Kassim Majaliwa: Tuache tabia ya kuwatengenezea viongozi migogoro, unaweza kupambana sana ukitaka ukae ukakuta anakaa mwingine

Kassim Majaliwa: Tuache tabia ya kuwatengenezea viongozi migogoro, unaweza kupambana sana ukitaka ukae ukakuta anakaa mwingine

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,128
Reaction score
1,896
Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,


===========

Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.

Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?

Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.

Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu.

Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.

Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine.

Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.


>>Msikilize kwa makini<<<


 
===
Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,

>>>Msikilize kwa makini <<<<

View attachment 2064822

IMG-20211231-WA0011.jpg


IMG-20211231-WA0010.jpg
 
Majaliwa hapaswi kumhusisha Mungu katika masuala ya kijinga.

1.Hii katiba mbaya Mungu kahusika Vipi ?
2. Wizi wa kura 2020 Mungu kahusika Vipi ?
3. Wale wabunge 19 wasiokuwa na chama Mungu kahusika Vipi ?.
4. Kumtandika Lissu risasi Mungu alipanga?
5. Kumfungulia Mbowe Mashtaka ya kuchonga Mungu kapanga?
6. Tume mbovu ya uchaguzi Mungu kaichagua na kupanga.

Mungu hahusiki kabisa na mipango mibaya / ovu.
 
Ujumbe umefika kwa dungayembe,,kwanza mtu kama dungayembe nani anaweza mchagua?

Hata PM kwa utaratibu wa ccm,kamwe.hawezi kuwa PM akaja kuwa Rais haipo hiyo, baada ya Samia atakuja mwingine kabisaa ambaye ni ngumu kumbashiri.
 
Back
Top Bottom