Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Wamemuundia zengwe hao CCM wenzake na hao wa mama ukiwaangalia wanavyoongea unajua kabisa wamesetiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpina tunajua kati ya wezi waliopo ndani ya ccm wewe ni kasisimizi tuu wezi wakubwa wapo humo chamani na sii wezi wa mali tuu bali hata majambazi ya kupora uchaguzi.Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.
Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.
Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.
Chanzo: Cheche Times
Ccm ndio ina hali mbaya kutokana na hoja za Mpina bungeni.Wingu jeusi kwa Mpina
Ccm ndio ina hali mbaya kutokana na hoja za Mpina bungeni.