Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Habarini,
Nlikuwa mahali kwenye sehemu wanapopatikana maafisa utamu, ndani ya Moja ya majiji makubwa yanayopatikana hapa nchini, nikizuga napata kilaji aloo, kwenye gesti wanazojiuza madada poa wanatoka watu wazima na vijana ambao kwa muonekano wa nje hawafananii kabisa, ukiwaangalia utasema ni watu wenye heshima zao kwenye jamii, kumbe ni wanunuzi wa maafisa utamu. Ukiingia ndani ya hizo lodge wanakiojiuza madada poa, sometimes utakuta watu wamepanga foleni, maana vyumba vinakua vimejaa.
Sometimes chumba kimoja unakuta mnashea watu wanne, mfano wewe ukikamua dada poa kwenye Kona mwingine anakamua dada poa kitandani, huaga naishia kucheka tu
Sijajua future ya mahusiano huko mbeleni itakuaje, ina maana mtu ukija kuoa, kuna high chance utakua umeoa ex dada poa, wanaume wengi sahivi wanaanza kununua makahaba, badala ya kuji drone drake.
Nlikuwa mahali kwenye sehemu wanapopatikana maafisa utamu, ndani ya Moja ya majiji makubwa yanayopatikana hapa nchini, nikizuga napata kilaji aloo, kwenye gesti wanazojiuza madada poa wanatoka watu wazima na vijana ambao kwa muonekano wa nje hawafananii kabisa, ukiwaangalia utasema ni watu wenye heshima zao kwenye jamii, kumbe ni wanunuzi wa maafisa utamu. Ukiingia ndani ya hizo lodge wanakiojiuza madada poa, sometimes utakuta watu wamepanga foleni, maana vyumba vinakua vimejaa.
Sometimes chumba kimoja unakuta mnashea watu wanne, mfano wewe ukikamua dada poa kwenye Kona mwingine anakamua dada poa kitandani, huaga naishia kucheka tu
Sijajua future ya mahusiano huko mbeleni itakuaje, ina maana mtu ukija kuoa, kuna high chance utakua umeoa ex dada poa, wanaume wengi sahivi wanaanza kununua makahaba, badala ya kuji drone drake.