ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
ππππππππ€ͺπ€ͺπ€ͺ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wanakijiji wanalia leo , je hayo mashamba wameporwa jana ?Andika kama mtu makini basi..
Mpina kasingiziwa hajapora ardhi?wanavijiji wanaolia wamelipwa??
Sasa kama ni hivyo why unasema hakuna msafi CCM?asihukumiwe peke yake? Ahukumiwe nini na umesema kasingiziwa?
Which is which??
Ccm mbona kma chama hakijielewi na kibovu kias kwamba kimechokwa sana wa Tanzania wengi sana na kila ukicha wanakivunja chama Chao wao tatzo UPINZANI NAO haujielwi na kujitambua kabisaa agenda zao nao wanawapamba hao hao CCM hapa sijui nani wa kuja kulikomboa TAIFA HILI LENYE KIZA NA WANAICHI WAKE NAO WAPO KWENYE USINGUZI TOTOROO
Kinachokusumbua wewe kila mtu anakijua fika!Andika kama mtu makini basi..
Mpina kasingiziwa hajapora ardhi?wanavijiji wanaolia wamelipwa??
Sasa kama ni hivyo why unasema hakuna msafi CCM?asihukumiwe peke yake? Ahukumiwe nini na umesema kasingiziwa?
Which is which??
Hilo zengwe ni la walamba asali, hasa wale anaowaandama kwa hoja zake pale mjengoniMpina ndiye mbunge pekee aliyekuwa anawakalia kooni mawaziri wa serikali ya wamu ya 6.
Lkn kama alivyowahi kusema mheshimiwa Polepole kwamba ndani ya ccm ukiwa mfukunyuku, mpembuzi na mjenga hoja basi jiandaye kwa mambo 3:- kuuawa, kufanyiwa zengwe ama kurogwa.
Sasa naona Mpina ameundiwa zengwe kwamba amepora ardhi ya wanavijiji 3. Na kama kawaida waigizaji wameandaliwa wanalia na kugalagala unaweza kudhani ni kweli. Mpina wa watu anataka kutishwa ili akae kimya.
Nchi ngumu Sana hii.
My take;:
Hakuna kigogo wa ccm aliye msafi, hivyo Mpina asisulubiwe peke yake. Vinginevyo tuko tayari kufichua duluma iliyofanywa/inayofanywa na kila mwanaccm.
CCM hovyoooo!!!
Umeuliza swali gumu sana, na hakuna mwana ccm wa kujibu hiliKwanini wanakijiji wanalia leo , je hayo mashamba wameporwa jana ?
Nitawashangaa watanganyika 2025 kuchagua kiongozi kutaka kundi la watu milioni moja badala ya kundi la watu 60milioni.
Kinachokusumbua wewe kila mtu anakijua fika!
Wewe na Zit to ni kama maji na samaki, asowajua nani nyinyi watu wa hovyo kabisa!
Mnang'ang'ania mambo ya karine ya 6 huko??
Huyo utopolo ana sifa kama za yule ajuza maarufu wa JF ambaye jina lake linaanza na herefi F na kumalizia na herufi xKinachokusumbua wewe kila mtu anakijua fika!
Wewe na Zit to ni kama maji na samaki, asowajua nani nyinyi watu wa hovyo kabisa!
Mnang'ang'ania mambo ya karine ya 6 huko??
Hayo maswali kawaulize wanakijiji au alieleta thread...Mimi sio mwanakijijiKwanini wanakijiji wanalia leo , je hayo mashamba wameporwa jana ?