha mababu wa kiafrika wakaleta Biblia inayo kwambia, Forgive your enemies...!!!
Na miafrika ilivyo mijinga ina shout Amen! Amen! Amen!
Lete hapa hayo maarifa yako tuyaone.Huna maarifa mwafrika wa online
Nincompoop.Mpagani mkubwa sana
😎📌Nincompoop.
🚮😎📌