Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu ni uthibitisho wa ubovu wa Katiba ya 1977

Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu ni uthibitisho wa ubovu wa Katiba ya 1977

Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu

N.B. Kila kwenye kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Yaan Akili zenu cjui huwa mnaziacha wapi..
Mfano ingekuwa hvyo unavyotaka Hakuna mpinzan alogombea nae na watu wakapga kura za Hapana yeye na mkewe tu wangepiga za Ndyo Mbunge angekuwa nani?...
Hapa ndo mnapofeli Kutaka ktk mpya ktk maeneo ya Siasa tu wananch wanaona Mna Wivu mna visasi
 
Mfano ingekuwa hvyo unavyotaka Hakuna mpinzan alogombea nae na watu wakapga kura za Hapana yeye na mkewe tu wangepiga za Ndyo Mbunge angekuwa nani?...
Ktk duru za kidemokrasia hakunaga kupita bila kupingwa mkuu. Isome mada uilewe muktadha wake halafu urudi hapa.
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu

N.B. Kila kwenye kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Wananchi wamekataa kukuchagueni katika uchaguzi uliyopita sasa mnatafuta pa kufia kwa kisingizio cha katiba mpya

Hivi inamaana katiba yote inazungumzia uchaguzi tu wa raisi na wabunge maana sijawahi kukusikieni mkiongelea katiba katika nyanja nyingine

Ni ushahidi tosha kuwa mnadai katiba kwa tamaa zenu za madaraka na sio kwa ajili ya watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananchi wamekataa kukuchagueni katika uchaguzi uliyopita sasa mnatafuta pa kufia kwa kisingizio cha katiba mpya
Kama unaamini ulichokiandika sema "Su!" Na kama siyo kweli basi ufe kifo cha aibu. Haya sema "Su!"
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu

N.B. Kila kwenye kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Mi nimechoka eti raisi Samia,anaapishwa,anamteua makamo wake wa raisi,anateua baraza la Mawaziri,huku Majaliwa akiwa bado waziri mkuu,.....vichekesho hivi
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu

N.B. Kila kwenye kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Hapa ndo nashindwa kukuelewa mtoa mada.

Huo ni ubovu wa katiba kusema "mbunge wa kuchaguliwa" au ni ubovu watu kutokufuata katiba ?

katiba inasema waziri mkuu awe amechaguliwa na wananchi alafu watu wakamuweka waziri mkuu ambaye hajachaguliwa na wananchi

unadhani shida ni katiba au shida ni watu ambao hawajafuata katiba hiyo inavyosema ?

Kwa hiyo hapa tubadili katiba ili iseme "hata mbunge ambaye hajapigiwa kura na wananchi anawexa kuwa waziri mkuu" ?

Au tuwahimize watu wafuate katiba inayosema waziri mkuu lazima achaguliwe na wananchi ?

Ndugu Sexless
 
au ni ubovu watu kutokufuata katiba ?
Katiba isingekuwa mbovu ingejilinda na kujitetea yenyewe. Hapa namaanisha kila ambaye angejaribu kuivunja ingemng'ata kweli kweli.

Lkn kwa kuwa ni mbovu ndiyo maana inavunjwa kama ilivyotokea kwa akina Majaliwa kuwa W/mkuu wakati hakuchaguliwa na wananchi kama ambavyo katiba inataka.

N.B. Katiba nzuri huwa inaogopwa na watu
 
Katiba isingekuwa mbovu ingejilinda na kujitetea yenyewe. Hapa namaanisha kila ambaye angejaribu kuivunja ingemng'ata kweli kweli.

Lkn kwa kuwa ni mbovu ndiyo maana inavunjwa kama ilivyotokea kwa akina Majaliwa kuwa W/mkuu wakati hakuchaguliwa na wananchi kama ambavyo katiba inataka.
Sasa ubovu wa katiba katika kipengele hiko ni upi ?

Katiba imeelekeza watu ilikuwa wafuate,lakini watu hawajafuata.

Naomba unifahamishe katika kipengele hiko katiba ijitetee vipi baada ya kuwa katiba hiyo imeshakwisha fanya kazi yake ya kusema w.mkuu achaguliwe na wananchi ?
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu

N.B. Kila kwenye kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Maza nae Kwa katiba hiyo hiyo amepita bila kupingwa
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu

N.B. Kila kwenye kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Wewe ni mbogamboga au ni sampo yao?
 
Sasa ubovu wa katiba katika kipengele hiko ni upi ?

Katiba imeelekeza watu ilikuwa wafuate,lakini watu hawajafuata.

Naomba unifahamishe katika kipengele hiko katiba ijitetee vipi baada ya kuwa katiba hiyo imeshakwisha fanya kazi yake ya kusema w.mkuu achaguliwe na wananchi ?
Katiba haifanyi kazi kwa kipengele ni kama ilivyo kwenye mifumo ya uendeshaji wa gari ama mfumo wa chakula wa mwanadamu.

Ikitokea wakashona sehwmu ya haha kubwa utazuia mfumo mzima wa uchakataji chakula. You will abort the whole system of digestion just by blocking the colon (esp the anus).

Kwahiyo katiba yetu imempa mamlaka makubwa sana rais na kumfanya Mungu mtu anayeiyumbisha hata mihimili mingine iliyopaswa kuitetea katiba. Sasa endapo rais huyu atapendezwa na uvunjifu fulani wa katiba nani atazuia uvunjifu huo?

Majaliwa ameteuliwa na rais, mtu ambaye yuko juu ya katiba unategemea nn?
 
Mkuu mustakabli wa taifa ni muhimu kuliko masomo. Nisipo pambania katiba nitahitimu masomo halafu mishemishe yangu itakwama.
  • Nitalima atatokea mpuuzi akataze kutoa mahindi nje ya wilaya, mkoa au nchi.
  • Nitafungua duka atatokea mpuuzi atume task force kukusanya Kodi
  • Nitafanya umachinga atatokea mpuuzi avunje Kibanda changu.
  • Nitapewa kibali na mamlaka kujenga nyumba yangu karibu na barabara atatokea mpuuzi avunje nyumba yangu.
Hivi katiba mnafikiri ni mzimu, malaika au shetani! Au katiba ni Mungu?
Hakuna katiba nzuri Africa kama ya South Africa! Je! Imemzuia Mr. Zuma kujenga Nkadla, au Bwana Magashule wizi? Je! Imewazuia Guptas kuikamata serikali ya RSA? Na kama habari hizo huzijui, acha kuzungumzia katiba maana huna reference nzuri ya katiba. Katiba siyo kila kitu. Hawa wanaodai katiba mpya, hawana hoja yoyote ya kuwazodoa nayo serikali maana matakwa yote ya wananchi serikali wanayashughulikia vema.
 
Back
Top Bottom