Narudia tena! Wewe akili yako bado iko karne ya 6Wewe huna akili kabisa
Hapa nimeuliza kuhusu Mpina ...
Wapi umeona nimesema Mpina kapora ardhi ?Mimi nimemuuliza alieleta mada aweke hoja zake vizuri..
Wewe Acha kuvamia hoja kama hujaelewa
Michango yako yote kuwahusu kina fulani inafahamika na ipo humu! Umsemee mazuri Mpina Wewe?
Ni ujinga kudhani Mpina akikomolewa kwa mambo ya kipumbavu eti wewe uone umetangaza soko la kile unaamini!