Mungu yupo anakusikia kilio chako na yy atalipwa japo baadaeMbaya zaidi ni kumuumiza mtu ambaye ana watu nyuma wanaomtegemea, watu hawafikiri ni watu wangapi wataumia kwa kumuumiza mtu mmoja.
Kuna boss wangu nilipishana nae kauli akanifukuza kazi, mbaya zaidi akaongea maneno mengine ya uongo juu yangu ili nisisaidiwe kwenye department nyingine, hajui tuu n watu wangapi wameumia kwa alichonifanyia.
Pole sana mkuuMbaya zaidi ni kumuumiza mtu ambaye ana watu nyuma wanaomtegemea, watu hawafikiri ni watu wangapi wataumia kwa kumuumiza mtu mmoja.
Kuna boss wangu nilipishana nae kauli akanifukuza kazi, mbaya zaidi akaongea maneno mengine ya uongo juu yangu ili nisisaidiwe kwenye department nyingine, hajui tuu n watu wangapi wameumia kwa alichonifanyia.
Hivi kwanini kwenye haya mambo yenu ya imani za kusadikika mzigo mkubwa huwa wanabebeshwa MASIKINIKarm exist
Karma is a debt is not favoritism
Be good
Spread positive energy
And treat peoples equally
Matatizo mengi ya watu ni zile roho zao zakutopenda watu wengine wafanikiwe na kuumiza wenzao .
Msamaha
Maombi
N.k hayawezi kusaidia kuondoa bad karma Ila kubadilika na kuwa mtu chanya.
Na masikini ndo wahanga au waathirika wakubwa wa Karma kwakuwa wanawaza kimasikini na kuombea wenzao mabaya muda wote so Yale mabaya huwarudia.
Ilikuje mkuuKarma is real
Eeh nilikua siamin ila nimeamin haswaaa
Hii kitu nilidhani ni illusion Ila nimeona mwenyewe so sifikirii Kama ni riwaya za kusadikika wakati nimeonaHivi kwanini kwenye haya mambo yenu ya imani za kusadikika mzigo mkubwa huwa wanabebeshwa MASIKINI
Hivi unadhani Mo anawaombea mema washindani wake kibiashara au unadhani Mark wa Facebook anaiombea mema Tik Tok?
Hakuna watu wanawaziana na kufanyiana figisu mbaya kama matajiri mkuu
Unajua figisu anazo zifanya USA na washirika wake NATO?
Mkuu trust me watu wabaya dunia hii ndio wanafanikiwa zaidi kuliko watu wema
Karma ni ujinga wa kuwafariji masikini na wote wanao onewa
Mkuu tatizo la imani ni swala la mind set...... unapoa amini kitu basi uta force na kutengeneza nadharia just to fit your imaginationHii kitu nilidhani ni illusion Ila nimeona mwenyewe so sifikirii Kama ni riwaya za kusadikika wakati nimeona
Watu wa upande mwingine wadhulumaji , wakandamizaji, waovu, nao Wana misingi Yao inayowapa faraja na nguvu. Lakin mwisho wa siku HAKI lazma isimame.Karma doesn't exist.
Karma haipo.
Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini na matatizo yao.
Mababu zetu waliteswa sana utumwani na wakati wa ukoloni na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.
Wazungu wamezidi kupata maendeleo. Waafrika tumezidi kudidimia na uduni wetu.
There's nothing like karma.
Do you think the rich will suffer because they oppress the poor? Never.
The rich get richer, the poor they suffer.
In the jungle of life salvation is largely on your hands.
No Karma.
Karma is the promise for the poor so that they don't revenge when they are bullied and oppressed.
Cc min -me
Mababu zetu walioteswa utumwani na kuuwawa HAKI gani imepatikana kwa sisi waafrika?Watu wa upande mwingine wadhulumaji , wakandamizaji, waovu, nao Wana misingi Yao inayowapa faraja na nguvu. Lakin mwisho wa siku HAKI lazma isimame.
Ujinga ni mzigo sana mda wote mababu zetuuu mababu zetu wewe jamaa unashida sanaKarma doesn't exist.
Karma haipo.
Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini na matatizo yao.
Mababu zetu waliteswa sana utumwani na wakati wa ukoloni na hiyo karma haijawafanya chochote wazungu.
Wazungu wamezidi kupata maendeleo. Waafrika tumezidi kudidimia na uduni wetu.
There's nothing like karma.
Do you think the rich will suffer because they oppress the poor? Never.
The rich get richer, the poor they suffer.
In the jungle of life salvation is largely on your hands.
No Karma.
Karma is the promise for the poor so that they don't revenge when they are bullied and oppressed.
Cc min -me
Kwahio unahitaji mda wa kulipwa hayo mazuri au mabaya walipwe wazungu lini πMababu zetu walioteswa utumwani na kuuwawa HAKI gani imepatikana kwa sisi waafrika?
Shida Babu Yako alikua mjinga Bado wewe ni una asili hiyo hiyo upo online mda wote unamaliza bundle kama babu Yako alivyo cheza rumba badala ya kumiliki viwanja Leo hii una umaskini level ya absolutely poverty endelea kukaa online wajukuu wako wafe njaa ππ₯Mababu zetu walioteswa utumwani na kuuwawa HAKI gani imepatikana kwa sisi waafrika?
Don't come to react with your emotions.Ujinga ni mzigo sana mda wote mababu zetuuu mababu zetu wewe jamaa unashida sana
Think before you write so that you don't come here to advertise your ignorance.Kwahio unahitaji mda wa kulipwa hayo mazuri au mabaya walipwe wazungu lini π
This kind of fallacy is called ad hominem attack.Shi
Shida Babu Yako alikua mjinga Bado wewe ni una asili hiyo hiyo upo online mda wote unamaliza bundle kama babu Yako alivyo cheza rumba badala ya kumiliki viwanja Leo hii una umaskini level ya absolutely poverty endelea kukaa online wajukuu wako wafe njaa ππ₯
πππThis kind of fallacy is called ad hominem attack.
Umeshindwa kujibu hoja unaleta Viroja.
Find someone of your league to parallel your mediocrity
Halfwit bastard.