Karma Sio Mchezo!, Hatimaye 'Wasiojulikana' Hawa!, Waanza Kutajana!. Asiyejulikana Mmoja Awataja Wenzake!. Do We Have, a Hopeless Police Force?

Ile sheria ya tiss 2023....kazi tunayo !! Kisasina mtu wa tiss ..unatekwa gang lao na uvccm wanakusingizia unampinga malkia mitandaoni na wanakuua kukutupa ....hakuna kesi wala kuulizwa...tuko pabaya sanaaa
 
Task Force iliundwa imetoa report kwa Govt acha nicheke.....!! Baso sawa ......au basiiii
baada ya kifo cha Mzee Kibao,Maza alikasirika kweli,akataka uchunguzi, wachunguzi wakamdanganya!。
P
 
Daaaaa task force wamekula hela ya bureee....walikuwa obey pale siku 14 .....bure kabisaaa....kweli wamemdanganya......na kumtisha...
Wanamdanganya mama kirahisi kwasababu wanaijua intellect yake, kitu ambacho wasinge fanya kwa chuma angewabalasa!。
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…