safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
😀😀Mzee, maswali yako yapo vizuri sana na yanahitaji akili kubwa kuyajibu...mtoa mada ana upeo mdogo lazima akukimbie
Nimejaribu kumtag wee wapi sioni majibu yake mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Mzee, maswali yako yapo vizuri sana na yanahitaji akili kubwa kuyajibu...mtoa mada ana upeo mdogo lazima akukimbie
Nimekuuliza maswali hujajibu.N.B. Katiba nzuri huwa inaogopwa na watu
Bila shaka tunatafsiri kuogopwa endapo katiba hiyo itafuatwa na watu.N.B. Katiba nzuri huwa inaogopwa na
Hayo mengine unaweza kuyaongelea wewe maana mapungufu ni mengi kuliko faida zinazotekelezeka chini ya hii katiba iliyozeeka.Ndo maana kila mtu anaongelea anachokiona kinahitaji mabadiliko.alafu ni ujinga kuwaza kua yoyote anayetaka katiba mpya anatokea vyama vya upinzani na anayepinga ni Ccm.toka uko kwenye hilo giza alafu fikiria miaka 50 mbele.
Someni katiba vizuri,mbunge anayepita bila kupingwa kachaguliwa kwa mujibu wa katibaKwa TANZANIA kila kitu kinawezekana Kuna SIKU WAZIRI MKUU atateuliwa Miongoni Mwa MADIWANI.
Babu leo uje ule, nitakutengenezea kitamu kama cha ile siku!Hujamjua vizuri huyo mbuzi katoliki? Yeye kila post anadislike hata kama amei-like. Ndio kawaida ya nyama tamu ilishushiwa na bia
Hhahaha...huyu jamaa bhana, yeye hanaga button ya ku-like....Hujamjua vizuri huyo mbuzi katoliki? Yeye kila post anadislike hata kama amei-like. Ndio kawaida ya nyama tamu ilishushiwa na bia
Hili jambo niliwahi kulisema.Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).
(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)
N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.
Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)
Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!
Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.
Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Baadhi ya haya mambo yana ushahidi?Taarifa zinaonyesha kwamba ndiye PM wa kwanza duniani kuhakikisha wagombea wa vyama vingine wanatekwa ili apite bila kupingwa
Dhahiri shahiliBaadhi ya haya mambo yana ushahidi?
Sijaiona hoja iliyokuwa na Mashiko hapo..Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).
(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)
N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.
Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)
Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!
Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.
Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Kama ni hivyo na ni kweli hayo usemayo na ni sahihi as per our Constitution of 1977, basi nakushauri, kwa vile umekereka sana na suala hili, NENDA MAHAKAMANI. Huko wewe na sisi na Rais SSH na wateuliwa wake wote, TUTAJUA MBIVU NA MBICHI. Badala ya kujipa unnecessary pressure humu JF.Kwa mujibu wa Katiba yetu hii mbovu ktk ibara ya 52 (2).
(..)Rais atamteua mbunge wa kuchaguliwa kutoka katika Jimbo la Uchaguzi, kuwa waziri Mkuu (..)
N.B. Kila kwenye (..) kuna maneno nimeyaruka.
Sasa huyu mhe Majaliwa alichaguliwa na wananchi ktk Jimbo lake? Jibu ni HAPANA hakuchaguliwa na wananchi. Bali alipita bila kupingwa (maneno batili kabisa ktk demokrasia)
Hata kama alikuwa mgombea pekee ilipaswa wananchi wapige kura kumkubali ama la! Lkn haikufanyika hivo. Kwahiyo wananchi hawakushiriki kabisa katika kumchagua mtu huyu ambaye ndiyo waziri mkuu wa JMT. Pathetic!
Sasa kwann mhe Majaliwa amekuwa Waziri Mkuu ikiwa hakutimiza vigezo vya kikatiba? Jibu ni rahisi tu. Katiba yetu ina mianya mingi ya kupenyeza maovu yanayotokana na uvunjifu wa katiba.
Ndiyo maana tunaitaka katiba mpya itakayo ondoa ujinga huu katika demokrasia.
Maswali ya kindergarten haya, lkn acha niyajibu kwa ufupi tu.Kwa kipengele kile ambacho ulikitoa hakina shidaa kabisa kipo sawa,lakini shida ni kwamba hakuna vipengele vingine vya kuipa nguvu kipengele hiki.
Naomba nitajie mfano wa vipengele ambavyo ilitakiwa viwepo ili kukipa nguvu kipengele kile ulichokitla kwenye uzi.
Mfano wale wabunge 19 wa chadema tunaambiwa ilitakiwa wavuliwe ubunge kwa mujibu wa katiba lakini mpaka leo wapo
jee katiba ilitakiwa ipate kifungu gani cha kutetea kifungu kinachosema wabunge wasio na vyama watolewe ubunge ?
Unadhani wale wabunge 19 wapo bungeni mpaka sasa kwa sababu hakuna kipengele tetezi kwenye katiba ?
Hiko kipengele tetezi kingekuwaje kwa mfano ?
Au ni kwa sababu haktiba haijafuatwa ipasavyo ndio maana wako pale M
Hatuongelei taratibu hapa wewe lumumba mwenye akili ndogo kama uduvi. Tunaongelea katiba ambayo ilifanyiwa marekebisho ya mwisho mwaka 1977 kabla ya kuanza kwa mfumo wa vyama vingi na chadema ikiwemo 1992.Kwa hiyo mtoa hoja inamaana tume Ni wajinga walivyotunga Taratibu??
Angalia jinga jingine hili hapa. Aliyemteua ni nani? Huyu aliyemteua anashitkiwa kwa mujibu wa katiba hii? Jinga kabisaUlienda kulinga uteuzi wa Majaliwa Mahakama Kuu?
Unapiga kelele tu hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]