Karma Sio Mchezo!, Hatimaye 'Wasiojulikana' Hawa!, Waanza Kutajana!. Asiyejulikana Mmoja Awataja Wenzake!. Do We Have, a Hopeless Police Force?

Karma Sio Mchezo!, Hatimaye 'Wasiojulikana' Hawa!, Waanza Kutajana!. Asiyejulikana Mmoja Awataja Wenzake!. Do We Have, a Hopeless Police Force?

Huyo Mzee ni mchumia tumbo tuu. Amepoteza relevance kwa jamii so anakuja na nitoke vipi.

Hata hivyo back to the topic, huyo Mzee anastahili kuburutwa Kituoni na kutoa maelezo yaliyonyooka lakini pia kutoa maelezo kwa nini amekaa kimya siku zote hizo?
Amesema kesi ilikuwa Polisi na hajui imeishaje. Kipi cha ziada?
 
Hii statement ya pascal mayala kuhojiwa na bunge huwa anapenda sana kuizungumza kana kwamba ye ni mtu wa kwanza kuhojiwa.

Ni bora hata yeye amehojiwa, kina said kubenea walimwagiwa tindikali, kina ndimara tegambwage walikatwa mapanga, daudi mwangosi alitawanyushwa matumbo na bomu la machozi.

Ifike mahali ajue kila kazi ina changamoto zake. Hata kuitwa kuhojiwa ni kuheshimiwa sana. Saa nyingine watu wanataka uwafafanulie tu kile ulichokiandika au kukisema.
 
Na rest my case.Kama unalinganisha wizi wa kuku
na wizi advanced kwenye Data Base unaofanywa na hao unawaita "wajinga" kama mnavyodai.Huku kila mwenye akili timamu akijua wazi chama kisichokuwa na glassroot base hakiwezi kushinda uchaguzi Tanzania.Chama kilicho na wafuasi mijini kitaendelea kulalamika kuibiwa kura ili kujiridhisha.
Mimi naamini kuibiwa kura ni kuji comfort tu na kunapingana na kauli ya Mwenyekiti wenu hivi karibuni aliposema na nakuu"tumeshindwa 2020 kwa kuweka wagombea wasiokubalika"Mwisho wa kunukuu.
Mwizi ni mwizi tu, mjinga mmoja anaweza akakaa na laptop yake akahamisha hela za benki kubwa duniani lakini haimaanishi waliounda systems za usalama wa benki ni wajinga au wale vibaka ambao hujua kukata alarm systems za benki na kuingilia kwenye paa mpaka wanafika strog-room na kutoka na pesa hakufanyi engineers waliojenga mifumo ya benki kuwa ni wajinga.
Wizi ni wizi, mwizi wa kuku na mwizi wa kura wote ni walewale yaani ni vibaka.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa,
Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na wasiojulikana.

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge Kwa tuhuma kuwa eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge la JMT kwa kutoa statement ya kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali," Jee Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali?, na alama ya kuuliza, Ila mbunge aliyenituhumu bungeni, yeye hakuiona hiyo alama ya kuuliza, na Kwa vile sifa za Mbunge wa Bunge la JMT ni pamoja na kujua kusoma na kuandika, hivyo mtu yoyote aliyemaliza darasa la 7, lazima ana uwezo wa kusoma nakuandika, hivyo uwezo huo wakusoma ni pamoja na uwezo wa kuiona alama ya kuuliza!. Vitu vidogo vidogo kama hivi, vinatusababishia wana jamii kuhoji viwango vya elimu vya baadhi ya wabunge wetu viko chini ya kiwango cha darasa la 7!. Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa likisumbuliwa na kuhangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo viovu ikiwa ni pamoja na utekaji, utesaji, na mauaji, na miili kutoonekana, na mingingine kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji na kuonekana ikiwa imefungwa kwenye viroba.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwana JF maarufu Ben Saanane, na wengine wengi. Vitendo hivi vilifika peak, pale Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kumiminiwa marisasi ya kutosha, mchana kweupe akiwa katika makazi rasmi ya Wabunge, yenye ulinzi imara 24/7 jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu na taasisi fulani fulani kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri,

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia. Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Tena nikaomba Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Kisha tukahamasishana WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kufikishwa-mahakamani-kesho-au-kuachiwa-huru.419161/

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-hatma-ya-chadema-ipo-mikononi-kwa-lwakatare-baada-ya-chadema-kumwaga-ugali-lwaka-akiamua-kumwaga-mboga-chadema-kwishney.1729255/

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
Brother, habari yako.
Yes, mimi nasema, we have a Hopeless Police Force. Toka viongozi wa ngazi za juu mpaka kwa hawa vibaka wa ngazi ya chini, wote wameoza na si wakweli. Naweza sema, they're potential majambazi na vibaka wakitembea kwa jezi za kipolisi wakilindwa na viongozi wao wanaowatumia. Najuwa techinically huwezi kukubali lakini ni bora ukweli uwekwe wazi tu kwa maslahi ya taifa na wale (mapolisi) wanao ongozwa na kasumba za kuwa Watanzania ni wasahalifu ama mazezeta wajirekebishe haraka sana. Binafsi nilishashuhudia OCD wa mkoa fulani akishirikiana na majambazi kuiba mali za wafanya biashara na kujilimbikizia mali yeye na viongozi wenzake huku wakiwalinda majambazi hao. Hapa hapa Dar, Mahita naye (si hutuma, ni ukweli) alikuwa na huu mchezo wa kutumia majambazi na vibaka kuua watu na kuiba kwenye mabenki na bureau de change. Maneno yalikuwa mengi sana dhidi ya Mahita na wanaomjuwa wanasema kwao Morogoro alikuwa masikini sana hata Mama yake mzazi alikuwa hana nyumba ya maana. Sasa Mahita kastaafu anamiliki hospitali kubwa mno na ana biashara za hajabu hajabu kitu ambacho kwa cheo alichokuwa nacho si rahisi na haswa ukizingatia alikotoka si rahisi kufikia pale alipo. Na kwa kuwa tuna viongozi wasio waadilifu, walimwacha tu jamaa huku wakimuonya chini ya carpet kwa manufaa yao wenyewe binafsi. Paskali, ukweli ni kwamba hata viongozi wa polisi tulionao sasa si wa kuwaamini hata kidogo. In public wanasema ya maana ili waonekane wanajali lakini they're all useless na wameoza kwa uhalifu na ndiyo maana unaona laana zinawatafuna kwa kuwa na maisha mabaya. Wao wako employed kulinda maisha ya wananchi lakini wanafanya contrary, na bahati mbaya pia hatuna serikali ya maana ya kukemea huu ujinga na kuwachukulia mapolisi accountable kwa uhalifu waufanyao. Never trust any police officer au serikali yetu ya kisanii. I said it, you don't have to agree with me but ukweli ndiyo huo.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa,
Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na wasiojulikana.

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge Kwa tuhuma kuwa eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge la JMT kwa kutoa statement ya kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali," Jee Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali?, na alama ya kuuliza, Ila mbunge aliyenituhumu bungeni, yeye hakuiona hiyo alama ya kuuliza, na Kwa vile sifa za Mbunge wa Bunge la JMT ni pamoja na kujua kusoma na kuandika, hivyo mtu yoyote aliyemaliza darasa la 7, lazima ana uwezo wa kusoma nakuandika, hivyo uwezo huo wakusoma ni pamoja na uwezo wa kuiona alama ya kuuliza!. Vitu vidogo vidogo kama hivi, vinatusababishia wana jamii kuhoji viwango vya elimu vya baadhi ya wabunge wetu viko chini ya kiwango cha darasa la 7!. Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa likisumbuliwa na kuhangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo viovu ikiwa ni pamoja na utekaji, utesaji, na mauaji, na miili kutoonekana, na mingingine kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji na kuonekana ikiwa imefungwa kwenye viroba.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwana JF maarufu Ben Saanane, na wengine wengi. Vitendo hivi vilifika peak, pale Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kumiminiwa marisasi ya kutosha, mchana kweupe akiwa katika makazi rasmi ya Wabunge, yenye ulinzi imara 24/7 jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu na taasisi fulani fulani kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri,

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia. Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Tena nikaomba Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Kisha tukahamasishana WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kufikishwa-mahakamani-kesho-au-kuachiwa-huru.419161/

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-hatma-ya-chadema-ipo-mikononi-kwa-lwakatare-baada-ya-chadema-kumwaga-ugali-lwaka-akiamua-kumwaga-mboga-chadema-kwishney.1729255/

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa,
Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na wasiojulikana.

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge Kwa tuhuma kuwa eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge la JMT kwa kutoa statement ya kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali," Jee Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali?, na alama ya kuuliza, Ila mbunge aliyenituhumu bungeni, yeye hakuiona hiyo alama ya kuuliza, na Kwa vile sifa za Mbunge wa Bunge la JMT ni pamoja na kujua kusoma na kuandika, hivyo mtu yoyote aliyemaliza darasa la 7, lazima ana uwezo wa kusoma nakuandika, hivyo uwezo huo wakusoma ni pamoja na uwezo wa kuiona alama ya kuuliza!. Vitu vidogo vidogo kama hivi, vinatusababishia wana jamii kuhoji viwango vya elimu vya baadhi ya wabunge wetu viko chini ya kiwango cha darasa la 7!. Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa likisumbuliwa na kuhangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo viovu ikiwa ni pamoja na utekaji, utesaji, na mauaji, na miili kutoonekana, na mingingine kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji na kuonekana ikiwa imefungwa kwenye viroba.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwana JF maarufu Ben Saanane, na wengine wengi. Vitendo hivi vilifika peak, pale Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kumiminiwa marisasi ya kutosha, mchana kweupe akiwa katika makazi rasmi ya Wabunge, yenye ulinzi imara 24/7 jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu na taasisi fulani fulani kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri,

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia. Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Tena nikaomba Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Kisha tukahamasishana WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kufikishwa-mahakamani-kesho-au-kuachiwa-huru.419161/

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-hatma-ya-chadema-ipo-mikononi-kwa-lwakatare-baada-ya-chadema-kumwaga-ugali-lwaka-akiamua-kumwaga-mboga-chadema-kwishney.1729255/

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
Ndiyo Police ni hopeless, wachukuaji rushwa wakubwa na wauaji.
 
Mnapoteza muda wenu bure! Huyo mzee hayupo kwe "wasiojulikana" wala hajui kitu.
Huyo kachanganywa na vitu viwili tuu;
1. Kuikosa heshima alitotegemea
2. Shuntama
 
Anasema alitoa taarifa polisi ila hajui uchunguzi ulifikia wapi.
Mnaweza kuwa pamoja ila wengine wakawa na mtizamo tofauti kama wakijua msimamo wako lazima wakufiche mambo yao
 
" Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?"
Duh, ng'wanangwa wewe ni kiboko! Haki nimecheka jinsi ulivyowahi kujitetea! Nimewaomba Mods wa-edit hii habari yako waondoe hiyo alama ya kuuliza ili usafirishwe kwa ndege kwenda makao makuu ya Polisi Dodoma ukajibu tuhuma! Kwa hiyo unasema Ndugayi alikurupuka kukuita Bungeni?😁😁😂😂
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa,
Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na wasiojulikana.

Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, " Do we have a Hopeless Police Force?. Sijasema "We have a Hopeless Police Force!". Nimeanza na angalizo hilo, maana kule nyuma niliwahi kuuliza "Jee Bunge Letu Linajipendekeza Kwa Serikali?", niliitwa mpaka Dodoma na kuhojiwa na Kamati ya Bunge Kwa tuhuma kuwa eti nimetoa statement ya kulikashifu na kulidhalilisha Bunge la JMT kwa kutoa statement ya kusema "Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali!", nikawaambia sikutoa statement, bali niliuliza swali," Jee Bunge Linajipendekeza Kwa Serikali?, na alama ya kuuliza, Ila mbunge aliyenituhumu bungeni, yeye hakuiona hiyo alama ya kuuliza, na Kwa vile sifa za Mbunge wa Bunge la JMT ni pamoja na kujua kusoma na kuandika, hivyo mtu yoyote aliyemaliza darasa la 7, lazima ana uwezo wa kusoma nakuandika, hivyo uwezo huo wakusoma ni pamoja na uwezo wa kuiona alama ya kuuliza!. Vitu vidogo vidogo kama hivi, vinatusababishia wana jamii kuhoji viwango vya elimu vya baadhi ya wabunge wetu viko chini ya kiwango cha darasa la 7!. Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea?

Kwa muda mrefu taifa letu limekuwa likisumbuliwa na kuhangaika na kundi la watu wanaitwa "wasiojulikana", wanaofanya vitendo viovu ikiwa ni pamoja na utekaji, utesaji, na mauaji, na miili kutoonekana, na mingingine kuiweka miili kwenye viroba, na kuitupa mtoni, ziwani au baharini, baadhi ya miili iliyofungwa vibaya, huibuka juu ya maji na kuonekana ikiwa imefungwa kwenye viroba.

Miongoni vya watu waliofanyiwa uhalifu huo ni pamoja na kiongozi wa mgomo wa madaktari, Dr. Ulimboka, Mhariri wa Gazeti la Mtanzania, Absolom Kibanda, Mwandishi wa habari wa Mwananchi, Azory Gwanda, mwana JF maarufu Ben Saanane, na wengine wengi. Vitendo hivi vilifika peak, pale Mnadhimu Mkuu wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni, Mhe. Tundu Lissu aliposhambuliwa kwa kumiminiwa marisasi ya kutosha, mchana kweupe akiwa katika makazi rasmi ya Wabunge, yenye ulinzi imara 24/7 jijini Dodoma.

Hakuna mtu yoyote aliyewahi kushukiwa, kukamatwa au kuhojiwa kutokana na matukio hayo, wala jeshi letu makini na adilifu la polisi, halikuwahi kutoa taarifa yoyote ya uchunguzi wa matukio hayo.

Hali hiyo ilipelekea huku kwenye mitandao ya kijamii, baadhi ya watu na taasisi fulani fulani kuanza kunyoosheana vidole, kwa kuwataja baadhi ya watu na baadhi ya Taasisi.

Taasisi ya kwanza kunyooshewa vidole ni Jeshi letu la polisi, lilishutumiwa kwa uzembe wa kushindwa kufanya chochote kuzuia matukio hayo na baada ya matukio kutofanya uchunguzi wowote na kama walifanya uchunguzi kimya kimya hawakutoa taarifa yoyote ya maendeleo ya uchunguzi.

Taasisi ya pili kunyooshewa kidole ni Idara yetu nyeti ya Usalama wa Taifa. Akina sisi tuliozaliwa kwenye familia za wana usalama wa Taifa Kwa Baba na Mama, tunaukumbuka uadilifu wa wazazi hivyo tukashauri,

Ili tusizidi kunyoosheana vidole vya kushikana uchawi kutafutana mchawi, kwanza nijitolea kuwafungua macho watu kuhusu watu "wasiojulikana" na 'wasiojulikana', nikasema "wasiojulikana" waendelee kutafutwa, ipo siku watapatikana na watajulikana, Ila 'wasiojulikana', kamwe hawatajulikana Ila kitu kinachoitwa karma kuwashughulikia. Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Tena nikaomba Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Kwa vile mimi sio polisi bali tasnia yetu ya habari, ni Mhimili wa Nne, usio rasmi ambao una baadhi ya waandishi wenye uwezo wa kuandika stori za uchunguzi, Investigative Journalism, hivyo tunaweza kusaidia, na mimi ni mmoja wa waandishi wa kundi hili, hivyo tukajitolea kuwapa polisi lead ya pakuanzia, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Kisha tukahamasishana WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Na kweli baada ya muda sii mrefu, karma ilianza Kula vichwa vya baadhi ya walionyooshewa vidole!, Ila hawajaisha.

Kuna baadhi ya vyama vya siasa kutokana na kauli za viongozi wake kuhamasisha vurugu, vilivyooshewa vidole. Video za kupanga utekaji zikanaswa na kupandishwa YouTube. Rwakatare Hawezi Kushitakiwa Kwa Ushahidi wa "You Tube!"

Baadhi ya viongozi wakashikwa na kushitakiwa, Ila DPP akaamua kufuta kesi.https://www.jamiiforums.com/threads/lwakatare-kufikishwa-mahakamani-kesho-au-kuachiwa-huru.419161/

Kwenye hizo tuhuma za vyama vya siasa kutishia amani, hatukunyamaza tulionya, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

Na tukawaelimisha the consequences ya vitendo vya uhalifu wa vyama vyao.https://www.jamiiforums.com/threads/je-wajua-kuwa-hatma-ya-chadema-ipo-mikononi-kwa-lwakatare-baada-ya-chadema-kumwaga-ugali-lwaka-akiamua-kumwaga-mboga-chadema-kwishney.1729255/

Kiongozi yoyote wa chama chochote au taasisi yoyote anapopata tip yoyote kuhusu uhalifu wowote, anapaswa kuripoti polisi.

Kitendo cha kiongozi yoyote wa chama chochote kupokea taarifa yoyote ya uhalifu wa aina yoyote na kuinyamazia, kiongozi hiyo ni mashirika wa uhalifu!

Kama amepokea taarifa ya mipango ya uhalifu kabla haujatendeka na kuunyamazia bila kuuripoti, kiongozi ni mhalifu aitwae accessories before the fact.

Na kama kiongozi yoyote amepokea taarifa yoyote ya uhalifu wowote ulikwisha tendeka, na akaunyamazia, kiongozi huyu ni mhalifu aitwae accessories after the facts.

Sasa baadhi ya wasiojulikana hawa wameanza kutajana!. Kiongozi mmoja mkubwa wa chama kikubwa cha siasa, juzi kati, aliubuka nakutoa siri ya wasiojulikana wa chama chake.

Kiongozi huyu hadi ametaja tukio, aliyefanyiwa uhalifu na mhalifu alitetenda uhalifu huo, badala ya kiongozi huyo kuripoti polisi, kiongozi huyo ameuzungumza uhalifu huo kwa vyombo vya habari.

Swali moja tuu kwa Jeshi letu makini na adilifu la polisi, linasubiri nini kumhoji asiyejulikana huyu ambaye sasa amejulikana awataje wenzie?!. Tukisema Tanzania tuna jeshi la polisi very hopeless, tutakuwa ni tunaliionea Jeshi la polisi?.

Kama 'asiyejulikana' Huyu, amewataja wasiojulikana wenzake, jee Jeshi letu la polisi, linangoja nini kumhoji asiyejulikana huyu?. Do we really have, such a hopeless Police Force in Tanzania, or ni mimi ndio hopeless in my thinking?.

Paskali
Kaka Pasco mbona unajichosha bure? Siamini kama na wewe umekurupuka tu bila kwanza kuchimbachimba toka nyuma huko kuhusu tukio lile la mwenyekiti wa Wilaya Temeke Bw. Joseph Yona aliyetekwa.

Kama mwandishi nilitaraji ungetutendea haki kwa kumtafuta Bw. Joseph umfanyie exclusive interview kuhusu tukio lile kabala ya kuja na makala.
Nikukumbushe tu Joseph Yona mwenyewe aliripoti waliomteka Polisi akawanasibisha na chadema
Mkuu wa Polisi wa Wilaya mwenyewe akaunda kikos Kazi cha maofisa kadhaa.
Na mpka leo hakuna mrejesho na sio ajabu huyo Bw. Joseph Yona Huenda leo huyo Joseph tayari yuko compromised na kawa mwanachama mtiifu wa CDM.
Sio Yona tu kulikuwa na Said Kubenea aliyemwagiwa tindikali na Chadema kuichafua Serikali baada ya kujua ukweli alichachamaa baadae naye akawa COMPROMISED, akanywea na akaanza kukwea vyeo ndani ya Chama na mwishowe akapata Ubunge..
Shida sio Chadema sio Polisi bali ni Utanzania tulionao sijui njaa
 
Kaka Pasco mbona unajichosha bure? Siamini kama na wewe umekurupuka tu bila kwanza kuchimbachimba toka nyuma huko kuhusu tukio lile la mwenyekiti wa Wilaya Temeke Bw. Joseph Yona aliyetekwa.

Kama mwandishi nilitaraji ungetutendea haki kwa kumtafuta Bw. Joseph umfanyie exclusive interview kuhusu tukio lile kabala ya kuja na makala.
Nikukumbushe tu Joseph Yona mwenyewe aliripoti waliomteka Polisi akawanasibisha na chadema
Mkuu wa Polisi wa Wilaya mwenyewe akaunda kikos Kazi cha maofisa kadhaa.
Na mpka leo hakuna mrejesho na sio ajabu huyo Bw. Joseph Yona Huenda leo huyo Joseph tayari yuko compromised na kawa mwanachama mtiifu wa CDM.
Sio Yona tu kulikuwa na Said Kubenea aliyemwagiwa tindikali na Chadema kuichafua Serikali baada ya kujua ukweli alichachamaa baadae naye akawa COMPROMISED, akanywea na akaanza kukwea vyeo ndani ya Chama na mwishowe akapata Ubunge..
Shida sio Chadema sio Polisi bali ni Utanzania tulionao sijui njaa
Eitha hujui chochote au uko kimkakati. Hizo nguvu mnazotumia kuiangamiza Chadema kula siku zinakwama na uongo wenu unajinasibu kwa uwazi.
Yona wa Temeke mbona ukweli ulijulikana mapema tuu na sasa ni mmoja wa watu wanaotumiwa kufanya propaganda za ccm kutukana viongozi wa Chadema!
Mnasingizia kesi ngumu viongozi wa CDM lakini mwisho ni kuumbuka. Hivi kama unaweza kumsingizia mtu kesi ya uongo jee siku ukiipata ya kweli atapumua huyo?
Kama sio mkono wa Mungu hakika Chadema ingekufa wakati wa Magufuli, lakini ikawa the opposite
 
Sasa huyo mtu asiyejulikana, baadaye akajulikana mbona hujamtaja jina? Unaogopa nini kumtaja humu kama taarifa yake,unasema, aliitoa mbele ya vyombo vya habari?

Mkuu Pascal anataka kutulisha matango akiamini kuwa watu hawana record,Kama ni Dr Slaa kweli tusiompenda tupo lakini kwa hili mbona alishasema kuwa tukio hilo alilipoti Polisi lakini anashangaa mpaka leo hakuitwa kwa mahojiano zaidi au kutoa ushahidi je hapo aaamekosa nini? Kwa propaganda hii Mwananjaa Pascal amedunda amtafutie janga jingine
 
Back
Top Bottom