Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... yap! Salama ya 100 inakuokoa pakubwa ukiidharau ni mauti!ety "salama ya Tsh 100....😂
😂😂
Ndugai ana makando kando mingi ata Waziri mkuu asiseme chochote Watanzania hawatamfikiria kuwa rais waoKatika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
>>Msikilize kwa makini<<<
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu. Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine. Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
View attachment 2064822
Mkuu, huyu mleta mada sijuhi anawaza kwa kutumika kiungo gani cha mwili?Wapi kataja job ndugai we kilaza , anawaasa wauaji
Naona umepiga kwenye mshonoYes boss huyu hakubadili kofia, lkn hawa wa kwa Lowasa walibadili kila kitu kuanzia kauli zao, vitendo vyao na nguo zao pia. Si unaona maneno ya Mbowe hapo juu, na anachokifanya kwa hiyo picha ya chini ni tofauti.
View attachment 2064892
View attachment 2064893
Hana uwezo huo unaousema japo mwaka 2015 alimuuzia Lowassa nafasi ya kugombea uRais wa tiketi ya CDM kwa Tsh 10 Billion na wakagawana na Mzee Mtey na Maalim SeifAnaweza kubadilisha quality ya maisha mnayoishi wewe na ukoo wenu wote ndani ya muda mfupi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
You imbicile twat this country will never be ruled by dogs from CHADEMALook at this motherfvcker
Wewe ndio unajua uongozi wa nchi kwa chochote?
Samia alikua choka mbaya huko Zanzibar..Majaliwa alikua mwalimu wa primary choka mbaya....hao wote unaona wanajua nchi zaidi ya Mbowe?
Useless motherfvcker!
Majaliwa hapaswi kumhusisha Mungu katika masuala ya kijinga.
1.Hii katiba mbaya Mungu kahusika Vipi ?
2. Wizi wa kura 2020 Mungu kahusika Vipi ?
3. Wale wabunge 19 wasiokuwa na chama Mungu kahusika Vipi ?.
4. Kumtandika Lissu risasi Mungu alipanga?
5. Kumfungulia Mbowe Mashtaka ya kuchonga Mungu kapanga?
6. Tume mbovu ya uchaguzi Mungu kaichagua na kupanga.
Mungu hahusiki kabisa na mipango mibaya / ovu.
2015 wakina Mbowe walifanya mambo ya kijinga sana, japo wale chadema nyumbu huwa wanamtetea kwa ule upuuzi aliofanya.Hana uwezo huo unaousema japo mwaka 2015 alimuuzia Lowassa nafasi ya kugombea uRais wa tiketi ya CDM kwa Tsh 10 Billion na wakagawana na Mzee Mtey na Maalim Seif
Wahuni tu Hawa huyu alifanya uhuni kwenye uchaguzi wa 2020Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
>>Msikilize kwa makini<<<
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu. Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine. Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
View attachment 2064822
Huu ni ujumbe kwa wale wanaomchonganisha mama na PM na viongozi wengine kama JYN, speaker.Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
>>Msikilize kwa makini<<<
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu. Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine. Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
View attachment 2064822
Hata JK Nyerere anajuwa CHADEMA ni dogs na ndiye aliyesema "I will not let my country be ruled by dogs"CHADEMA are dogs and CCM are not dogs?
Is that your point au una kingine?
You must be very sick man!
Mhe Majaliwa hanaga tamaa ya madaraka huyo Ma rope ndio anayejiita kigogo na kagenge kake, watashindwa na kulegeaWe know this drill too well! Tunapozungumzia Kigogo, tunazungumzia Msoga Gang; tunapozungumzia Kigogo, tunazungumzia Jan McAmber.
God damn ‘em all for being political thugs!
CHADEMA ni Mali ya Mtei na mrithi wake ni Mbowe ambaye ni mkwe wa Mtei2015 wakina Mbowe walifanya mambo ya kijinga sana, japo wale chadema nyumbu huwa wanamtetea kwa ule upuuzi aliofanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
IrrelevantCHADEMA ni Mali ya Mtei na mrithi wake ni Mbowe ambaye ni mkwe wa Mtei
Look at this motherfvcker
Wewe ndio unajua uongozi wa nchi kwa chochote?
Samia alikua choka mbaya huko Zanzibar..Majaliwa alikua mwalimu wa primary choka mbaya....hao wote unaona wanajua nchi zaidi ya Mbowe?
Useless motherfvcker!