Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado siamini amini.
Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!
Acha kukurupuka na mikamasi hiyo, kwa taarifa yako mimi ni mshabiki, mkereketwa na mfurukutwa wa Yanga lakini hilo halinifanyi kuwa kipofu.
Kaseja ni ushuzi tu.
Unalaana ya kulala na mama yako kitanda kimoja na kuamka asubuhi ukiwa umemloesha nyuma(njia ya haja kubwa)
Unalaana ya kulala na mama yako kitanda kimoja na kuamka asubuhi ukiwa umemloesha nyuma(njia ya haja kubwa)
Ivi kuchangia kwa kutukana maana yake ni kwamba unauchungu sana na timu ama?
Huyo GENTAMYCINE na utafiti wake anatulengesha kwenye ban! Mchukulie easy Mkuu.
Rejea post ya GENTAMYCINE na utafiti wake wa ukilazalaza, comment hapo ndipo tutakuelewa.
mkuu kama utafiti wake ndo huu, ilikuwa ni kumwambia atupe vielelezo vya utafiti wake, akishindwa, sheria za JF ziko wazi kuhusu kusema uongo, sasa kujibu kwa matusi nadhani si busara
Haya mchukueni galasa huyo, tukiwafungeni mtasema kahongwa?
Hao MCC pale walipoishia ndiyo mafanikio yao ya juu, hawatazidi hapo zaidi ya kuporomoka. Enzi zake Moro United waliongoza ligi zaidi ya nusu msimu lakini mwisho waliangukia pua. Nafasi haitoshi ningeandika habari za Reli Morogoro, Sigara na Nyota Nyekundu.
Msipotufunga, sisi tukawafunga: nanyi mtasemaje?
mkuu kama utafiti wake ndo huu, ilikuwa ni kumwambia atupe vielelezo vya utafiti wake, akishindwa, sheria za JF ziko wazi kuhusu kusema uongo, sasa kujibu kwa matusi nadhani si busara
Utafiti wa Kichini chini Ulifanywa Karibu Mikoa Yote Ya Tanzania Bara na Visiwani na Ikajulikana Kuwa ktk Kila WENDAWAZIMU 15 Unaokutana Nao 14 ni Mashabiki Wakubwa na Wanazi wa Yanga na Wa Pili Ulifanyika Ni Kuangalia Kati Ya Mashabiki Wa Simba na Yanga Wepi ndiyo Wana IQ Nzuri na Kubwa na Wasomi Wa Ukweli Ikajulikana Kuwa ni Mashabiki wa Simba na Mwisho Ulifanyika Ushabiki wa Timu gani Inaongoza Kuwa na Mashabiki na Wanachama Matajiri Kuliko Nyingine Jibu Likawa ni Timu Ya Simba. Sasa Kwa Matokeo tu Ya Utafiti Huo wa Chini Chini Uliofanywa na Taasisi Moja Maarufu Jina Linahifadhiwa ili (KUEPUSHA KUVULIWA KOFIA NA WAZEE WASHIRIKINA NA WACHAWI WANAOGANGA NJAA PALE KLABUNI NA KUISHIA TU KUOMBA HELA KWA WACHEZAJI NA VIONGOZI) Sishangai Kwa Yanga Kumsajili Tena Golikipa Ambaye ni MLA RUSHWA MKUBWA HAPA NCHINI ambaye Kazi Yake ni Kuoa na Kisha Watoto wa Mjini WANAMGONGEA TU KAMA HAWANA AKILI NZURI. Na Hizo Hela Alizopewa Mwambieni Ampelekee Pia na Demu Wake Mtoto wa Mchungaji Anayeishi Kawe ambaye Kila Kukicha Anaumwa tu Kisichojulikana na Mwili Wake UNAKONGOROKA Siku hadi Siku. Muda Wowote Barthez Anarudi Kundini Nyumbani!
huyo jama gentamycene nadhani kakosea jukwaa,simuelewi kabisa