Na watanzania tuko addicted na drama kama hIziHuyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Mi kwangu wanyonge Ni watu wasio na akili, Kama hamna akili mna faida gani nchini bora mfe tu. tuombe watu kutoka nchi zinge wenye akili waje tuwape uraia ili tujenge nchiWatumishi wa wizara wanajilipa posho za mabilioni wakati sisi huku vijijini hatuna zahanati, shule mbovu na hazina vifaa, maji, barabara, nk, na hakuna anayetujali, ukiwemo wewe!
Mkuu kunywa kinywaji chochote ntalipa maana umeongea point nzuriTatizo ni bosi wake too slow....too dhaifu
Naona dish limetilt kidogo!Mi kwangu wanyonge Ni watu wasio na akili, Kama hamna akili mna faida gani nchini bora mfe tu. tuombe watu kutoka nchi zinge wenye akili waje tuwape uraia ili tujenge nchi
Lisu mbona ni chizi lakini anajulikana?Ww mbna taahira,nan anakujua nchi hii????
Umasikini unaotafuna kwenye ukoo wako hautaondoka kwa fikra mgando kama hiziHii nchi ikishaondokana na kitu kinaitwa Mataga na Sukuma gang, itakuwa tamu sana
Mfumo nao si watu, kwa ujinga wako unadhani hakuna mfumo? hata kukawa na mifumo mizuri aina gani lakini kama hakuna utashi na uthubutu ni kazi bure, wewe ndio hufai,tutaenda na Majaliwa 2025 akomeshe mijizi .Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Mimi nimpenda haki na mabadiliko ya kweli nchini. Kama huyo Samia ataongoza kwa haki na kuiletea nchi maendeleo ya kweli, nitamuunga mkono yeye kama yeye na siyo chama chake ambacho kimejaa mchwaMbona unamuunga mkono Samia?
Ufuatilliaji, usimamizi na ukali ndo asili ya utendaji kazi wa KM tangu akiwa Naibu Waziri TAMISEMI enzi za JK.Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Ufuatilliaji, usimamizi na ukali ndo asili ya utendaji kazi wa KM tangu akiwa Naibu Waziri TAMISEMI enzi za JK.
Wala hafanyi hayo kwa kutaka kujionesha au kumfurahisha mtu au kusifiwa kama alivyokuwa Magufuli, bali Majaliwa ni mtu serious kwenye utendaji wa serikali sema alikuwa anapata vikwazo katka kuwachukulia hatua watendaji wateule vipenzi wa Hayati Rais Magufuli.
Kwa mfano utakumbuka alivyowakoromea Mkurugenzi wa Bandari Kakoko kwa matumizi mabaya ya gedha na Magufuli hakumchukulia hatua yoyote hadi alipoingia Bimkubwa.
Alimkoromea Engineer Mfugale kwa kukiuka maelekezo yake ya kumuondoa Meneja wa TANROADS Mkoa wa Moroforo kwenye sakata la usimamizi wa ujenzi wa daraja lililokuwa limevunjika kwenye barabara kuu ya ya Morogoro-Dodoma. Ninaimanimajaliwa angekuwa na mamlaka angemtumbua Mfugale lakini Magufuli akachukulia poa.
Kumbuka pia alivyokoroma kule Mwanza kuhusu sakata la Wakurugenzi kujinunulia ma-VX-VR. Nina imani ingekuwa imetokea enzi enzi hizi za Bimkubwa ambapo hata Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu, anaweza kuwasimamisha kazi Wakurugenzi wa Halmashauri, Majaliwa angewatumbua lakini Hayati Magufuli akaja ku-dilute kwa kumrejesha yule aliyekuwa aliyemsimamisha kupitia Jaffo.
Kiufupi watendaji wengi wanvetumbuliwa na Majaliwa enzi za Magufuli sema alishindwa kwavile ni wateule wa Magufuli ambaye hata angefanya hivyo Rais mwenyewe ange-dilute na kuwarejesha.
Wivu utakuuwa....Huyu anafanya kazi kwa ajili ya kujionesha, Hana uchapakazi wowote, Ni one man show, kwanini wasiweke mfumo? Ni one man show ya kutafuta sofa, Majaliwa hafai
Kimsingi, kwa mtazamo wangu, pm ndiye anatakiwa awe hivi. Raisi asiwe mtu Wa kusikika hovyo....
ni km second master shuleni. Ukiona Shule imesimama barabara kitaaluma na maendeleo kwa ujumla, basi jua hapo kuna second master mmoja hatari sana......anasimamia nidhamu vema (yake mwenyewe na ya wengine), anaunganisha walimu vema, anawaunganisha walimu na mkuu wa shule vizuri, anamshauri vema mkuu wa shule n.k. mkuu wa shule anakuwa busy kufuatilia mambo mengine ya kimaendeleo kwa shule au walimu kutoka kwa wadau mbalimbali au wakubwa wao.
rais inabidi awe busy kusoma tu mchezo unavyoenda na kurekebisha hapa na pale huku akiwa busy kuangalia maelfu ya fursa yaliyopo nchini na duniani kwa ujumla katika kuleta maendeleo.
nafurahishwa na utaratibu huu wa mama Samia wa kumpa nguvu pm.....watendaji wa serikali lazima watetemeke pale pm, sio anapotokea tu, bali hata anaposikika redioni tu. huu ndiyo utaratibu mzuri, sio raisi unaongea ongea tu kila leo na kuingilia kila jambo mara tatu kwa siku kama dozi ya aspirin!
Uko sahihi kabisa mkuu. Raisi anatakiwa kupata muda wa kutosha kutuliza akili yake ili kudeal na masuala makubwa ya nchi na kimataifa siyo kushughulika na petty issues kila siku na matamko ya ajabuajabu.Anatimiza majukumu yake mkuu, hizo habari zenu za uzalendo ziacheni tu.
[emoji106][emoji106][emoji106]Mama ndo kampa nguvu...
Magu alikuwa akipiga one man show...
So credit goes back to Madam President.
Wajingajinga hawatanielewa.
wakumpongeza ni Raisi samia kutuchagulia wazi mkubwa huyu,mama aongezewe mi5 tenaUTENDAJI KAZI: MAJALIWA KASSIM MAJALIWA
•Tarehe 10/4/2021 anafanya ziara kukagua ujenzi wa bwawa la umeme la Julius Nyerere lililopo Rufiji na kuwaahidi Watanzania kuwa ujenzi utaendelea kama kawaida na kumalizika kwa muda uliopangwa.
•Tarehe 19/4/2021 anakwenda kuukagua mradi wa mabasi ya mwendokasi baada ya malalamiko mengi kutoka kwa wananchi juu ya Ufanisi wa mradi huo, anakuta utendaji ni mbovu anamsimamisha kazi mkurugenzi wa fedha wa mradi huo Susana Steven Chaula.
•Tarehe 19/4 /2021 anakwenda kukagua bandari ya nchi kavu Ubungo Baada ya magari ya mizigo kukwama kwa zaidi ya siku tatu..anafanya mazungumzo na madereva pamoja na watendaji wa bandari
•Tarehe 19/4/2021 anafanya ziara kiwanda cha kuunganisha magari cha GFA kilichopo Kibaha, Pwani. Anawahakikishia wawekezaji hao kuwa Vijana wa kitanZania ni waaminifu. Siku kadhaa baada ya Spika wa bunge kunukuliwa akisema vijana wa Kitanzania SIO waaminifu.
•Tarehe 21/4/2021 anaenda kukagua ujenzi wa stesheni ya Treni ya umeme iliyopo Pugu Dar, anasema "Mradi utaenda kama JPM alivyoahidi.."
•Tarehe 20/5/2021 anafanya ziara Tanesco. Anazungumza na uongozi wa Tanesco kuhusu tatizo lililojitokeza katika ununuaji wa LUKU lililopelekea wananchi washindwe kununua LUKU siku tatu mfululizo, anaamuru meneja Tehama na wenzake waendelee kukaa pembeni kupisha uchunguzi.
•Tarehe 28/5/2021 anafanya ziara ya kushtukiza wizara ya fedha, anakuta watendaji wa wizara hiyo wakijilipa posho ya zaidi ya billioni 1.6 kwa kazi zisizochukua hata nusu saa, anawasimamisha kazi watendaji wakuu saba.
Unasumbuliwa na mfumo dume na malezi mabaya!Mkuu kunywa kinywaji chochote ntalipa maana umeongea point nzuri
Yaan sir100 ni dhaifu hanibariki, ila sishangai kwani nifamilia chache sana ambazo mama ikiwa ndo muendeshaji huwa na maendeleo ya kutisha, mara nyingi wengi wao huwa ni too short sighted, utakuta anawaza nguo mpya, kiatu kipya, mtoto atavaaje.....
Kwa mwanaume, mtoto nguo moja, baba nguo hiyo hiyo kiatu kimepinda,, akipata hela anajibana na kununua mashamba, kuwekeza kwenye assets mbali mbali kwa manufaa ya kesho isiyojulikana,, same to the late magu,,,
"Ukiona wasifiwa na wengi wanakuchekea ujue kuna sehemu unalegezwa bila kujua"
Mungu ibariki Tanzania, mungu wabariki wazalendo, mungu libariki jeshi letu tukufu.