Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Patamu sana hapo. Acha inyeshe...Kwanini wanakijiji wanalia leo , je hayo mashamba wameporwa jana ?
Duh! Kwa hiyo Mpina kasingiziwa!!Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.
Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.
Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya wanavijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.
Nchi ngumu Sana hii.
My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.
CCM hovyoooo!!!
Hapana hoja hapa ni kama je ni kweli Mpina alidhulumu?Kwanini wanakijiji wanalia leo , je hayo mashamba wameporwa jana ?
Kutakua na milipuko ya backfire. Wala wasithubutu kumsulubu mpina. Wakilianzisha tunalo. Wanamapinduzi ndani ya chama cha mapinduzi walifanikiwa kumzuia lowassa na membe... wasijaribu ama sivyo watakinukisha.Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.
Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.
Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya wanavijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.
Nchi ngumu Sana hii.
My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.
CCM hovyoooo!!!
ikibainika ni kweli kapora ardhi awajibishwe vilivyo na ikiwa vinginevyo haki na heshima yake apeweMpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.
Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.
Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya vijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.
Nchi ngumu Sana hii.
My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.
CCM hovyoooo!!!
Hahahaha yaani kuna jamaa mmoja anaongea halafu anaonekana kabisa kapangwa na kuna yule mwanamke anayejiliza yaani full maigizo. Ila hakika sisi chawa wa Mama hatukubali huu uzushi, hawa hawa ndiyo wanaweza mtengenezea Mama yetu skendali ili kutuondoa 2025Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.
Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.
Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya vijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.
Nchi ngumu Sana hii.
My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.
CCM hovyoooo!!!
Yani wewe ukiacha unyumbunyumbu, saa zingine huwa unauliza maswali na kuleta hoja zenye mantiki sana.Kwanini wanakijiji wanalia leo , je hayo mashamba wameporwa jana ?
Mh. Mpina ataendelea kuwanyosha tu na tuhuma zenu za kubumba!!Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.
Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.
Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.
Chanzo: Cheche Times
alipima mpaka samaki wenye mchuziAnachofanyiwa Mpina ni zengwe la wazi na wote tunajua hilo. Lakini watu kama kina Mpina sio rahisi kukaa upande wao, maana pia alikuwa ni mtu anayesupport uonevu kwa wengine. Kama aliona ni sahihi kukalia kimya uovu wakati akila mema kipindi cha dhalimu, acha aonje matunda ya uhayawani aliousimamia uote. Ukifumbia macho uovu, siku ukifanyiwa uovu utakuwa peke yako.
Simtetei Mpina , maana alikuwa Kauzu sana enzi za Dikteta Jiwe , alipima hadi samaki kwenye bakuliYani wewe ukiacha unyumbunyumbu, saa zingine huwa unauliza maswali na kuleta hoja zenye mantiki sana.
RBC ni kwanini unasema zengwe?!!!Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.
Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.
Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya vijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.
Nchi ngumu Sana hii.
My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.
CCM hovyoooo!!!