Kasi ya China kuendelea kukua kiuchumi duniani. Wamejenga mji mpya kabisa uitwao Xiongan ndani ya miaka 7 tu.

Kasi ya China kuendelea kukua kiuchumi duniani. Wamejenga mji mpya kabisa uitwao Xiongan ndani ya miaka 7 tu.

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Ilikuwa ni mwezi february mwaka 2015 raisi Xi alipotangaza maono yake ya kujenga mji mpya mkubwa nchini China. Michoro na mipango yote ikakamilika mwaka 2017 na miaka sita imepita China wamekuja na mradi mkubwa wa kujenga mji mpya kabisa kutoka ardhini yaani "from scratch".

Mji huo utatiwa Xiongan na umeanza kujengwa kaskazini mwa Beijing ndani ya jimbo la Tianjin-Hebei na wagharimu dola za marekani $580 milioni.

Tayari ndani ya miaka sita miundombinu kama njia za usafiri wa barabara, reli mabasi, magari ya kukodi, uwanja wa ndege, mifumo ya maji na mifumo ya ekolojia tayari imejengwa.

0c5908b0d0374d538373de7170622ccc.jpeg

Kituo cha reli cha Xiongan kikiwa tayari kwa matumizi katika jimbo la Hebei.

Mwaka 2020 tayari njia za reli ziitwazo Intercity railways za kutoka mji mkuu wa Beijing kwenda Xiongan zilikuwa zimekamilika na hizi zitawezesha wasafiri kutumia dakika zipatazo 50 tu badala ya saa moja na nusu kutoka Beijing kwenda Xiongan.

Wasafiri wa ndege watatumia dakika 19 tu kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Daxin mjini Beijing kwenda Xiongan.

Kufikia mwaka 2021 njia za barabara zikiwemo zile barabara kuu zenye urefu wa kilomita 500 zilikuwa tayari kwa matumizi. Majimbo mengine madogo yanozunguka Xiongan yote yameboreshwa na njia zote zafanya kazi.

Video ya hapo chini iilichukuliwa mwezi ulopita ikionyesha mji huo mpya kabisa ukiwa umekamilika kwa asilimia 90.

Yasemekana wajenzi na mafundi wanojenga mji huo wamekuwa kazini masaa 24!



Ama kweli akili ukiitumia uzuri haiwezi kukuangusha.
 
Ilikuwa ni mwezi february mwaka 2015 raisi Xi alipotangaza maono yake ya kujenga mji mpya mkubwa nchini China. Michoro na mipango yote ikakamilika mwaka 2017 na miaka sita imepita China wamekuja na mradi mkubwa wa kujenga mji mpya kabisa kutoka ardhini yaani "from scratch".

Mji huo utatiwa Xiongan na umeanza kujengwa kaskazini mwa Beijing ndani ya jimbo la Tianjin-Hebei na wagharimu dola za marekani $580.

Tayari ndani ya miaka sita miundombinu kama njia za usafiri wa barabara, reli mabasi, magari ya kukodi, uwanja wa ndege, mifumo ya maji na mifumo ya ekolojia tayari imejengwa.

0c5908b0d0374d538373de7170622ccc.jpeg

Kituo cha reli cha Xiongan kikiwa tayari kwa matumizi katika jimbo la Hebei.

Mwaka 2020 tayari njia za reli ziitwazo Intercity railways za kutoka mji mkuu wa Beijing kwenda Xiongan zilikuwa zimekamilika na hizi zitawezesha wasafiri kutumia dakika zipatazo 50 tu badala ya saa moja na nusu kutoka Beijing kwenda Xiongan.

Wasafiri wa ndege watatumia dakika 19 tu kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Daxin mjini Beijing kwenda Xiongan.

Kufikia mwaka 2021 njia za barabara zikiwemo zile barabara kuu zenye urefu wa kilomita 500 zilikuwa tayari kwa matumizi. Majimbo mengine madogo yanozunguka Xiongan yote yameboreshwa na njia zote zafanya kazi.

Video ya hapo chini iilichukuliwa mwezi ulopita ikionyesha mji huo mpya kabisa ukiwa umekamilika kwa asilimia 90.

Yasemekana wajenzi na mafundi wanojenga mji huo wamekuwa kazini masaa 24!



Ama kweli akili ukiitumia uzuri haiwezi kukuangusha.

Wanajitambua
 
Hao wako wengi bro...
Jimbo la Hebei lina watu milioni 1.29.

Ni kwamba kukiwa na kazi au shughuli za kiuchumi kama ujenzi, watu kutoka maeneo mengine yaani mafundi, vibarua na makampuni ya ujenzi na mengine yote ya kutoa huduma huamia huko na kupiga kambi.

Huo ndo utaratibu maana hata Qatar viwanja vya kombe la dunia vimejengwa na wahamiaji kutoka India, Pakistani, Nepal na kwingine.

Hiyo yaitwa mzunguko wa soko la ajira au "labor market trends".

Hivyo hiyo hajalishi uwepo wa watu katika eneo husika au vipi maana waweza kuwa watu lakini hawana ujuzi.
 
Ilikuwa ni mwezi february mwaka 2015 raisi Xi alipotangaza maono yake ya kujenga mji mpya mkubwa nchini China. Michoro na mipango yote ikakamilika mwaka 2017 na miaka sita imepita China wamekuja na mradi mkubwa wa kujenga mji mpya kabisa kutoka ardhini yaani "from scratch".

Mji huo utatiwa Xiongan na umeanza kujengwa kaskazini mwa Beijing ndani ya jimbo la Tianjin-Hebei na wagharimu dola za marekani $580 milioni.

Tayari ndani ya miaka sita miundombinu kama njia za usafiri wa barabara, reli mabasi, magari ya kukodi, uwanja wa ndege, mifumo ya maji na mifumo ya ekolojia tayari imejengwa.

0c5908b0d0374d538373de7170622ccc.jpeg

Kituo cha reli cha Xiongan kikiwa tayari kwa matumizi katika jimbo la Hebei.

Mwaka 2020 tayari njia za reli ziitwazo Intercity railways za kutoka mji mkuu wa Beijing kwenda Xiongan zilikuwa zimekamilika na hizi zitawezesha wasafiri kutumia dakika zipatazo 50 tu badala ya saa moja na nusu kutoka Beijing kwenda Xiongan.

Wasafiri wa ndege watatumia dakika 19 tu kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Daxin mjini Beijing kwenda Xiongan.

Kufikia mwaka 2021 njia za barabara zikiwemo zile barabara kuu zenye urefu wa kilomita 500 zilikuwa tayari kwa matumizi. Majimbo mengine madogo yanozunguka Xiongan yote yameboreshwa na njia zote zafanya kazi.

Video ya hapo chini iilichukuliwa mwezi ulopita ikionyesha mji huo mpya kabisa ukiwa umekamilika kwa asilimia 90.

Yasemekana wajenzi na mafundi wanojenga mji huo wamekuwa kazini masaa 24!



Ama kweli akili ukiitumia uzuri haiwezi kukuangusha.
Sisi hapa tunapambana democracy na uhuru wa kujieleza ndo kipaumbele chetu
 
Ilikuwa ni mwezi february mwaka 2015 raisi Xi alipotangaza maono yake ya kujenga mji mpya mkubwa nchini China. Michoro na mipango yote ikakamilika mwaka 2017 na miaka sita imepita China wamekuja na mradi mkubwa wa kujenga mji mpya kabisa kutoka ardhini yaani "from scratch".

Mji huo utatiwa Xiongan na umeanza kujengwa kaskazini mwa Beijing ndani ya jimbo la Tianjin-Hebei na wagharimu dola za marekani $580 milioni.

Tayari ndani ya miaka sita miundombinu kama njia za usafiri wa barabara, reli mabasi, magari ya kukodi, uwanja wa ndege, mifumo ya maji na mifumo ya ekolojia tayari imejengwa.

0c5908b0d0374d538373de7170622ccc.jpeg

Kituo cha reli cha Xiongan kikiwa tayari kwa matumizi katika jimbo la Hebei.

Mwaka 2020 tayari njia za reli ziitwazo Intercity railways za kutoka mji mkuu wa Beijing kwenda Xiongan zilikuwa zimekamilika na hizi zitawezesha wasafiri kutumia dakika zipatazo 50 tu badala ya saa moja na nusu kutoka Beijing kwenda Xiongan.

Wasafiri wa ndege watatumia dakika 19 tu kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Daxin mjini Beijing kwenda Xiongan.

Kufikia mwaka 2021 njia za barabara zikiwemo zile barabara kuu zenye urefu wa kilomita 500 zilikuwa tayari kwa matumizi. Majimbo mengine madogo yanozunguka Xiongan yote yameboreshwa na njia zote zafanya kazi.

Video ya hapo chini iilichukuliwa mwezi ulopita ikionyesha mji huo mpya kabisa ukiwa umekamilika kwa asilimia 90.

Yasemekana wajenzi na mafundi wanojenga mji huo wamekuwa kazini masaa 24!



Ama kweli akili ukiitumia uzuri haiwezi kukuangusha.
Huko china hakuna upigaji wa mafisadi
 
Maendeleo hayaji kwa kubembelezana, sasa hapa kwetu njia za barabara zinatanuliwa watu mpaka Leo mnalia sijui nyumba zimebomolewa!!

Kama ukikaa mezani na watu wakaleta ujuaji ni kufanya màamuzi magumu tu

Sisi Kila kitu kubembelezana
 
Maendeleo hayaji kwa kubembelezana, sasa hapa kwetu njia za barabara zinatanuliwa watu mpaka Leo mnalia sijui nyumba zimebomolewa!!

Kama ukikaa mezani na watu wakaleta ujuaji ni kufanya màamuzi magumu tu

Sisi Kila kitu kubembelezana
Mbona ile miradi isiyoathiri makaz ya watu pia ni kikwazo
 
Back
Top Bottom