Kashfa za wizi na ufisadi zazidi kumuandama Mbunge Luhaga Mpina

Wamemuundia zengwe hao CCM wenzake na hao wa mama ukiwaangalia wanavyoongea unajua kabisa wamesetiwa
 
Mpina tunajua kati ya wezi waliopo ndani ya ccm wewe ni kasisimizi tuu wezi wakubwa wapo humo chamani na sii wezi wa mali tuu bali hata majambazi ya kupora uchaguzi.
Mpina kaamua kuweka hoja nzito bungeni zenye maslahi mapana dhidi ya wahuni wachache ndani ya serikali ndio wana muundia zengwe.
Kuna msemo unasema ukiona ccm wanakusifia tafuta mahali pa siri ujifiche umlilie sana Mungu akufubulie ni wapi ulipokosea.
Ccm jibuni hoja za Mpina bungeni acheni siasa za maji taka.
Kwa watawala weusi mwekezaji ni mweupe tu kwa kuwa ni rahisi kumtaka rushwa ila kwa mweusi mwenzao ni mwizi hata kama uwekezaji wake una tija mara elfu ya mwarabu au mhindi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…