Kashfa ya Trilioni 1.5 Bwawa la Nyerere mbona Zitto Kabwe uko kimya kulikoni?

Nchi hii Ina Shida Sana, speculation za kufa mtu Kila siku na hakuna kinachofanyika.

Kwa uelewa wangu makato ya ucheleweshaji kazi "Liquidated Damage" (LD) yanakatwa pale muda wa mkataba wa kazi unapoisha na asikubaliwe kuongezewa muda zaidi wa kazi wakati mkandarasi hajamaliza na kukabidhi kazi.

LD inayoongelewa na Mpina inaweza kuwa haipo kama aliomba kuongezewa muda na kukubaliwa ambacho inaweza kuwa kweli kwa sababu ya corona kwa kuwa wote tumeona athari zake lakini kama hakupewa nyongeza ya muda Ina maana LD inaweza kukatwa katika certificate zake za mwisho ili kutoathiri utekelezaji wa mradi.

Kwa hiyo Ile zana ya ufisadi huo inayoenea inakuwa imekufa kifo Cha kawaida.
 
Huyu mwamba ni bonge la mnafiki. Ukitaka kujua basi gazeti liandike uchafu wa awamu ya 5. Atasema kwa msisitizo sana ila likitamka uozo wa awamu hii ya asali, mdomo na mikono vinatiwa pingu hakuna kuwa movable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…