NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Kumekucha Tanzania!!chama cha umoja party ndio suluhisho pekee hapo 2025!!Majaliwa atashinda alijiunga na umoja party!!namsubiri Sana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha Tanzania!!chama cha umoja party ndio suluhisho pekee hapo 2025!!Majaliwa atashinda alijiunga na umoja party!!namsubiri Sana!!!
Inawezekana akawa Rais uwezo anao tena mkubwa
Mnapenda uchonganishiKatika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
>>Msikilize kwa makini<<<
View attachment 2064822
Mlawa anajifagilia njia kuwa rais 2025.Ujumbe umefika kwa dungayembe,,kwanza mtu kama dungayembe nani anaweza mchagua?
Hata PM kwa utaratibu wa ccm,kamwe.hawezi kuwa PM akaja kuwa Rais haipo hiyo, baada ya Samia atakuja mwingine kabisaa ambaye ni ngumu kumbashiri.
Hii ndio ile baraghashia aliyoivaa siku ile wakati anatuambia rais yuko imara ?View attachment 2064852
Yes boss huyu hakubadili kofia, lkn hawa wa kwa Lowasa walibadili kila kitu kuanzia kauli zao, vitendo vyao na nguo zao pia. Si unaona maneno ya Mbowe hapo juu, na anachokifanya kwa hiyo picha ya chini ni tofauti.Hii ndio ile baraghashia aliyoivaa siku ile wakati anatuambia rais yuko imara ?View attachment 2064852
Acha upimbi, majaliwa na Ndugai wote ni kitu kimoja.Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
>>Msikilize kwa makiniB]
View attachment 2064822
Acha kushauri upumbavu hapa. Mbowe anaweza nini katika uongozi wa nchi?still mama's camp is really weak
majaliwa mwenyewe i doubt kama yupo mama's camp
mama afanye handshake na Mbowe ndio salama yake,trust me
Amerudi kazini!?
Acha we! Hata wale madikteta walipewa na Mungu siyo? Mungu hajawahi kuhusika na uchafu wa ccm na siku akijihusisha ccm itasahaulika!Ila tukubali au tukatae haya Maneno ya majaliwa ni kweli kabisaa!!!! Sikuzote MUNGU anampa amtakaye hata ufanye vipi juhudi haishindani na KUDRA
Anaweza kubadilisha quality ya maisha mnayoishi wewe na ukoo wenu wote ndani ya muda mfupi sana.Acha kushauri upumbavu hapa. Mbowe anaweza nini katika uongozi wa nchi?