Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 530
Kwa taarifa yenu Wapemba wanaongoza popote pale duniani kwa
kuchukuliana wanawake na kujisifuAka wajua eh nshanchukua nke wa fulani
BY THE WAY nchimbi mwenyewe ndo huyu hapa
![]()
anavimba MISHAVU tuuu
Ndugu yangu Samvulachole, I respect you so much and you have all the right to speak free. Hofu yangu ni kuwa kwa picha ile ya Dk. Nchimbi na comments zako kuhusiana na ile picha I think you have gone too far. Unajua si vizuri kuchukua umbo la mtu na kuligeuza kuwa kashfa; ni sawa na kumuhukumu Mungu aliyemuumba. "Muungwana akikosea huomba radhi" itakuwa vema kama utamuomba radhi Dk. Nchimbi na wote walioguswa na comments zako kuhusu picha yake kwa hilo.
Vinginevyo nakuomba Mhariri wa JF kuwa ujitahidi kutunza hadhi ya hii forum yetu.
