Kashfa za wizi na ufisadi zazidi kumuandama Mbunge Luhaga Mpina

Kashfa za wizi na ufisadi zazidi kumuandama Mbunge Luhaga Mpina

Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times
Naona mnaaza kusagiana kunguni wenyewe kwa wenyewe. Huu mvurugano wenu, ni sehemu tu ndogo ya ule uhuni mlioufanya mwezi Oktoba Mwaka 2020!

Na ikikaribia 2025, tunatarajia kuona mvurugano zaidi baina yenu.
 
Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times
Pamoja na kua ni mlinda legacy but Mpina yupo straight san kweny hoja zake!! Ni vzr asikilizwe kuliko kutafuta kichaka cha kujifichia!!
 
Naona mnaaza kusagiana kunguni wenyewe kwa wenyewe. Huu mvurugano wenu, ni sehemu tu ndogo ya ule uhuni mlioufanya mwezi Oktoba Mwaka 2020!

Na ikikaribia 2025, tunatarajia kuona mvurugano zaidi baina yenu.
Yule mzee hakwepi hizi lawama. yule uchwara marehemu, aliiharibu nguzo za state Serikali (executive), Mahakama, na Bunge



Jesus is Lord
 
Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times
Sijakuelewa

Kuchomwa njavu haramu kunatengeneza vipi ingredients za makosa ya wizi na ufisadi?
 
Ccm na ukweli ni Sawa na mafuta na maji ; kamwe havichanganyiki!
 
Genge la wezi kwa staili ile ile ya kutengeneza zengwe,mpina yanyooshe hayo majizi ya ccm
 
Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times
Shida ni ufisadi aliolipua eti?
Lakini nani afunge mwingine kengele nyie mapanya?

1685369481931.png
 
Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times
Mavi ya njiwa,baada ya kumuona ni mwiba mnamtafutia njia za kumnyamazisha?

Nchi ya wapumbavu sana
 
Wanasiasa Croocks wanapenda kusingizia watumishi wazuri na kuwatengenezea fitna
 
Nyinyi ccm ni wajinga sana! Huwa hamtaki ukweli? Ukweli kwenu ni sawa na mtu kujiona yuko jehanam, siyo?

Mpina usiogope una kundi kubwa mno nyuma yako
Mdanganyeni halafu akipata kifinyo mnamwacha peke yake kama mlivyowatosa kina Ndugai nakadhalika.
 
Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times

Kati ya watu ambao taifa linapaswa kujivunia, ni kuwa na mtu kama Mpina!
Mpina ana mapungufu yake lakini hii mizengwe anayofanyiwa si sawa!
Mama Samia kwanza anatakiwa amrudishe haraka sana kwenye baraza la mawaziri!
Hili sakata la kuteketeza nyavu ndio linalomtafuna pamoja na ile kamati aliyounda akiwa waziri! Ile kamati iliibua mengi na kuna watu walikuwa wanafanya ujanja ujanja, akakata mizizi!
Sasa kwa kuwa hayupo tena wizarani basi ndio hivyo anasagiwa kunguni!
 
Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.

Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.

Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya vijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.

Nchi ngumu Sana hii.

My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.

CCM hovyoooo!!!
 
Baadhi ya wavuvi waliochomewa nyavu zao wakati Mpina akiwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wameomba achukuliwe hatua na kuwalipa fidia.

Wakati hilo likiendelea baadhi wametaka CCM isimpe tena nafasi ya kugombea Ubunge mwaka 2025 baada ya kushiriki kupora ardhi zaidi ya hekari elfu moja na kujimilikisha yeye na marafiki zake.

Eneo la ardhi linalotajwa ni la maelfu ya familia masikini katika vijiji vya Dalla na Mbwade mkoani Morogoro.

Chanzo: Cheche Times

Cheche times ha haha 😆😆😂

No matter amefanya nini, sikilizeni hoja zake na kuzifanyia kazi
 
Mpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.

Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.

Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya wanavijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.

Nchi ngumu Sana hii.

My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.

CCM hovyoooo!!!
 
Ukiliangalia suala la Mpina na wananchi utaona kama la kawaida maana Morogoro na migogoro ya ardhi ni jambo la kawaida ila kama unaijia CCM na fitna zake utajua kuwa sasa Mpina ananyolewa na kamati ya fitna ndani ya chama kupitia vitega uchumi vyake.

Iko hivi:

Baada ya wabunge kuapishwa wabunge wa CCM hukutana pamoja na kuamua kulinda chama Chao ndani ya bunge tena kwa kiapo kikali na hapo Rais mwenyewe hufika na so called vigogo wa chama ! , Kama utakiuka unahakikishiwa kushuglikiwa wazi wazi.

Wapo wengi waliowahi kulipwa hili wakiwa ndani na nje ya chama, sio wapinzi tu ila Kwa wabunge ni hatari sana kama unabisha muulize Dkt. Slaa, Agustino Mrema, Maalim Seif, Imrani Kombe, Hamadi Rashid, Saidi Moyo, Sofia Simba, Anna Kilango, Filikunjombe na n.k

Kumekuwa na ukubwa wa vikundi vilivyoundwa kumpinga Mpina na wako serious Kila uchao Kila siku ila jambo hili lilianzia bungeni na na sasa chuma kinaliwa na kutu.

USSR
 
Back
Top Bottom