Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Katiba yetu ni mbovu ila Magufuli ndiye alikuwa mbovu zaidi.
Ang'atwe na minge dume huko jehanamu aliko
Ang'atwe na minge dume huko jehanamu aliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kipengele kile ambacho ulikitoa hakina shidaa kabisa kipo sawa,lakini shida ni kwamba hakuna vipengele vingine vya kuipa nguvu kipengele hiki.Katiba haifanyi kazi kwa kipengele ni kama ilivyo kwenye mifumo ya uendeshaji wa gari ama mfumo wa chakula wa mwanadamu.
Mfano wale wabunge 19 wa chadema tunaambiwa ilitakiwa wavuliwe ubunge kwa mujibu wa katiba lakini mpaka leo wapoIkitokea wakashona sehwmu ya haha kubwa utazuia mfumo mzima wa uchakataji chakula. You will abort the whole system of digestion just by blocking the colon (esp the anus).
Kitimoto kama havuti bangi basiHuyu bwana Kitimoto kazi yake nikutoa dislike kwenye kila comment 😂😂
bilashaka huyu atakuwa Ni devil
Kama aktiba imeeleza wazi nini cha kufanya...Huyu maza yeye katiba imeeleza wazi kabisa nn Cha kufanya endapo rais aliyeko madarakani atafariki. So, kwa maza binafsi naona hakuna shida, katiba yetu mbovu ilizingatiwa.
Una habari Zuma kahukumiwa miezi 15 jela? Hapa Tanzania unaweza hata kumshitaki rais? Kwann hili haiwezekani Tanzania lkn limewezekana RSA?Hakuna katiba nzuri Africa kama ya South Africa! Je! Imemzuia Mr. Zuma kujenga Nkadla, au Bwana Magashule wizi? Je! Imewazuia Guptas kuikamata serikali ya RSA?
Sijalipata vizuri swali lakoKama aktiba imeeleza wazi nini cha kufanya...
Kuna haja gani ya hiko kilichoelezewa wazi kipate mtetezi wakati hiko bado kinajitosheleza kwa kuweka wazi huko ?
Ungemsaidia kumuonyesha kifungu cha sheria ili improve wrongUtuambie wewe kwanza una elimu gani Bila kusahau umri wako.
Kazana zaidi kwenye physics lakini pia basic maths, haya mengine utayakuta ukikua.
Mwisho mwema wa misuguano hii ni Katiba mpya kupatikana. Vinginevyo itakuwa tafranj nguo kuchanika.kitakachofuata ni msugano na cheche zikitoka
Mwenye elimu ya moja kwa moja jenga hoja ili kupinga hoja. Karibu tukusome.elimu za wana BAVICHA mitandaoni yakuunga unga kama ya mwenyekiti wao.
Hayo mamlaka makubwa ulitaka apewe nani kisha raisi awe na mamlaka madogo madogo ?Kwahiyo katiba yetu imempa mamlaka makubwa sana rais
Mfano TAKUKURU ikapewa mamlaka ambayo raisi alikuwa nayo,yaani takukuru sasa yale mamlaka makubwa ambayo alikuwa nayo raisi kapewa mkuu wa takukuru.na kumfanya Mungu mtu anayeiyumbisha hata mihimili mingine iliyopaswa kuitetea katiba
Kama hiyo mihimili mingine ikipewa nguvu kubwa zaidi ya raisi na hiyo mihimili ikavunja katiba nani atasimama kuitetea ?anayeiyumbisha hata mihimili mingine iliyopaswa kuitetea katiba.
Na endapo mihimili ya kutetea katiba ikapendezwa na uvunjifu wa katiba nani atasimama kuitetea katiba hiyo ?Sasa endapo rais huyu atapendezwa na uvunjifu fulani wa katiba nani atazuia uvunjifu huo?
Mfano wa mambo aliyofanya mama samia ambayo yapo kwa mujibu wa katiba unadhani kayafanya mambo hayo kwa kuwa yupo chini ya KATIBA katika hayo mambo ?Majaliwa ameteuliwa na rais, mtu ambaye yuko juu ya katiba unategemea nn?
ahahaha, in fact atakuwa anavuta bangi,Tena ile dryKitimoto kama havuti bangi basi
Nafafanua mkuu.Sijalipata vizuri swali lako
wewe umechanganyikiwa mkuu, hatuendi hivyo jenga hoja za msingi usitafutize mambo ambayo hayapo. Katiba mpya inakuja tuliaKwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).
(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)
N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.
Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)
Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!
Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.
Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Tatizo letu sisi Watanzania ni wajinga sana,ni kweli Katiba madhaifu sana tena ya kutosha lakini bado kuna mambo mengi yaliyomo katika Katiba hii mbovu Serikali imeyakandamiza lakini hakuna aliyewajibika.Hapa ndo nashindwa kukuelewa mtoa mada.
Huo ni ubovu wa katiba kusema "mbunge wa kuchaguliwa" au ni ubovu watu kutokufuata katiba ?
katiba inasema waziri mkuu awe amechaguliwa na wananchi alafu watu wakamuweka waziri mkuu ambaye hajachaguliwa na wananchi
unadhani shida ni katiba au shida ni watu ambao hawajafuata katiba hiyo inavyosema ?
Kwa hiyo hapa tubadili katiba ili iseme "hata mbunge ambaye hajapigiwa kura na wananchi anawexa kuwa waziri mkuu" ?
Au tuwahimize watu wafuate katiba inayosema waziri mkuu lazima achaguliwe na wananchi ?
Ndugu Sexless
Ndo nafanya mahojiano na mtoa mada hapa mkuu.Tatizo letu sisi Watanzania ni wajinga sana,ni kweli Katiba madhaifu sana tena ya kutosha lakini bado kuna mambo mengi yaliyomo katika Katiba hii mbovu Serikali imeyakandamiza lakini hakuna aliyewajibika.
Kuna mambo yamo katika Katiba hii ya kama hilo la Waziri Mkuu kichaguliwa lakini Wananchi tupo tu.
Kabla ya kukosoa ubovu wa Katiba lazima tukubali bado sisi ni tatizo,hata hayo mazuri yanaweza yakawekwa kwenye katiba yakasiginwa na bado tusifanye chochote.
Yapo. Soma hicho kifunguusitafutize mambo ambayo hayapo
Ungeacha kwanza wajadili watu wenye akili timamu.Utuambie wewe kwanza una elimu gani Bila kusahau umri wako.
Kazana zaidi kwenye physics lakini pia basic maths, haya mengine utayakuta ukikua.