OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kasulu walichonifanya sitasahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwaje mkuu? tupo hapa kujifunza.Kasulu walichonifanya sitasahau
Soma hapa chini kwenye attachment upate kujifunza ndugu yangu.Acha kuleta humu stori za vijiweni? Ulaya gani wanafunga wenye tunguli!!?
Soma hizi attachments hapa chini upate kujifunza.Acha kuleta humu stori za vijiweni? Ulaya gani wanafunga wenye tunguli!!?
Soma hizi attachments hapa chini upate kujifunza.
Unajua kuna baadhi ya wabongo huwa eanajifanya kutoamini uwepo wa wachawi kwa kigezi kwamba wana lifestyle ya kizungu lakini hawajui kwamba wazungu wanajua uwepo wa hayo mambo tangu kitambo sana karne ya 14 huko baadae wakawahi kuitokomeza.
hiyo ilikuwa dunia ya miaka 500 iliyopita.Soma hapa chini kwenye attachment upate kujifunza ndugu yangu.
Akiki yako ni kama ya wazungu wa karne ya 14. Uko nyuma karne 7 nzima!!Soma hizi attachments hapa chini upate kujifunza.
Unajua kuna baadhi ya wabongo huwa eanajifanya kutoamini uwepo wa wachawi kwa kigezi kwamba wana lifestyle ya kizungu lakini hawajui kwamba wazungu wanajua uwepo wa hayo mambo tangu kitambo sana karne ya 14 huko baadae wakawahi kuitokomeza.
Una uhakika?na Uchawi upo,
Iko hivi unakuta wanakijiji woote wameungana kuanzia wenyeviti mpaka raia, serikali inakosa pa kuanziaHuu ujinga serikali imeshindwa kuuzuia?
Mwananchi akitoa taarifa polisi wanakuja kumlinda tatizo unakuta wao wenyewe wanatakaUongozi wa Mkoa na Wilaya huko Kigoma unafanya nini?
Wewe ni moja ya wajinga wanaokubali kuchapwa. Mnaishi miaka ya 1800Wachawi Wana nguvu sana hadi serikalini kulinda uchawi wao ili waendelee kudhuru watu.
Hao kamchape wapo hata kabla ya mfumo wa serikali kuwepo.
Acha wachawi waaibishwe
Kwa hiyo wewe reference yako ni kuiga anachofanya mzungu ndio sahihi kwako?Akiki yako ni kama ya wazungu wa karne ya 14. Uko nyuma karne 7 nzima!!
Wewe ndiyo unataka kuwa shoga. Sababu wazungu walikuwa na witch hunt na wewe unataka kuwa nayo. Utaacha kuwa shoga?Kwa hiyo wewe reference yako ni kuiga anachofanya mzungu ndio sahihi kwako?
Haya leo wazungu wapo kwenye karne ya mwanaume kwa mwanaume kuoana waige na hiyo sasa
Sio mimi niliyeanza kugusia wazungu,kuna mtu alisema ulaya hakujawahi kuwa na mambo ya kichawi ndio nikamwekea ushahidi wa kuwa hata ulaya uchawi ulikuwepo.Wewe ndiyo unataka kuwa shoga. Sababu wazungu walikuwa na witch hunt na wewe unataka kuwa nayo. Utaacha kuwa shoga?
Umeleta mfano kuwa hata Ulaya uchawi ulikuwepo hivyo ni uthibitisho kuwa uchawi ni halisi. Kwako wewe wazungu ndiyo kipimo cha ukweli. Maana yake wazungu wakiwa wajinga na wewe unakuwa mjinga. Wakiwa mashoga na wewe unakuwa shoga. Kwa namna yako ya kufikiri vita ya ushoga itakuwa ngumu sana.Sio mimi niliyeanza kugusia wazungu,kuna mtu alisema ulaya hakujawahi kuwa na mambo ya kichawi ndio nikamwekea ushahidi wa kuwa hata ulaya uchawi ulikuwepo.
Baadae ukaja kunilaumu kwamba mawazo yangu ni ya karne ya 7 nyuma kwa sababu tu wazungu waliamua kufanya kipindi hicho.
Ndio maana nikakueleza wazungu walijipangia muda wao wa kufanya haya mambo na Waafrika tuna muda wetu sio kila kitu tumuige mzungu.
Mwishoni ndio nikakupa mfano sasa hivi wazungu wapo kwenye karne ya mwanaume na mwanaume kuoana na wanawekwa ndani kama mke na mume halafu nikakuuliza vipi na hiyo utaiga unaruka futi 100😄😄😄
Wewe si unataka kukimbizana na spidi ya wazungu sasa unarukaruka nini
Sio wewe uliniquote ukasema akili yangu iko karne 7 nyuma kwa kuwa wazungu walifuatilia mambo ya uchawi karne 7 zilizopita?Au ulitumia reference gani,kigezo gani au kipimo gani kusema akili yangu imechelewa karne 7 nyuma?Umeleta mfano kuwa hata Ulaya uchawi ulikuwepo hivyo ni uthibitisho kuwa uchawi ni halisi. Kwako wewe wazungu ndiyo kipimo cha ukweli. Maana yake wazungu wakiwa wajinga na wewe unakuwa mjinga. Wakiwa mashoga na wewe unakuwa shoga. Kwa namna yako ya kufikiri vita ya ushoga itakuwa ngumu sana.
Fikra zako ni kama za wazungu wa enzi za giza.Sio wewe uliniquote ukasema akili yangu iko karne 7 nyuma kwa kuwa wazungu walifuatilia mambo ya uchawi karne 7 zilizopita?Au ulitumia reference gani,kigezo gani au kipimo gani kusema akili yangu imechelewa karne 7 nyuma?
Wakitoka huko waje nahuku tulipo lo.
Na wewe fikra zako ni kama za wazungu wa sasa wanaooana watu wa jinsia moja au wewe uko na fikra za upande gani?mbona pointi zako zinakwenda mbele na kurudi nyumaFikra zako ni kama za wazungu wa enzi za giza.