Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama ni ndogo kwa huo mji kuanza from the scratch...Dola Milioni $580
Mkuu angalia desa lako vizuri, USD580 mil. ni pesa ndogo sana kukamilisha mradi mkubwa kama huo. Hiyo ni sawa trilion 1 na chenchi kadhaa kwa pesa ya madafu.Dola Milioni $580
Ni ndogo sana mkuu, haitoshi hata miundombinu ya reli.Naona kama ni ndogo kwa huo mji kuanza from the scratch...
1.334Trillion tz sh mh ndogo
Dola M580Dola 580??
Hata ingekuwa $2 bil bado ni ndogo sana kwa mradi kama huoDola M580
Hii hela sio Mkuu,,, haiwezi jenga mji mpya ni ndogo sana yaani...Daraja la Busisi linajengwa kwa thamani ya over $350Ml...yaani over 700BL..TZS...,,, mji kama huo uujenge kwa like 1.3 T..TZS...unatania aisee...Misri nao wanajenga mji wao mpya kwa hela ndefu vibaya yaani....pls chek your sources...kuna mahala umekosea kunakili.Dola Milioni $580
Mimi pia nimestaajabu kwa mradi kama huo kuwa na thamani ya dola mil 580, really??Hata ingekuwa $2 bil bado ni ndogo sana kwa mradi kama huo
Rest in peace classmateCHINA TAIFA TEULE [emoji630] [emoji630] [emoji630]
Inakuwaje hiyo mirad ghost banduguFatilia miradi ghost huko china