Kassim Majaliwa: Tuache tabia ya kuwatengenezea viongozi migogoro, unaweza kupambana sana ukitaka ukae ukakuta anakaa mwingine

siasa chafuchafu, siasa za propaganda, siasa za kijingajinga, siasa takataka... NCHI HAIWEZI KUENDELEA KWA KUENDELEA KUACHA PUMBAVU ZILIPIGA PIGA KELELE NA SIASA ZA HOVYOHOVYO.....
Daaah
 
Busara za PM
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
Hana uwezo wa kuongoza bado.Ebu muangalie Dr Mwinyi uongozi wake zanzibar utaona hapa hamna kitu.Nafikiri anaweza kuondolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…