Una uhakika na ulichokiandika hapa, kwa hiyo hata Mama Samiah atakuwa anawafahamu maana kila kilichokuwa kinatendeka na Magufuli huyu pia alikuwa akifahamu 🤔🤔
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa,
Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na wasiojulikana.
Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge Kwa tuhuma kuwa eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge la JMT kwa kutoa statement ya kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali," Jee Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali?, na alama ya kuuliza, Ila mbunge aliyenituhumu bungeni, yeye hakuiona hiyo alama ya kuuliza, na Kwa vile sifa za Mbunge wa Bunge la JMT ni pamoja na kujua kusoma na kuandika, hivyo mtu yoyote aliyemaliza darasa la 7, lazima ana uwezo wa kusoma nakuandika, hivyo uwezo huo wakusoma ni pamoja na uwezo wa kuiona alama ya kuuliza!. Vitu vidogo vidogo kama hivi, vinatusababishia wana jamii kuhoji viwango vya elimu vya baadhi ya wabunge wetu viko chini ya kiwango cha darasa la 7!. Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?
Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa likisumbuliwa na kuhangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo viovu ikiwa ni pamoja na utekaji, utesaji, na mauaji, na miili kutoonekana, na mingingine kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji na kuonekana ikiwa imefungwa kwenye viroba.
Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwana JF maarufu Ben Saanane, na wengine wengi. Vitendo hivi vilifika peak, pale Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kumiminiwa marisasi ya kutosha, mchana kweupe akiwa katika makazi rasmi ya Wabunge, yenye ulinzi imara 24/7 jijini Dodoma.
Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.
Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu na taasisi fulani fulani kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.
Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.
Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri,
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS. Introduction ya Mada Hii ni mada very...
www.jamiiforums.com
Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia. Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kufikishwa-mahakamani-kesho-au-kuachiwa-huru.419161/
Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-hatma-ya-chadema-ipo-mikononi-kwa-lwakatare-baada-ya-chadema-kumwaga-ugali-lwaka-akiamua-kumwaga-mboga-chadema-kwishney.1729255/
Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.
Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!
Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.
Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.
Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.
Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.
Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.
Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.
Uko sawa kuhusu huyu kiongozi mkubwa wa Chama fulani na kuhusu yule jamaa aliyetupwa jela miaka thelathini alipoulizwa mahakamani akasema alikuwa anatekeleza maagizo ya mheshimiwa rais Magufuri hiyo hoja nayo utawalaumu polisi pekee au system ya nchi kuanzia Rais,TISS,Chama cha Mapinduzi na baadhi ya waandishi wa habari kama wewe kuangalia usalama wao zaidi kuliko usalama wa nchi kwa ujumla?
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa,
Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na wasiojulikana.
Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge Kwa tuhuma kuwa eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge la JMT kwa kutoa statement ya kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali," Jee Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali?, na alama ya kuuliza, Ila mbunge aliyenituhumu bungeni, yeye hakuiona hiyo alama ya kuuliza, na Kwa vile sifa za Mbunge wa Bunge la JMT ni pamoja na kujua kusoma na kuandika, hivyo mtu yoyote aliyemaliza darasa la 7, lazima ana uwezo wa kusoma nakuandika, hivyo uwezo huo wakusoma ni pamoja na uwezo wa kuiona alama ya kuuliza!. Vitu vidogo vidogo kama hivi, vinatusababishia wana jamii kuhoji viwango vya elimu vya baadhi ya wabunge wetu viko chini ya kiwango cha darasa la 7!. Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?
Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa likisumbuliwa na kuhangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo viovu ikiwa ni pamoja na utekaji, utesaji, na mauaji, na miili kutoonekana, na mingingine kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji na kuonekana ikiwa imefungwa kwenye viroba.
Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwana JF maarufu Ben Saanane, na wengine wengi. Vitendo hivi vilifika peak, pale Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kumiminiwa marisasi ya kutosha, mchana kweupe akiwa katika makazi rasmi ya Wabunge, yenye ulinzi imara 24/7 jijini Dodoma.
Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.
Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu na taasisi fulani fulani kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.
Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.
Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri,
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS. Introduction ya Mada Hii ni mada very...
www.jamiiforums.com
Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia. Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kufikishwa-mahakamani-kesho-au-kuachiwa-huru.419161/
Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-hatma-ya-chadema-ipo-mikononi-kwa-lwakatare-baada-ya-chadema-kumwaga-ugali-lwaka-akiamua-kumwaga-mboga-chadema-kwishney.1729255/
Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.
Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!
Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.
Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.
Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.
Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.
Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.
Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.
Hapo ndio unaona umecheza mindgame vibaya kiasi kwamba umetupoteza ili tuone Magu hakuwa ni kiongozi la kundi la watu wasiojulikana, bali hizo porojo za Dr.Slaa.
Huyo Mzee ni mchumia tumbo tuu. Amepoteza relevance kwa jamii so anakuja na nitoke vipi.
Hata hivyo back to the topic, huyo Mzee anastahili kuburutwa Kituoni na kutoa maelezo yaliyonyooka lakini pia kutoa maelezo kwa nini amekaa kimya siku zote hizo?
wasiojulikana ni kundi la ccm ndio lilopo madarakani unazunguka wapi.
ukitaka kujua fanya wewe hayo kama kesho itafika polisi wajakutia kunguvuni.
mengine tunajaza kitabu bila vituo wala nukta
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa,
Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na wasiojulikana.
Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge Kwa tuhuma kuwa eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge la JMT kwa kutoa statement ya kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali," Jee Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali?, na alama ya kuuliza, Ila mbunge aliyenituhumu bungeni, yeye hakuiona hiyo alama ya kuuliza, na Kwa vile sifa za Mbunge wa Bunge la JMT ni pamoja na kujua kusoma na kuandika, hivyo mtu yoyote aliyemaliza darasa la 7, lazima ana uwezo wa kusoma nakuandika, hivyo uwezo huo wakusoma ni pamoja na uwezo wa kuiona alama ya kuuliza!. Vitu vidogo vidogo kama hivi, vinatusababishia wana jamii kuhoji viwango vya elimu vya baadhi ya wabunge wetu viko chini ya kiwango cha darasa la 7!. Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?
Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa likisumbuliwa na kuhangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo viovu ikiwa ni pamoja na utekaji, utesaji, na mauaji, na miili kutoonekana, na mingingine kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji na kuonekana ikiwa imefungwa kwenye viroba.
Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwana JF maarufu Ben Saanane, na wengine wengi. Vitendo hivi vilifika peak, pale Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kumiminiwa marisasi ya kutosha, mchana kweupe akiwa katika makazi rasmi ya Wabunge, yenye ulinzi imara 24/7 jijini Dodoma.
Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.
Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu na taasisi fulani fulani kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.
Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.
Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri,
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa nchini kwetu, hii ni idara yetu ya Usalama wa Taifa, TISS. Introduction ya Mada Hii ni mada very...
www.jamiiforums.com
Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia. Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kufikishwa-mahakamani-kesho-au-kuachiwa-huru.419161/
Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-hatma-ya-chadema-ipo-mikononi-kwa-lwakatare-baada-ya-chadema-kumwaga-ugali-lwaka-akiamua-kumwaga-mboga-chadema-kwishney.1729255/
Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.
Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!
Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.
Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.
Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.
Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.
Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.
Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.
Mhalifu hawezi kuwa mhalifu sababu ametajwa na Slaa, Mhalifu hawezi kuwa mhalifu kwa sababu tu ametajwa na mtu yeyote bila kuwepo na supportive evidence. Tunataka uchunguzi ufanyike ukweli uwekwe bayana.
Pascal Mayalla Serikali inayajua haya siyo kwamba haijui, Nikupe mfano kipindi cha rais Mpaka kuna waziri wa ujenzi alitishiwa maisha mpaka akataka kujiuzuru uwazir cha ajabu rais akaishia kumpa walizi binafisi wa serikali waziri huyo John Pombe Magufuli na wale waliomtishia kumuua hawakuchukuliwa hatua yeyote.
The same to Mwakyembe na ile sumu na Tindikali kwa Said Kubenea. Pascal Mayalla tuseme serikali haiwafahamu wanasiasa wanaotumia mbinu za kigaidi kubaki kwenye chati au kuendelea kuwamaliza watu wanaoonekana kuwa ni tishio kwao!
Kwa upande wangu naona usalama wa taifa tunawasingizia sana ile ukweli wanasiasa wenye Tamaa ndio wanatumia hii taasisi ya usalama na makundi mengine KIGAIDI
Kuwa mwizi hakukufanyi kuwa mjanja zaidi ya wale unaowaibia, kuna wezi wengi sana sana mitaani huiba kuku wa watu, simu na hata nguo zilizoanikwa kwenye kamba(Uswazi) lakini wizi wao hauwafanyi kuwa werevu zaidi ya wale wanaowaibia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.