Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
hiLO SILIJUI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie watu vp?mmerogwa yaani mnataka bunge letu tukufu likae na kmjadili huyu bibie na mumewe mambo yao ya UNYUMBA???ama kweli Tanzania inapotea sioni sababu ya huyu jamaa kumuandikia spika wa bunge barua eti amuonye Zitto,alichotakiwa ni kumuarifu mtu kama kwa sasa Amina si mke wangu tena basi aishie hapo sasa tena hii ya bunge kuacha kutunga sheria na kujadili personal life ya mtu kwa kweli ni kioja .
Suala la kuacha na kuachwa sio kwamba hawa ndio wameanza
Nakuomba mh Spika tupilia mbali mambo haya ya kike na kufanya shughuli ambazo zitatuletea maendeleo
ni hayo tu
PM
Hiyo picha ni creation ya Mchungaji Munishi. Ingawa viongozi wetu ni wachanuaji wa wake za wenzao, hii picha haikuwa na maana kuonhshea kuwa AC ni "small house" ya JK inagawa hatujui usiku mambo yyao wanayafanyaje. Wakati naishi pale Sinza nilikuwa na bahati kubwa sana ya kumwona JK akihangaikia maumbile yake mpaka watoto wa kile walikuwa wakijitoea "kumhudumia.:
Jamani naona umekuwa mfumu dume umetawala. humu na Tanzania Daima kumekuwa na kampeni ya kumjenga Zitto na hapo hapo kumharibia Amina.
ZITTO ni mshenzi sana kamchezea Muhonga na sasa yuko na AC. hafai kuwa katibu wa chadema wala diwani. bora mumchukue mrema.