congobe
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 561
- 131
Matokeo yameshajulikana. hakuna Mtanzania ataempigia mtu kura kwa fedha zake, watu fedha watakula na Urais hawampi.
Nani ataekubali kuongozwa na mgonjwa asiyeweza hata kuweka maneno sawa? Labda ni misukule tu.
Ma Boss wako wanaingia uvungu wa kitanda kujificha wakiskia Rais Edward N Lowasa wewe unajitutumua
fox brown
tutaelewana tu October 25 asubuhi 2:30