Kasesela: Nikiwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, nilikuwa naenda club ku-rap

Kasesela: Nikiwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, nilikuwa naenda club ku-rap

Dah! Wewe kama mimi aisee! Yaani ni kawaida sana mara moja moja nikipata upenyo, huwa naenda kwenye mbuga ya wanyama, kuwinda swala, kwa ajili ya kitoweo.

Maana hakuna namna. Unakuta mtu hunywi pombe! Huvuti sigara!! Hivyo unajikuta tu umekuwa jangili wa swala.
Duh !, Mkuu Shemeji Tate Mkuu, kusema kweli vi swala ni vitamu ajabu!. Mimi mwenyewe nilikuwa navitafuna sana!, unfortunately siku hizi, nimekuwa mzee sana siwezi kuwinda, na meno pia ya kutafuna sina, ila bado mara moja moja wanaingia mbugani kuangalia tuu wanyama na kula kwa macho tuu!.
P
 
Yaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.

Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24

Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Ku rap club sio uhuni na wala dhambi. Ni sawa na kushuhudia church
 
What is a problem na mtu kwenda club ku rap?!. Kipaji hakina umri!. Mimi mwenyewe nakwenda 60 na mara moja moja napanda club na rap, kwenye bendi napanda stejini na kuimba Georgina!, na humu JF nimewaletea rap kibao tuu!.
Miongoni mwao ni hizi Kwa Wapenzi wa Muziki: "Bado tunapanda, Tunapanda milima, Najua tutafika, Tutafika lazima!"
na Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufisadi?!, 25/10 "Give It, "Just One More Try!" Na hapa Muziki wa Hip Hop bongo umetokea mbali-Tujikumbushe kidogo
Hivyo kipaji hakina umri!.
P
Hivi wewe ni yuleyule Pascal Mayalla niliyekuwa namjua kwa kutoa nondo safi au siyo wewe?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Jibu konki kabisa,DC analipwa kwa kodi zetu lazima awe serious huyu paschal mayala anakula kwa jasho lake hata akiamua kutembea uchi sawa tz
Hakuna ukonki wowote.Hiyo ni aina ya sadists katika maisha ya watu.
 
Ukiwa kiongozi, vitu vingine havihitaji kutungiwa sheria, ukiwa mkuu wa wilaya uko kwenye matazamio ya kwenda mbele na wewe ni sura ya nchi.

Masha aliyekuwa anashinda Rose Garden Yuko wapi?

Shida kubwa ni Ile hakuna tofauti kati ya anaenda club na asiyeenda club ikija kwenye ufanisi na utendaji kazi.

Watu8 ameuliza ni katika mazingira Gani ameeleza kwenda kwake club? Naona watu wanadonoa donoa baadhi ya sehem za interview yake vipande wanavyotaka na kuviweka hapa.

Kuwa Kiongozi haimfanyi asiwe binadam japo Kuna namna anatakiwa kuwa mwangalifu anavyoenenda anapokua kwenye hiyo nafasi.

Waungwana wameuliza pia ni namna Gani kwenda club inaathiri ukuu wa wilaya au nafasi yake kazini?
 
Afadhali yake alikuwa anarap mwenzake Sabaya alikuwa busy kuteka na kufilisi wachaga,Bashite alikuwa busy kuwafilisi waarabu huku hayati Mayanga akikomaa kukausha hazina ya taiga kuwahonga akina chapombe waitara wakubali kuunga mkono juhudi za kuidivert Tz kwenda makabulini Chato
 
Shida kubwa ni Ile hakuna tofauti kati ya anaenda club na asiyeenda club ikija kwenye ufanisi na utendaji kazi.

Watu8 ameuliza ni katika mazingira Gani ameeleza kwenda kwake club? Naona watu wanadonoa donoa baadhi ya sehem za interview yake vipande wanavyotaka na kuviweka hapa.

Kuwa Kiongozi haimfanyi asiwe binadam japo Kuna namna anatakiwa kuwa mwangalifu anavyoenenda anapokua kwenye hiyo nafasi.

Waungwana wameuliza pia ni namna Gani kwenda club inaathiri ukuu wa wilaya au nafasi yake kazini?
Hahaha, wahuni wa Kawe wanateteana
 
What is a problem na mtu kwenda club ku rap?!. Kipaji hakina umri!. Mimi mwenyewe nakwenda 60 na mara moja moja napanda club na rap, kwenye bendi napanda stejini na kuimba Georgina!, na humu JF nimewaletea rap kibao tuu!.
Miongoni mwao ni hizi Kwa Wapenzi wa Muziki: "Bado tunapanda, Tunapanda milima, Najua tutafika, Tutafika lazima!"
na Umechoshwa na Ujinga, Umasikini, Maradhi, Rushwa na Ufisadi?!, 25/10 "Give It, "Just One More Try!" Na hapa Muziki wa Hip Hop bongo umetokea mbali-Tujikumbushe kidogo
Hivyo kipaji hakina umri!.
P
Asante
 
Yaani, mambo mengine unashindwa ucheke au ukae kimya.

Angalia umri na majukumu, na hadhi, halafu anaenda club ku-rap. Maneno haya aliyasema akifanya intavyuu na Dar24

Nadhani hawa viongozi wawe wanapewa strict code of conduct
Hii inaonyesha how immoral most of our leaders are.Kiongozi una rap!?Unthinkable.
 
Back
Top Bottom