shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Acha kujibaraguza wewe
Nani katika CCM sio fisadi?
Fisadi hata lijitetee vipi haliwezi kujiondoa na kashfa za ufisadi
Mwizi ni mwizi hata angepewa nafasi angebaki kuwa mwizi. hili ni jizi lililokubuhu kamata peleka sero, tumempa heshima kutomvua mbele ya sheria lkn sasa anataka tumwage mboga. Akileta mbwembwe tutampandisha kizimbani kisutu. CCM waliambiwa peleka mahakamani mkamlinda sasa ona madhara yake anaua chama chenu.
CCM inawafika mikononi mwenu, lazima mzibebe lawama zote!! kasi mpya, ari mpya kumbe ni ya kutuulia chama chetu - aisee nyie!!Fisadi hata lijitetee vipi haliwezi kujiondoa na kashfa za ufisadi
Fisadi hata lijitetee vipi haliwezi kujiondoa na kashfa za ufisadi
Peleka kisutu, muuone kama Mzee wenu aanayekohoa na kunywa maji kwa insu ndogo tu ya escrow ,kibao hakijamgeukia. Jaribuni muone
Fisadi alikuwa Lowasa peke yake sasa ccm ni safi.Acha kujibaraguza wewe
Nani katika CCM sio fisadi?
Atapelekwa kisutu Lowasa ni mtu mdogo sana hawezi kuwa juu ya usalama wa nchi, yaani usalama wa taifa, mahakama, polisi na nk. Usalama hawawezi kubari awavue nguo mchana kweupe, subiri utaona, na watakaompeleka kisutu siyo CCM wataandaliwa watu wa kawaida, atabaki anacheza na kesi mpaka baada ya miaka 5.
Acha kuaminisha umma kuwa wizi ni halali katika nchi hii, kama CCM niwezi haina maana tuendelee kubariki wezi. LOWASA is a mwizi, since when he was worshiped, huyu ni wa kupeleka mahakani tu sema best wake alimrinda sasa wataondoka wote.
Fisadi alikuwa Lowasa peke yake sasa ccm ni safi.
Mwizi ni mwizi hata angepewa nafasi angebaki kuwa mwizi. hili ni jizi lililokubuhu kamata peleka sero, tumempa heshima kutomvua mbele ya sheria lkn sasa anataka tumwage mboga. Akileta mbwembwe tutampandisha kizimbani kisutu. CCM waliambiwa peleka mahakamani mkamlinda sasa ona madhara yake anaua chama chenu.
Fisadi alikuwa Lowasa peke yake sasa ccm ni safi.
Ndugu yangu tunaposema,MTIKISIKO MKUBWA tuna Maana hiyo. Mpaka Sasa Lowasa Ameshateka Usalama wa taifa,Jeshi,Mpaka Police Wote Wamegawanyika, Wengi wanampenda Lowasa...................... Subiri Utaona Mwenyewe . Mulijaribu Mukashindwa Wenyewe... Mutaweza kwa sasa...................... Lawama Zotte ziende kwa Jk,Nape, Kinana, Mangula ,CCM kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.