DOKEZO Kasulu: Eneo la NYAKITONTO, Kamchape wanahatarisha usalama wa raia na Polisi wapo kimya!

DOKEZO Kasulu: Eneo la NYAKITONTO, Kamchape wanahatarisha usalama wa raia na Polisi wapo kimya!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Attachments

  • Screenshot_20240609_190524_Chrome.jpg
    Screenshot_20240609_190524_Chrome.jpg
    325.1 KB · Views: 3
Acha kuleta humu stori za vijiweni? Ulaya gani wanafunga wenye tunguli!!?
Soma hizi attachments hapa chini upate kujifunza.
Unajua kuna baadhi ya wabongo huwa eanajifanya kutoamini uwepo wa wachawi kwa kigezi kwamba wana lifestyle ya kizungu lakini hawajui kwamba wazungu wanajua uwepo wa hayo mambo tangu kitambo sana karne ya 14 huko baadae wakawahi kuitokomeza.
 

Attachments

  • Screenshot_20240609_204945_Chrome.jpg
    Screenshot_20240609_204945_Chrome.jpg
    184.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240609_190524_Chrome.jpg
    Screenshot_20240609_190524_Chrome.jpg
    325.1 KB · Views: 3
Soma hizi attachments hapa chini upate kujifunza.
Unajua kuna baadhi ya wabongo huwa eanajifanya kutoamini uwepo wa wachawi kwa kigezi kwamba wana lifestyle ya kizungu lakini hawajui kwamba wazungu wanajua uwepo wa hayo mambo tangu kitambo sana karne ya 14 huko baadae wakawahi kuitokomeza.

SWALI : KWA NINI WAZUNGU WALIACHA WITCH HUNTING ?

JIBU
Gunduzi za kisayansi ndio sababu. magonjwa ambayo waliokuwa wanaamini yanasababishwa na uchawi, waligundua sababu zake kumbe ni za kisayansi.

Kadiri viwango vya elimu na kusoma na kuandika vilipoongezeka, watu walizidi kukosoa hali ya kuwinda wachawi na kuanza kutilia shaka uhalali wake. Elimu ndio ilileta mabadiliko katika mitazamo ya kiakili na kitamaduni. Rationalism zilianza kuchukua nafasi ya ushirikina na hofu, na kusababisha kupungua kwa imani katika uchawi na nguvu zisizo za kawaida.

Zaidi ya hayo, mifumo ya kisheria na mahakama katika Ulaya ilifanyiwa mageuzi ambayo yalifanya iwe vigumu zaidi kuwashtaki na kuwanyonga watu kwa madai ya uchawi. maana sheria mpya zilitaka hukumu ziendeshwe kwa kufata ushahidi unaonekana kwa macho, na sio kwa imani tena

serikali za ulaya ziliamua kuachana na sheria za Kanisa ( church laws) katika kuendesha nchi zao, sababu kanisa ndio lilikuwa na mchango mkubwa katika kuamini kuendeleza na kuendeleza uwindaji wa wachawi. maana biblia ilisema wachawi wauwawe, kumbuka zamani nchi za ulaya zilikuwa zinaendeshwa kwa kufata biblia na sheria za kanisa zinasemaje kama vile saudi arabia leo wanavyofata quran inasemaje katika kuendesha nchi yao.

Zaidi ya hayo, mabadiliko ya kiuchumi na kijamii, kama vile mabadiliko kutoka kwa ukabaila hadi ubepari, yalisababisha kuporomoka kwa miundo ya jadi ya jumuiya ambayo iliunga mkono mawazo ya kuwinda wachawi. Kadiri viwango vya elimu na kusoma na kuandika vilipoongezeka, watu walizidi kukosoa hali ya kuwinda wachawi na kuanza kutilia shaka uhalali wake.

Kwa ujumla, mchanganyiko wa mabadiliko ya kisayansi, kiakili, kisheria, kidini na kijamii ulichangia kuachana na uwindaji wa wachawi huko Ulaya na America
 
Soma hapa chini kwenye attachment upate kujifunza ndugu yangu.
hiyo ilikuwa dunia ya miaka 500 iliyopita.

Karne ya 15 wazungu walikuwa wajinga kisayansi ndio maana walikuwa wanaamini uchawi upo, mfano hata nyumba tu anayoishi mtanzania wa kipato cha kati leo hii ina choo kizuri kuliko alichotumia mfalme kwenye dola za wazungu wa karne ya 15,

kwa hiyo kutoa mfano wa wazungu wa karne ya 15 sio sahihi maana walikuwa hawana uelewa wa ki sayansi ndio maana walikuwa wanaamini uchawi.
 
Soma hizi attachments hapa chini upate kujifunza.
Unajua kuna baadhi ya wabongo huwa eanajifanya kutoamini uwepo wa wachawi kwa kigezi kwamba wana lifestyle ya kizungu lakini hawajui kwamba wazungu wanajua uwepo wa hayo mambo tangu kitambo sana karne ya 14 huko baadae wakawahi kuitokomeza.
Akiki yako ni kama ya wazungu wa karne ya 14. Uko nyuma karne 7 nzima!!
 
Wachawi Wana nguvu sana hadi serikalini kulinda uchawi wao ili waendelee kudhuru watu.
Hao kamchape wapo hata kabla ya mfumo wa serikali kuwepo.
Acha wachawi waaibishwe
Wewe ni moja ya wajinga wanaokubali kuchapwa. Mnaishi miaka ya 1800
Hakuna uchawi
 
Wewe ndiyo unataka kuwa shoga. Sababu wazungu walikuwa na witch hunt na wewe unataka kuwa nayo. Utaacha kuwa shoga?
Sio mimi niliyeanza kugusia wazungu,kuna mtu alisema ulaya hakujawahi kuwa na mambo ya kichawi ndio nikamwekea ushahidi wa kuwa hata ulaya uchawi ulikuwepo.
Baadae ukaja kunilaumu kwamba mawazo yangu ni ya karne ya 7 nyuma kwa sababu tu wazungu waliamua kufanya kipindi hicho.
Ndio maana nikakueleza wazungu walijipangia muda wao wa kufanya haya mambo na Waafrika tuna muda wetu sio kila kitu tumuige mzungu.
Mwishoni ndio nikakupa mfano sasa hivi wazungu wapo kwenye karne ya mwanaume na mwanaume kuoana na wanawekwa ndani kama mke na mume halafu nikakuuliza vipi na hiyo utaiga unaruka futi 100😄😄😄
Wewe si unataka kukimbizana na spidi ya wazungu sasa unarukaruka nini
 
Sio mimi niliyeanza kugusia wazungu,kuna mtu alisema ulaya hakujawahi kuwa na mambo ya kichawi ndio nikamwekea ushahidi wa kuwa hata ulaya uchawi ulikuwepo.
Baadae ukaja kunilaumu kwamba mawazo yangu ni ya karne ya 7 nyuma kwa sababu tu wazungu waliamua kufanya kipindi hicho.
Ndio maana nikakueleza wazungu walijipangia muda wao wa kufanya haya mambo na Waafrika tuna muda wetu sio kila kitu tumuige mzungu.
Mwishoni ndio nikakupa mfano sasa hivi wazungu wapo kwenye karne ya mwanaume na mwanaume kuoana na wanawekwa ndani kama mke na mume halafu nikakuuliza vipi na hiyo utaiga unaruka futi 100😄😄😄
Wewe si unataka kukimbizana na spidi ya wazungu sasa unarukaruka nini
Umeleta mfano kuwa hata Ulaya uchawi ulikuwepo hivyo ni uthibitisho kuwa uchawi ni halisi. Kwako wewe wazungu ndiyo kipimo cha ukweli. Maana yake wazungu wakiwa wajinga na wewe unakuwa mjinga. Wakiwa mashoga na wewe unakuwa shoga. Kwa namna yako ya kufikiri vita ya ushoga itakuwa ngumu sana.
 
Umeleta mfano kuwa hata Ulaya uchawi ulikuwepo hivyo ni uthibitisho kuwa uchawi ni halisi. Kwako wewe wazungu ndiyo kipimo cha ukweli. Maana yake wazungu wakiwa wajinga na wewe unakuwa mjinga. Wakiwa mashoga na wewe unakuwa shoga. Kwa namna yako ya kufikiri vita ya ushoga itakuwa ngumu sana.
Sio wewe uliniquote ukasema akili yangu iko karne 7 nyuma kwa kuwa wazungu walifuatilia mambo ya uchawi karne 7 zilizopita?Au ulitumia reference gani,kigezo gani au kipimo gani kusema akili yangu imechelewa karne 7 nyuma?
 
Sio wewe uliniquote ukasema akili yangu iko karne 7 nyuma kwa kuwa wazungu walifuatilia mambo ya uchawi karne 7 zilizopita?Au ulitumia reference gani,kigezo gani au kipimo gani kusema akili yangu imechelewa karne 7 nyuma?
Fikra zako ni kama za wazungu wa enzi za giza.
 
Back
Top Bottom