Nimekuwa naifuatilia hii habari ya Amina na Kabwe kwa wiki nzima sasa, It just tastes little off, kama walimtumia AC kama mtego wa kumnasa ZK, na jamaa akaamua kula kizigo basi hicho kitendo kitakuwa kimewaumiza waungwana wengi ndani ya CCM, kama ilivyokuwa issue ya Diana na Al Fayed au Jackie O na Aristotle.
Patamu ni kwamba kuna maneno mengi tu kuwa AC ametembea na baadhi ya wanene ndani ya ccm na serikalini/bungeni sasa imagine leo hii afanye press conference na kweli alipue bomu supposedly lipo ndoa ngapi zitakuwa hatarini au wangapi wamemwambia nini na je kamwaga siri zote kwa Zitto? I bet they decided to raise the stakes, and since credibility is the only currency that means anything on this kind of playing field, They have assumed Amina knows a lot and they are afraid she will come out and put everything out in the air so before she does that the gang of humanoids who would make up a full chapter of darwin's theory. are going to use any means possible to make sure she doesnt say anything and put some lives or careers in jeopardy.
Lakini swali la kujiuliza Wangapi CCM wamefanya mandundu hayo na hakuna aliyeair their dirty laundry in the public? Kila siku tunasikia machangudoa wanakimbilia Dodoma wakati wa bunge na wanadai kuna kuwa na biashara kweli kweli. Kwa mfano kuna mwanamama mmoja ndani ya ccm(alikuwa mbunge kipindi hicho na mpaka sasa ni mbunge) inasemekana aliliwa uroda na jamaa bwana mdogo ofisini lakini hiyo issue ilifichwa na hata wakati wa kura za maoni mpinzani wake yule mama hakuitaja kabisa sasa sijui ni kwa sababu jamaa aliyemla uroda alikuwa nobody ama kwa sababu mama alikuwa naye analiwa na mnene?(niliipata kutoka kwa wapelelezi wa Chama by the way wanajua uchafu wa kila mtu anayewania nafasi ndani ya CCM)
Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa Amina/Zitto wamekuwa victims wa dirty, ruthless game ndani ya CCM, hawa wote wawili wana promising future kwenye ulingo wa siasa na mmoja wao tayari ameonekana adui kisa anaonesha nia ya kutaka kujiendeleza katika wigo wa siasa. Kilichopo kama kweli mzee Zitto kala kizigo(Kimenona kweli kweli kama nguva) amuombe msamaha Bwana Medi na wananchi, ila kama hawajatengua amri ya sita watoke wote wawili(Amina na Zitto) kwa wakati mmoja wakanushe na baada ya hapo aliyeimwaga hii stori awajibishwe both kwenye chama na kwenye serikali.