JK huu ndio mwanya wa kurudisha imani safisha kabisa kila idara.
Hii isiwe ndio kulisahaulisha la BOT. bado kule tumeelekeza macho na masikio, Kuna issue ya import support, kuna issue ya Kiwira, kuna Nyumba za serikali, kuna issue ya Container Terminal jamani tutafika?
Naona mama Lowasa anatia huruma sana hapa kwenye picha. Mama pole sana kila kitu nitalipwa hapa hapa duniani.
http://haki-hakingowi.blogspot.com/
Anafikiria jinsi atakavyokosa shopping the Harrods, London.
Wakifika hapa wanatumia utafiri ni wake wa King wa Saudi Arabia,
kumbe wanatoka nchi ambayo zaidi ya nusu yao hawana uhakika na chakula cha kila siku.