Kaseja atua yanga kwa milioni 40

Kaseja atua yanga kwa milioni 40

Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!

Unalaana ya kulala na mama yako kitanda kimoja na kuamka asubuhi ukiwa umemloesha nyuma(njia ya haja kubwa)
 
Acha kukurupuka na mikamasi hiyo, kwa taarifa yako mimi ni mshabiki, mkereketwa na mfurukutwa wa Yanga lakini hilo halinifanyi kuwa kipofu.

Kaseja ni ushuzi tu.

ajajua hilo mkuu msamehe bure..
 
Haya mchukueni galasa huyo, tukiwafungeni mtasema kahongwa?
 
Unalaana ya kulala na mama yako kitanda kimoja na kuamka asubuhi ukiwa umemloesha nyuma(njia ya haja kubwa)

Kheeee!!!!!!!
avatar102562_1.gif
 
Ha ha ha...Biashara kichaa ishafanyika! Mwanangu Kaseja tunakuaminia! Mshiko piga kimiani hakuna yeyote anayeweza kuachia mihela kama 'iyo'.Hakuna kukabana koo hapo eti urudishe kama walivyomsulubu Ngassa!! ila wenye akili tushajua gogoro ushawapelekea hata hapa jukwaani(JF) tunawaona wanavyobishana wenyewe kwa wenyewe.
Bado kuna wengine wanaibuka matata sana!! Kuna dogo matata sana anaitwa Abuu Hashimu!! Baada ya muda si mrefu wataanza kumtamani tunawasubili watuletee mihela!!Ha ha haa - Maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari!!
 
Ivi kuchangia kwa kutukana maana yake ni kwamba unauchungu sana na timu ama?
 
Rejea post ya GENTAMYCINE na utafiti wake wa ukilazalaza, comment hapo ndipo tutakuelewa.

mkuu kama utafiti wake ndo huu, ilikuwa ni kumwambia atupe vielelezo vya utafiti wake, akishindwa, sheria za JF ziko wazi kuhusu kusema uongo, sasa kujibu kwa matusi nadhani si busara
 
Last edited by a moderator:
mkuu kama utafiti wake ndo huu, ilikuwa ni kumwambia atupe vielelezo vya utafiti wake, akishindwa, sheria za JF ziko wazi kuhusu kusema uongo, sasa kujibu kwa matusi nadhani si busara

Sijakosea kusema wewe ni mmoja wa Wanasimba ninaowakubali. Good post, keep it up Chief.
 
Hao MCC pale walipoishia ndiyo mafanikio yao ya juu, hawatazidi hapo zaidi ya kuporomoka. Enzi zake Moro United waliongoza ligi zaidi ya nusu msimu lakini mwisho waliangukia pua. Nafasi haitoshi ningeandika habari za Reli Morogoro, Sigara na Nyota Nyekundu.

ninachoshukuru mimi ni kwamba Mbeya city sio kama Moro utd,sigara,nyota nyekundu,MCC tumekuja kivyetuvyetu,pia unafananisha kwenye negative tuu,kwanini usilinganishe na Banyambala Tukuyu strs mwaka walipochukua mwaka 1986?
 
mkuu kama utafiti wake ndo huu, ilikuwa ni kumwambia atupe vielelezo vya utafiti wake, akishindwa, sheria za JF ziko wazi kuhusu kusema uongo, sasa kujibu kwa matusi nadhani si busara

huyo jama gentamycene nadhani kakosea jukwaa,simuelewi kabisa
 
Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!


Gentamycine !! Hivi we ni mwanariadha , na kama ndio utakuwa unakimbia mbio ndefu sana, punguza maelezo mengi !! Inaonekana unayajua maisha ya kaseja kuliko nafasi yako ya kujiinua kiuchumi , yanga wameamua hayo kwa maslai yao , acha ushabiki !! Kaseja kishachota mpunga , kama atamgawia huyo shemeji utatuambia maana inaonekana unaiweza kazi ya CHABO!!
 
Mimi ni Shabiki wa Simba SC.
Lakini sikupendezwa na kitendo cha kumtema Kaseja ghafla vile na baadhi ya watu wanasema kuwa dili la kwenda Lupopo FC lilibanwa na baadhi ya viongozi wa hovyo wa SSC.
sasa,kwa kuwa Yanga wamemwokoa kaseja,nitapunguza kuichukia Yanga,na naungana na PM wetu kuwa ssc tupigwe tu.
 
huyo jama gentamycene nadhani kakosea jukwaa,simuelewi kabisa

Mi mwenyewe namshangaa huyu jamaaa atakuwa mpiga chabo hatari !! Sport forum yeye analeta mambo binafsi !! Mi kaniudhiiii !!!
 
Back
Top Bottom