Kashfa za wizi na ufisadi zazidi kumuandama Mbunge Luhaga Mpina

Kashfa za wizi na ufisadi zazidi kumuandama Mbunge Luhaga Mpina

Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.

Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.

Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya wanavijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.

Nchi ngumu Sana hii.

My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.

CCM hovyoooo!!!
Duh! Kwa hiyo Mpina kasingiziwa!!
 
2025 asiingie mmpinzani yeyote bungeni, lazima ccm wamalizane.
 
Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.

Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.

Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya wanavijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.

Nchi ngumu Sana hii.

My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.

CCM hovyoooo!!!
Kutakua na milipuko ya backfire. Wala wasithubutu kumsulubu mpina. Wakilianzisha tunalo. Wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi walifanikiwa kumzuia lowassa na membe... wasijaribu ama sivyo watakinukisha.
 
Wanaleta siasa za kizamani, siku zote walikuwa wapi?
 
Kesi ya ardhi huwa nyepesi sana nashauri mpina anyoke nao mahakamani maana ardhi ni vielelezo. Akiwagalaza tuu awashitaki kwa defamation... mtu aliyekuwa na status tuone ka watamlipa... nchi hii inawehu wengi sana
 
Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.

Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.

Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya vijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.

Nchi ngumu Sana hii.

My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.

CCM hovyoooo!!!
ikibainika ni kweli kapora ardhi awajibishwe vilivyo na ikiwa vinginevyo haki na heshima yake apewe
 
Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.

Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.

Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya vijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.

Nchi ngumu Sana hii.

My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.

CCM hovyoooo!!!
Hahahaha yaani kuna jamaa mmoja anaongea halafu anaonekana kabisa kapangwa na kuna yule mwanamke anayejiliza yaani full maigizo. Ila hakika sisi chawa wa Mama hatukubali huu uzushi, hawa hawa ndiyo wanaweza mtengenezea Mama yetu skendali ili kutuondoa 2025
 
Siasa ndiyo ilivyo

Kama anajiona yuko clean aendeleze moto,tatizo linakuja hakuna aliyemsafi

Ova
 
Wenye akili timamu tunajua hizo ni hujuma tu, tunaapa kusimama na Mpina mpaka mwisho.
 
Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times
Mh. Mpina ataendelea kuwanyosha tu na tuhuma zenu za kubumba!!
 
Kwahio hizo Nyavu zilikuwa ni nzuri na zinafaa kutumiwa kwa uvuvi ?

Kwa maana nyingine hao wavuvi tunawarudishie hizo Nyavu ili waendelee kuharibu vizazi vya Samaki ?!!!
 
Anachofanyiwa Mpina ni zengwe la wazi na wote tunajua hilo. Lakini watu kama kina Mpina sio rahisi kukaa upande wao, maana pia alikuwa ni mtu anayesupport uonevu kwa wengine. Kama aliona ni sahihi kukalia kimya uovu wakati akila mema kipindi cha dhalimu, acha aonje matunda ya uhayawani aliousimamia uote. Ukifumbia macho uovu, siku ukifanyiwa uovu utakuwa peke yako.
alipima mpaka samaki wenye mchuzi

FB_IMG_1648499814063.jpg
 
Yani wewe ukiacha unyumbunyumbu, saa zingine huwa unauliza maswali na kuleta hoja zenye mantiki sana.
Simtetei Mpina , maana alikuwa Kauzu sana enzi za Dikteta Jiwe , alipima hadi samaki kwenye bakuli
FB_IMG_1648499814063.jpg


Ila nimechochea tu kuni ili kuunguza ccm
 
Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.

Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.

Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya vijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.

Nchi ngumu Sana hii.

My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.

CCM hovyoooo!!!
RBC ni kwanini unasema zengwe?!!!

Ni kwanini unahukumu kwa "conspiracy theories"...

Tusimuongelee mh.Mpina...je watu hawapori ardhi kwa vigezo vya nafasi za ukubwa walizonazo ?!!!

Nenda pale wizara ya ardhi uulizie wakubwa gani wanatuhumiwa....au kwa sababu tuhuma zao hujazisikia katika vyombo vya habari.....

Mkuu wa wilaya ya pale ameteua kamati ya siku 14....Mh.Mpina ameombwa atoe ushirikiano.....akihitajika asisite kwenda.....

Ni hivi majuzi tu mh.Waziri Mkuu alimkemea yule afisa mipango miji anayehodhi ardhi kinyume na utaratibu tena akirudia makosa hayohayo kila anapohamishiwa.....unajuaje kuwa anamiliki ardhi yenye wamiliki wenye nguvu nyuma yake ?!!!

Tusubiri hizo siku 14 na tusianze ramli za misigano ya kisiasa....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Back
Top Bottom