Baada ya kuwanyoosha Mawaziri makanjanja sasa wameamua kumuundia zengweBaadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia. Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake. Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.
Souce: Cheche Times
Hata haiji? Ime expire hii, kaitupeBaadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia. Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake. Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.
Souce: Cheche Times
Polepole alituonya kwenye shule yake ya Uongozi kuwa unaweza kufanyiwa vitimbi vinne ikiwemo fitina!!!Baada ya kuwanyoosha Mawaziri makanjanja sasa wameamua kumuundia zengwe
Live bila chengaWingu jeusi kwa Mpina
Kuna Genge la wezi limehisi joto kali kutoka kwa Mpina!Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.
Mpina debe tupu, hana athariNa wakimtoa huko atakuwa moto mwingine. Bora wachague kubaki naye
Debe tupu huyoNyinyi ccm ni wajinga sana! Huwa hamtaki ukweli? Ukweli kwenu ni sawa na mtu kujiona yuko jehanam, siyo?
Mpina usiogope una kundi kubwa mno nyuma yako
Kama wanamhofia debe tupu sijui wataitwaje wao.Mpina debe tupu, hana athari
Hapo CCM hawatofanya kitu watampigia makofi tu na kumsifu kuwa shujaa kupora mali watu bila kupigwa mishale au mikuki.Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.
Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.
Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.
Chanzo: Cheche Times
Ukitaka kujua maana ya mjinga , mfano wake ni weweBaadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.
Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.
Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.
Chanzo: Cheche Times