Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu ni uthibitisho wa ubovu wa Katiba ya 1977

Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu ni uthibitisho wa ubovu wa Katiba ya 1977

N.B. Katiba nzuri huwa inaogopwa na watu
Nimekuuliza maswali hujajibu.

Ila naomba niulize na hili pia...

Unaposema hivi 👇👇👇
N.B. Katiba nzuri huwa inaogopwa na
Bila shaka tunatafsiri kuogopwa endapo katiba hiyo itafuatwa na watu.

Lakini kiuadilifu tunaona kabisa kuna mambo katiba inafuatwa bila utata na watu wote wanaona kwamba hapa katiba imefuatwa...

Haya baadhi ya mambo yanayofanywa kwa mujibu wa katiba hatuna haki ya kusema kwamba katiba inaogopwa kwa mambo haya ?
 
Hayo mengine unaweza kuyaongelea wewe maana mapungufu ni mengi kuliko faida zinazotekelezeka chini ya hii katiba iliyozeeka.Ndo maana kila mtu anaongelea anachokiona kinahitaji mabadiliko.alafu ni ujinga kuwaza kua yoyote anayetaka katiba mpya anatokea vyama vya upinzani na anayepinga ni Ccm.toka uko kwenye hilo giza alafu fikiria miaka 50 mbele.

mapungufu unaishi na kunya na kezeekeana tu
ungekuwa porini unakimbizana na mabomu saa hizi
 
Huyu PM aliteuliwa na magufuli, lakini hadi leo yupo madarakani pamoja na kwamba hatujashuhudia uteuzi wake na rais aliyepo madarakani......ni mwendo wa kupuyanga tu.
 
Mleta mada umesahau sentensi Moja "anayetokana na Jimbo la uchaguzi."
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)

N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Hili jambo niliwahi kulisema.

Katiba imeainisha wabunge.

Hakuna aina ya wabunge waliopita bila kupingwa.

Lakini, ukishangaa hilo, utaona kichekesho zaidi pale watu waliokataliwa na chama chao kuwa wabunge katika bunge lunalolazimisha uwakilishi wa chama.
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)

N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Sijaiona hoja iliyokuwa na Mashiko hapo..
Kwa mujibu wa tume ya Uchaguzi wagombea wenza walishindwa kutumiza vigezo kutokana na Taratibu za tume ya Uchaguzi wamejiondoa wenyewe kwenye mbio za kugombania..
Labda mtoa uzi una hoja binfsi ya kudai katiba Ila tafuta njia Nzuri ya kuwakilisha na sio njii hi ya kukurupuka na kumchafua Viongozi wa Serikali..
Alafu ukitaka kutafuta nyoka anzia Miguuni kwako Naomba tumkumbushe Mbowe haache kubaka katiba ya Chadema..
#MajaliwaKiongoziMakini
 
Sijaiona hoja iliyokuwa na Mashiko hapo..
Kwa mujibu wa tume ya Uchaguzi wagombea wenza walishindwa kutumiza vigezo kutokana na Taratibu za tume ya Uchaguzi wamejiondoa wenyewe kwenye mbio za kugombania..
Labda mtoa uzi una hoja binfsi ya kudai katiba Ila tafuta njia Nzuri ya kuwakilisha na sio njii hi ya kukurupuka na kumchafua Viongozi wa Serikali..
Alafu ukitaka kutafuta nyoka anzia Miguuni kwako Naomba tumkumbushe Mbowe haache kubaka katiba ya Chadema..
#MajaliwaKiongoziMakini
 
Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).

(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)

N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.

Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)

Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!

Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.

Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Kama ni hivyo na ni kweli hayo usemayo na ni sahihi as per our Constitution of 1977, basi nakushauri, kwa vile umekereka sana na suala hili, NENDA MAHAKAMANI. Huko wewe na sisi na Rais SSH na wateuliwa wake wote, TUTAJUA MBIVU NA MBICHI. Badala ya kujipa unnecessary pressure humu JF.
 
Tatizo la Michadema Ni kukurupuka
Mbowe kavunja katiba ya chama wapo kimyaa Kama misukule...

Kwa hiyo mtoa hoja inamaana tume Ni wajinga walivyotunga Taratibu??
Kwa hiyo unataka kusema vyama vya siasa havikushirikishwa kwenye kutunga hizo Kanunu??
Inamaana Chadema wajinga wakae kimya kwenye hili??

Chukii Binafsii ndio naiona hapa
Au tatizo Ni cheo ndio kinawatoa Nyongo
 
Kupita bila kupingwa ni heshima kubwa, hakuna haja ya kuharibu makaratasi, hivyo alichaguliwa bila kupingwa na anastahili heshima ya waziri mkuu. Kupita bila kupingwa ni kuchaguliwa kwa heshima ya pekee.
 
Kwa kipengele kile ambacho ulikitoa hakina shidaa kabisa kipo sawa,lakini shida ni kwamba hakuna vipengele vingine vya kuipa nguvu kipengele hiki.

Naomba nitajie mfano wa vipengele ambavyo ilitakiwa viwepo ili kukipa nguvu kipengele kile ulichokitla kwenye uzi.

Mfano wale wabunge 19 wa chadema tunaambiwa ilitakiwa wavuliwe ubunge kwa mujibu wa katiba lakini mpaka leo wapo

jee katiba ilitakiwa ipate kifungu gani cha kutetea kifungu kinachosema wabunge wasio na vyama watolewe ubunge ?

Unadhani wale wabunge 19 wapo bungeni mpaka sasa kwa sababu hakuna kipengele tetezi kwenye katiba ?

Hiko kipengele tetezi kingekuwaje kwa mfano ?

Au ni kwa sababu haktiba haijafuatwa ipasavyo ndio maana wako pale M
Maswali ya kindergarten haya, lkn acha niyajibu kwa ufupi tu.

Nimesema mara nyingi sana humu kwamba katiba yetu inampa umungu mtu rais. Hivyo anaweza kufanya lolote, muda wowote na kwa namna yoyote (hata inayovunja katiba) na asiadhibiwe kwasabb ana kinga.

Wabunge 19 wako pale kwasabb ya matakwa ya rais ambaye anaitweza na kuiamuru mihimili mingine kiasi cha kulazimisha wale wabunge waendelee kuwa pale. Hata kqma kwa kufanya vile katiba imevunjwa utqmshitaki nani, mahakama ipi ?
 
Kwa hiyo mtoa hoja inamaana tume Ni wajinga walivyotunga Taratibu??
Hatuongelei taratibu hapa wewe lumumba mwenye akili ndogo kama uduvi. Tunaongelea katiba ambayo ilifanyiwa marekebisho ya mwisho mwaka 1977 kabla ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi na chadema ikiwemo 1992.
 
Ulienda kulinga uteuzi wa Majaliwa Mahakama Kuu?
Unapiga kelele tu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia jinga jingine hili hapa. Aliyemteua ni nani? Huyu aliyemteua anashitkiwa kwa mujibu wa katiba hii? Jinga kabisa
 
Back
Top Bottom