DOKEZO Kashfa kubwa kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Kanisa latumika kuwauzia mashamba hewa waumini wake. Ekari feki 15,000 ziliuzwa

DOKEZO Kashfa kubwa kanisa la KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Kanisa latumika kuwauzia mashamba hewa waumini wake. Ekari feki 15,000 ziliuzwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa kawaida taasisi kama KKKT huwa inafanya mambo yake kwa usahihi kulinda heshima yake. Yawezekana mpango wa kanisa ni mzuri ila watekelezaji wameenda kinyume na maadili.
KKKT hasa malasusa ni matapeli huku konde tumewakataa siku nyingi
 
Mada ingeeleweka bila kuingiza lugha za mtaani sijui utapeli mara feki
Jumla ya mauzo ni zaidi ya 7 billion hadi leo ni miaka 12 kanisa limeshindwa kutufikisha kwenye ardhi tuliyolipia. Tafsiri yake nini nini?

Wachahe waliopelekwa wakaenda kuonyeshwa eneo la ranchi za taifa. Huu kama sio utapeli ni unini?
 
Viongozi wa KKKT wanaharibu, halafu baadae wafunge safari kwenda Ikulu kumblackmail rais muislamu awape ardhi ya serikali ili kuficha magumashi yao!
Hili neno rais muislamu lina ukakasi kwa namna lilivyotumika hapa hata kama ni kweli ndio imani yake.

Rais ni wa wote na kila raia ana uhuru wa kumuona na kuomba chochochote ikiwemo ardhi kwa kuwa yeye ndiye amekasimiwa mamlaka ya umiliki wa mali za nchi kwa niaba ya wananchi
 
MImi pia ni mhanga, natokea usharika wa Mwenge na malipo nilifanyia kupitia account ya usharika
Si muumini wa kanisa hilo lakini naamini huwezi tapeliwa mpaka hapo. Umelipa 500,000 kwenye akaunti inayofahamika ya taasisi, jina la akaunti uliandika la taasisi, una bank slip ya malipo yenye mhubiri wa kupokea pesa kwa tarehe husika. Unatapeliwaje?

Kuna upande haujafanya kazi yake vizuri au kanisa ndio limetapeliwa na kwa vyovyote litawajibika kuwarejeshea pesa endapo mambo hayataenda sawa. Unaweza kuta taasisi ndio imepigwa na wahuni ingawa yawezekana walikuwa na nia nzuri tu kuelekea waumini wake

Ila ikiwa pamoja na ushahidi mlio nao kanisa limekataa kuhusika na mpango huo, hapo mtakuwa na haki ya kuilaumu taasisi ya dini kwa utapeli.
 
Si muumini wa kanisa hilo lakini naamini huwezi tapeliwa mpaka hapo. Umelipa 500,000 kwenye akaunti inayofahamika ya taasisi, jina la akaunti uliandika la taasisi, una bank slip ya malipo yenye mhubiri wa kupokea pesa kwa tarehe husika. Unatapeliwaje?

Kuna upande haujafanya kazi yake vizuri au kanisa ndio limetapeliwa na kwa vyovyote litawajibika kuwarejeshea pesa endapo mambo hayataenda sawa. Unaweza kuta taasisi ndio imepigwa na wahuni ingawa yawezekana walikuwa na nia nzuri tu kuelekea waumini wake

Ila ikiwa pamoja na ushahidi mlio nao kanisa limekataa kuhusika na mpango huo, hapo mtakuwa na haki ya kuilaumu taasisi ya dini kwa utapeli.
Sio tuu mpaka wawakane ila pia hata muda. Miaka 12 kweli, mi naona wamewatapeli. Tena nilikuwa kiluvya wakati huo nakumbuka hizo plopaganda za kihuni zilikiwa zikihubiriwa kanisani
 
Sio tuu mpaka wawakane ila pia hata muda. Miaka 12 kweli, mi naona wamewatapeli. Tena nilikuwa kiluvya wakati huo nakumbuka hizo plopaganda za kihuni zilikiwa zikihubiriwa kanisani
Ni uzembe wao hao waumini kuwaabudu watu na kutochukua hatuau. Kiongozi wa taasisi ya dini akiharibu lazima achukuliwe hatua na aadhibiwe.

Kwanza anaondoa umoja na amani kwa nini wanamvumilia.
 
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Mashariki na Pwani limeingia kwenye kashfa kubwa ya utapeli baada ya makanisa yake ya Kijitonyama, Salasala, Mwenge, Ubungo na Mbezi Beach kuwauzià waumini wake mashamba feki yaliyopo Bagamoyo.

Mashamba hayo yenye zaidi ya heka 15,000 yalikuwa yakiuzwa kwa shilingi laki tano na sitini elfu kwa heka ambapo heka zote zilizopangwa kuuzwa ziliuzwa na baadhi ya waumini wengine hadi leo hawajawahi kupewa wala kuonyeshwa mashamba yao.

Malipo ya mauzo ya mashamba hayo yalifanyika kupitia account za kanisa hilo, kumbe ardhi inayouzwa ni mali ya Ranch za Taifa huku kanisa hilo likijua fika uhuni huo.

Katika kijiji cha Fukayose, Ranch imesema itaachia heka mia tu kwa kijiji. Kwenye kijiji cha Fukayose Ranch ina heka 3000.

Heka nyingine zimesambaa kwenye vijiji mbalimbali wilayani Bagamoyo.


View attachment 2639510
KKKT once again.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama hii taarifa inaukweli,pale Ushirika wa Ubungo Kibangu, nikweli hiyo project ipo na waliolipa tayari wana mashamba huko Bagamoyo na siyo utapeli kama Uzi huu labda sharika nyingine
Embu soma coment za wadau walio tapeliwa humu
 
Back
Top Bottom