Karma Sio Mchezo!, Hatimaye 'Wasiojulikana' Hawa!, Waanza Kutajana!. Asiyejulikana Mmoja Awataja Wenzake!. Do We Have, a Hopeless Police Force?

Karma Sio Mchezo!, Hatimaye 'Wasiojulikana' Hawa!, Waanza Kutajana!. Asiyejulikana Mmoja Awataja Wenzake!. Do We Have, a Hopeless Police Force?

Wanabodi,

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge kwa kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali,na alama ya kuuliza.

Ni Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa linahangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo vya utekaji, utesaji, na mauaji, na kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwna JF maarufu Ben Saanane, na vitendo hivi vilifika peak, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kupigwa marisasi mchana kweupe akiwa katika makazi ya Wabunge jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, watu kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri.

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia.

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia.

Kisha tukahamasishana kuisaidia serikali yetu pale inaposhindwa.

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya.

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
P,

Tukitoa siasa hakuna ukweli wowote kwamba Chadma wanajiteka wenyewe. Wakati wa tekateka kulikuwa na miss call mfano walisema CAG wa zamani katekwa Bagamoyo haijawa hivyo kwasababu wakati ule kila aliyesema serikali asikojulikana alipo kwa siku chache watu walifikiri ametekwa. Lakini hii haibadilishi ukweli kwamba utekaji ulifanywa na kikosi maalumu kama Tindu Lissu alivyosema. Jeshi la Polisi halijawahi kukana aliyosema Tindu Lissu.

Lakini unaongelea viongozi ambao ni omba omba. Dr Slaa amekuwa ombaomba toka Ndesamburo afariki. Alivyoenda Canada alikuwa kachoka na kuombewa kazi kwa Magufuli. Mimi siamini kabisa kwamba Chadema wamejiteka hata kidogo. Mo naye kesi yake imeishia wapi, Roma kesi yake imeishia wapi, Ben Sanane mwenyewe alisema watu ambao wanamtisha sasa kwanini tusifuatilie hao kwanza. Lissu alitoa mpaka plate number lakini leo tunataka kujiaminisha uongo! kwanini tusingefuatilia ili plate numbers hasa nyie wahandishi wa habari

Ukweli ni kwamba ubweya na uongo ndiyo utamaduni mpya
 
Wanabodi,

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge kwa kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali,na alama ya kuuliza.

Ni Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa linahangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo vya utekaji, utesaji, na mauaji, na kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwna JF maarufu Ben Saanane, na vitendo hivi vilifika peak, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kupigwa marisasi mchana kweupe akiwa katika makazi ya Wabunge jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, watu kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri.

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia.

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia.

Kisha tukahamasishana kuisaidia serikali yetu pale inaposhindwa.

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya.

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
Hili gazeti linaboa kusoma. Kwanini usiende tu direct kuliko kuuzunguka mbuyu?
 
Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge kwa kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali,na alama ya kuuliza.
Mkuu Mayalla kwahiyo unakiri Ndooguy alikunyoosha😂😂😂Mzee wa Kapernaum🔥🔥
 
watu kama akina bashite hawa kupaswa kuepo uraiani adi sasa, hata US embassy wana ushaidi wa kutosha kabisa…………...
 
Wanabodi,

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge kwa kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali,na alama ya kuuliza.

Ni Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa linahangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo vya utekaji, utesaji, na mauaji, na kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwna JF maarufu Ben Saanane, na vitendo hivi vilifika peak, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kupigwa marisasi mchana kweupe akiwa katika makazi ya Wabunge jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, watu kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri.

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia.

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia.

Kisha tukahamasishana kuisaidia serikali yetu pale inaposhindwa.

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya.

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
NANI HUYO KAKA?
 
Paskali umetumia udhaifu wa huyo unaemuita "asiyejulikana" kuingiza ukada wako kwa manufaa ya chama chako.

Wasiojulikana wanafahamika wazi walikuwa wanafanya kazi kwa manufaa ya nani na chama chake, narudia tena, umetumia udhaifu wa huyo "asiyejulikana" ili kuiridhisha nafsi yako.
 
Brother umezunguka sana hadi umekata Pumzi .

Hao unaowaita wasiojulikana ni KIKOSI KAZI kilichoundwa chini ya ofisi ya Rais kupitia TISS kudhibiti wale wote waliokuwa kikwazo kwa mtukufu.

Mwandishi gani unakuwa muoga oga hivyo kwa jambo lililoumiza watanzania kwa kiasi kikubwa kile.?
 
Wanabodi,

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge kwa kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali,na alama ya kuuliza.

Ni Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa linahangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo vya utekaji, utesaji, na mauaji, na kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwna JF maarufu Ben Saanane, na vitendo hivi vilifika peak, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kupigwa marisasi mchana kweupe akiwa katika makazi ya Wabunge jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, watu kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri.

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia.

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia.

Kisha tukahamasishana kuisaidia serikali yetu pale inaposhindwa.

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya.

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.😆Good question...
 
Wanabodi,

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge kwa kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali,na alama ya kuuliza.

Ni Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa linahangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo vya utekaji, utesaji, na mauaji, na kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwna JF maarufu Ben Saanane, na vitendo hivi vilifika peak, Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kupigwa marisasi mchana kweupe akiwa katika makazi ya Wabunge jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, watu kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri.

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia.

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia.

Kisha tukahamasishana kuisaidia serikali yetu pale inaposhindwa.

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya.

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
Pascal Mayalla Serikali inayajua haya siyo kwamba haijui, Nikupe mfano kipindi cha rais Mpaka kuna waziri wa ujenzi alitishiwa maisha mpaka akataka kujiuzuru uwazir cha ajabu rais akaishia kumpa walizi binafisi wa serikali waziri huyo John Pombe Magufuli na wale waliomtishia kumuua hawakuchukuliwa hatua yeyote.

The same to Mwakyembe na ile sumu na Tindikali kwa Said Kubenea. Pascal Mayalla tuseme serikali haiwafahamu wanasiasa wanaotumia mbinu za kigaidi kubaki kwenye chati au kuendelea kuwamaliza watu wanaoonekana kuwa ni tishio kwao!
Kwa upande wangu naona usalama wa taifa tunawasingizia sana ile ukweli wanasiasa wenye Tamaa ndio wanatumia hii taasisi ya usalama na makundi mengine KIGAIDI
 
Back
Top Bottom