Ni Kama utabiri utatimia,Labda wasiojulikana watamfunda.Navyomjua yule Bw hatokubali kushindwa, atasubiri wakati wa vikao wa bunge aandae wajumbe wapenzi wa hayati waibagaze sirikali hadi ikome kumjibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kama utabiri utatimia,Labda wasiojulikana watamfunda.Navyomjua yule Bw hatokubali kushindwa, atasubiri wakati wa vikao wa bunge aandae wajumbe wapenzi wa hayati waibagaze sirikali hadi ikome kumjibu.
Yuko wapi kwanza huyu siku hiziKatika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu.
Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine.
Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
>>Msikilize kwa makini<<<
View attachment 2064822
Kwenye mambo yao ya kijinga😀Waache kumtaja taja Mungu kwenye mambo yasiyomuhusu....
Na wewe mtukane uone moto,utaishia kujisemesha hivi hiviswallow blah blah?
wanamtukana vingunge wa ccm na hana cha kuwafanya amekaa tu?
hana lolote
haugwi mkono na group lolote ndani..na yapo mawili
yote mawili hayamtaki
anatukanwa left and right hawezi jibu lolote maana ccm sio yake
2025 makundi ndio yataamua nani na wala sio yeye
hana lolote bwana
pona yake aweke katiba huru kama ya kenya,then afanye handshake na CDM then ccm wafe na lichama lao...
Wewe mwenye akili unalialia kama tumbili mitandaoni njaa kali 😆😆nimtukane anisaidie nini?
hana akili ni adhabu yake tosha,sina haja ya kumtukana
anatukanwa na maccm menzie inamtosha,sina haja hiyo ndugu
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]Waache kumtaja taja Mungu kwenye mambo yasiyomuhusu....
Tutamnyoosha alafu alete sababu zake za kitoto kwamba ni UGOGO wake asituaibishe wagogo..Navyomjua yule Bw hatokubali kushindwa, atasubiri wakati wa vikao wa bunge aandae wajumbe wapenzi wa hayati waibagaze sirikali hadi ikome kumjibu.
Hili povu ni stress za njaa kali,Ndio unavyojidanganya? Utajifariji Sana mkuu, maana kwa ulalamishi huu sipati picha.hahahhaa
checki hili taahira
wewe unadhani kila alieoko serikali anapata hela yeyote ya maana na ni lazima awe ccm kama wewe?
pumbavu wengi walioko serikali kama wewe hawana vipato vya maana
yaani mtu unafanya kazi serikalini unajisifia kwa lolote kweli?
mojawapo ya watu wa maisha ya chini tanzania hii ni wafanyakazi wa serikali
wafanyakazi wa serikali ndio wanaongoza kwa kudaiwa na mabenki
wanaongoza kwa kupanga
wanaongoza kwa kujenga makazi yasiyo rasmi
wanaongoza kwa kusomesha matoto yao kwenye shule duni za serikali,na matibabu duni kwenye mahospitali hovyo ya serikali
wanaongoza kwa kua na benki accounts zisizo na hela kabisa
pumbavu nyie..masikini wakubwa
Bora umemjibu! heri ya mwaka mpya mkuuhahahhaa
checki hili taahira
wewe unadhani kila alieoko serikali anapata hela yeyote ya maana na ni lazima awe ccm kama wewe?
pumbavu wengi walioko serikali kama wewe hawana vipato vya maana
yaani mtu unafanya kazi serikalini unajisifia kwa lolote kweli?
mojawapo ya watu wa maisha ya chini tanzania hii ni wafanyakazi wa serikali
wafanyakazi wa serikali ndio wanaongoza kwa kudaiwa na mabenki
wanaongoza kwa kupanga
wanaongoza kwa kujenga makazi yasiyo rasmi
wanaongoza kwa kusomesha matoto yao kwenye shule duni za serikali,na matibabu duni kwenye mahospitali hovyo ya serikali
wanaongoza kwa kua na benki accounts zisizo na hela kabisa
pumbavu nyie..masikini wakubwa
Hapo alikuwa anamzungumzia "Mropokaji" LissuKatika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu.
Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine.
Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
>>Msikilize kwa makini<<<
View attachment 2064822
Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu.
Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine.
Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
>>Msikilize kwa makini<<<
Hawa Jamaa wanatuona Watanzania ni wabwege..... Yaani wanataka Watanzania waamini kuwa wao wamewekwa hapo na Mungu.
Wanataka kuwaaminisha watu kuwa wao ni Wateule wa Mungu.... Cheap propaganda Larne ya 21.Majaliwa hapaswi kumhusisha Mungu katika masuala ya kijinga.
1.Hii katiba mbaya Mungu kahusika Vipi ?
2. Wizi wa kura 2020 Mungu kahusika Vipi ?
3. Wale wabunge 19 wasiokuwa na chama Mungu kahusika Vipi ?.
4. Kumtandika Lissu risasi Mungu alipanga?
5. Kumfungulia Mbowe Mashtaka ya kuchonga Mungu kapanga?
6. Tume mbovu ya uchaguzi Mungu kaichagua na kupanga.
Mungu hahusiki kabisa na mipango mibaya / ovu.
Umeona eeenh!Wapi kataja job ndugai we kilaza , anawaasa wauaji
Patamu, tuombe uzima ...Navyomjua yule Bw hatokubali kushindwa, atasubiri wakati wa vikao wa bunge aandae wajumbe wapenzi wa hayati waibagaze sirikali hadi ikome kumjibu.
Hawa jamaa hawajui shetani nae huiga kuwapa watu wake viti kwa kutumia uzembe wa watu wa MUNGU,
Hapa alikuwa anatafakari kama mipango itaweza kwenda sawa 2021, ikifeli itakuwaje? Maana ningekuwa ni sawa na kumkosa simba kwa mkuki,
Umesahau aliibuliwa na JPM , wakati huo hatukuamini jina lilikuwa geni kabisa,still mama's camp is really weak
majaliwa mwenyewe i doubt kama yupo mama's camp
mama afanye handshake na Mbowe ndio salama yake,trust me
Mgogo katupiwa kitu kizito [emoji16][emoji1787]Katika hali isiyodhaniwa na wengi Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe Majaliwa Khassim Majaliwa amfunda Mhe Job Yustino Ndungai kuhusu nafasi ya Urais,
===========
Kassim Majaliwa: Madaraka yote yanatolewa na mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu amepanga kila kitu nani atakuwa nani katika kipindi gani.
Hata ukilazimisha kutaka nafasi hiyo, huwezi kama mwenyezi Mungu hajasema nenda na wala usitumie njia yoyote ya kumuathiri mwenzako ili apate madhara eti atoke hapo wewe uende, nani amekwambia wewe utakwenda hapo?
Tuache tabia ya kuacha viongozi ya kuwaacha viongozi wafanye kazi yao ya kuwahudumia watanzania na kuwatengenezea migogoro kila siku tena mingine ni ya kusingizia tu.
Kama mwenyezi Mungu hajasema hutakuwa, utatumia mihela mingi itapotea tu, utakwenda na mambo mengine ya giza huko hutamudu, mwenyezi Mungu amesema huyu ni huyu.
Tuheshimu walioko kwenye nafasi za kuwatumikia watanzania wafanye kazi yao kwa weledi.
Uongozi wa sekta yoyote ile unaongozwa na mwenyezi Mungu, unaweza kupambana sana unataka ukae, ukakuta haukai anakaa mwingine.
Kwahiyo utaanza kuwaathiri wote hao wanaokaa hapo kwasababu wewe unataka kumbe mwenyezi Mungu hataki, lazima tujue kwamba, madaraka yoyote yanatolewa na Mwenyezi Mungu.
>>Msikilize kwa makiniB]
View attachment 2064822